V vanny voy ni nyota mta mkubali2 anaeleweka kimataifa🙌🙌
@filskischannel9737
3 ай бұрын
ESKO unaua kabisa kwenye recap iyi ❤️❤️❤️ points zako ni zamsingi sana. Big up bro
@japhetsilungwe4719
3 ай бұрын
Achen kumdanganya mwambie andaye show yake mwenyewe sio za kumshilikisha ataona utam wake
@ImaniMsafi
3 ай бұрын
King of African artist diamond artist diamond platnumz
@ms_teeonly
3 ай бұрын
Mi napenda kumuona bro sky on the panel
@ramadanabdul7745
3 ай бұрын
Kabis
@neemaeliudi2097
2 ай бұрын
Kwa kweli kbss yaann
@shadiwaigwa9230
3 ай бұрын
Chris brown anacheza na dancer's, haijapitwa na wakati
@user-yd8sp4es9n
2 ай бұрын
Rayva.nyn💪💪❤🎉
@MassoudAlly-c9e
3 ай бұрын
Mbona akina Jennifer lopes Janet Jackson ata Chris brown mpaka leo hii wana panda na madansa au labda mi ndio sijui kitu?
@shedrackbakari6342
3 ай бұрын
Napenda sana MTU akimchambua uyu mwamba wamchulia poa sana apa bongo
@NurudinZuberi
3 ай бұрын
Mdogo mdogo ndio mwendo
@issachibangu6075
3 ай бұрын
Burnaboy kufanya show mcana na akajaza 😂 tz bhana
@rebeccapaulmwanginde977
3 ай бұрын
Watanzania tutachelewa sana tukimkataa R.Dzoo kwene mziki .Rayvavanny ni Messi Kwene mziki yeye anaimba vyvyte anavotaka jamani jamani jamani jamani WATANZANIA wenzangu . RAYVAVANNY tukiizungumzia industry ya music wa TZ ndo map Yaao wasanii wenu
@ibrahimfarha3853
3 ай бұрын
Kwa wengine ingali ni ndoto ata yakudumbwiza ukooo
@MariamIbrahim-h7p
3 ай бұрын
Mnazidi
@timothykaiza327
2 ай бұрын
Mkumbuke ulaya ni summer kwasasa jua linawaka hadi saa nne au tano usk, mnaweza sema ilikuwa mchana ila uhalisia n usk. Karibu ulaya mtembee kwanza
@anjuadnani2607
2 ай бұрын
Densans wanapendezesha sana
@ngoyaboy1590
3 ай бұрын
Wote wako pouwa sanaa
@daneetassh
3 ай бұрын
Kwani ni lazima show ifanywe usiku? Usiku kwan ni shetani😂😂
@geoufo2858
3 ай бұрын
Kwaiyo Tyler alivyo fanya mchanya ilikua zarau
@issabaraka2404
3 ай бұрын
Fally Ipupa na Innoss'b walikuwepo afronation kwani sio wa Est Africa jamani 😂😂😂😂
@ursulinenyandindi3051
3 ай бұрын
Mi sioni shida sababu hata kipindi jeshi yuko marekani upande wa mondi ulitupa vijembe. Nadhani wao ndio wameibuni hiyo style ya mashindano na vijembe wakiamini itafanya watawale mijadala.. waendelee kuishi humo
@antonymodestus2872
3 ай бұрын
Tatizo ni ustaa ukiwa staa bana ataukionekana unakooa tu ni content kwa watangazaji wabongo uongo mwingi umizeni ubongo bana vichwa vya kuku kiukweli vinazani tunataka kusikia hii upumbavu
@shuzashadyproduction8438
3 ай бұрын
GIANT WE NI KICHWA NAKUBALI SANA MUHUNI
@alikonge8864
3 ай бұрын
sky kwani hapumziki wengine nao wafanye kazi gani jamani
@Barakanenealldays-bp8cd
3 ай бұрын
Dharau gani wakati Mondi kalipwa pesa zake ambazo anamzidi huyo ray sasa dharau gani
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
3 ай бұрын
Kwenye Malipo hakuna anaejua nani kalipwa ngapi
@mancholotrasco8350
3 ай бұрын
Kalibia wasanii wote wanaojua kuimba na ku cheza wanapanda na ma dancers jukwaan ... Mfano Kwa Chris mpaka kesho
@albertonyangaresi1971
3 ай бұрын
Wacha diamond afanye show yake huko
@michaeljuma254
3 ай бұрын
@diamondplatnumz
@SumaidiElisha
3 ай бұрын
😂😂😂acheni ku muotesha mapembe mwambieni ahandae show yake ahaje ndo m tuletee huu mdahalo Ila kwa sasa Bado Ana tembelea nyota za wenzake
@TumainiLameck
2 ай бұрын
Mwambino au
@Tanafa-j9q
3 ай бұрын
Kujikuta wachambuz wa wasanii kat nyie wenyeee hamjawah kumhoj tayla pimbi nyie Kila xku kutuletea story za udak2#simba n mmja2 na hawez tokea tena
Пікірлер: 36