Kibega hapa leo nimeazima simu kuangalia huzi wangu w yanga haisee mpeni mauwa bosi wangu mauwa yake like you ♥ Jezi ❤❤😊
@romanmwaisela
2 ай бұрын
Naomba like zangu cos wa kwanza,, Hongera yanga Kwa Uzi poa
@martin_james1034
2 ай бұрын
Jamani Kila siku najaribu kuwa wa kwanza nashindwa,dk 2 Leo lakini pia wapi...nipeni likes basi
@mnllyboy_tz9107
2 ай бұрын
😅😅😅 polee
@cathbertjohnson408
2 ай бұрын
Kweli kuna watu wamekosa kazi za kufanya 😂😂 daah
@EliasMyeya
2 ай бұрын
Za nn
@emmanueltimothy8534
2 ай бұрын
Jaman kusema kwel jezi zone ni kali sana ila nyeusi nmeikubali sana😊😊😊
@winfredngaeje6969
2 ай бұрын
Kumbe Jezi Umezindua wa😂😂
@KingimmaKelela
2 ай бұрын
Wew Sheria ngowi huna mpinzani 💚💛🔥🙌🇹🇿
@beatbyrich2891
2 ай бұрын
Ukiwa huna mpinzani huwezi kufanya vizuri. Wapinzani wapo ila hana wakumzidi kwasasa.
@WarrenWright-mj5dh
2 ай бұрын
@@beatbyrich2891 hahahahaha
@misambo7539
2 ай бұрын
Wakuu gongeni like za mbunifu wetu anajua tena anajua kweli kweli like 1000 zinamtosha sana.
@5googleuuu727
2 ай бұрын
CONGRATULATIONS MY BROTHER. MASHAALAH. JEZI NI NZURI SANA 💚💛💚💛💚🇴🇲 FROM OMAN
@FirdausyAbubakary-bl2wo
2 ай бұрын
Topest artist in the Superior Club in the world..that combination is so sweet🎉🎉🎉🎉
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Yesssssssss
@josephmathayo5139
2 ай бұрын
Hongera Mr Sheria Ngowi Kwa ubunifu wa hali ya juu ktk Jezi hizo. " Yanga Daima Mbele "
@awetumtengera1147
2 ай бұрын
Jamani mnatupa raha wananchi , Hongera sana kaka yetu Sheria ngowi kwa ubunifu wa jezi hakika Mungu akubariki sana uzidi kututumikia wananchi.
@DicksonNasibu-tv7vr
2 ай бұрын
Sheria Ngoyi Umetisha Baba Pokea Maua yako ungali hai maana watu tunakasumba ya kumsifu mtu pindi ameondoka Big up saana
@Amosmpaji
2 ай бұрын
Nakukubali sana sheria ngoyi kwa ubunifu wako wa jezi Ila mm ni ngoye bini kalimanzira kutoka kigoma tu nakukubali sana
@omaryamiri3175
2 ай бұрын
Dah jamani huyu jamaa mpizani Hana Asante Sheria ngoi💚💚💚🤝
@WingoNamtema-u9l
2 ай бұрын
Ally kamwe hongera kua na daimond na daimond hongera kua na sheria ngowi sheria ngowi hongera kua na Ally kamwe.
@vedastusmlavumba1158
2 ай бұрын
Injinia hongera kwa uongozi imara sana
@nicksonmlay542
2 ай бұрын
Yangaaaaa💚💚💚💚💚💚💚💚 forever
@mariamMilha-st3qu
2 ай бұрын
Ally Kamwe umeuwa umependeza sanaaaaa💞💞💞💞💞💯💯👌👌👌👌
@MajaliwaJuma-c5g
2 ай бұрын
Siku zote time kubwa namambo yake makubwa jezi nzur kweli kweli time ya sanda fc watatukoma mitaani wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mwaaaaaaaaaaaaaaaa
@sadahamad6158
2 ай бұрын
Mm kama 🇰🇪 huu uzi wa jezi mara hii wanihusu manake tamu ni balaa na nusu❤❤❤🎉🎉🎉
@muddymuzungu4357
2 ай бұрын
Ali kamwe you are so smart! Kweli UDSM wana product nzuri sanaaaaa Proud of it🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@abuu-hx3ru
2 ай бұрын
Sheria ngowi hujawai kukosea kwenye swala la jezi🙌🙌🙌🙌 jezi tunazo na tunatamba nazo😂😂😂😂💚💚💚💚💛💛💛💛
@norbertnjali2862
2 ай бұрын
😂😂😂😂 hongera Sana Sheria ngowi kwa jezi Bora hizi 👏👏👏👏👏👏👏
@amaniomar1755
2 ай бұрын
Safi sana endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi
@elizabethkalinga0822
2 ай бұрын
Wenzetu wameandika Sanda, sisi 5 au 🖐️KOMA SAVA
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Umeona weeeeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂
@elizabethkalinga0822
2 ай бұрын
Sheria Ngowi Wewe ni Kiboko, Naogopa Uwezo wako wa Kufikiria, Yani utawakera watu mpaka Ligi Uishe kwa 🖐️Koma Sava
@Evance-op4jw
2 ай бұрын
mimi cjui kwanin mnasema wa kwanza nataka like zangu😀😀😀( ni za nini ) jezi ziko poa sana💚💛💚💪💪
@HappinessSulle
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂umeona we
@clarakingiomary9655
2 ай бұрын
Tupo kitenge batiki kama wanavyo ita sis ndo tumekufa tumeoza nando vazi la Afrika kitenge kwaiyo atujaenda nje tupo mule mle we uwogop💚💚💚💛🖤🇹🇿🇹🇿🙏🔥🔥🔥
@dullamuso6955
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 Hizi Jezi unapeleka ukweni unapewa mke
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Unafanya masiara🎉🎉🎉🎉
@GodwinMtungi
2 ай бұрын
Nice kit biug nice work
@danielbenard9053
2 ай бұрын
We are young Africa, the pride of Africa ❤❤❤
@HappinessSulle
2 ай бұрын
There is a good team ❤❤❤❤
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Umeona eeeh ni timu 😂😂😂😂
@radhiamussa1629
2 ай бұрын
Jezi nzuri sana hongereni sana 🎉🎉🎉🎉💥🔥🔥🔥🔥💯👌 naona madunduka Kila ikitokea jambo la yanga wanajitahidi kuja na kitu siku hiyo hiyo kuzimia kiki ya yanga mfano mzuri siku mnacheza na ts galaxy wakaja na kuzindua jezi zao kesho mnacheza na kaizer wamekuja nawao na mechi ya kirafiki so mkishamjua mpinzani wenu jueni kudeal nae in proper technique
@DanielSinavangi
2 ай бұрын
Ngoi noma Sana chukua maua yako kk🌹🌹🌹🌹🌹
@AllyRamadhan-cw8we
2 ай бұрын
Good jersey!! 🎉🎉 I'm said as Rwandan 🇷🇼🇷🇼
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Ww mbongo kabisa unjidai mrwanda😮😮😮😅
@Carolina-sm5zt
2 ай бұрын
Hongera Sana Ngoi Kwa ubunifu 🎉🎉🎉
@aminaathuman4701
2 ай бұрын
Yanga bigwaaaaaaaa 💚💚 💚 💚💚💚💚💚
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Bingwaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
@mohammedhilal1855
2 ай бұрын
Mashallah 🎉🎉hongera doctor umetuletea kitu chenye faida ❤
@allydecortz
2 ай бұрын
wakwanza mimi leo nipeni like zangu
@songombingo108
2 ай бұрын
Like zanini wakati huku kila mmoja anaingia kwa wakati wake. Kumbafffff
@GharibJoseph
2 ай бұрын
😂😂😂
@HappinessSulle
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@GetuliBasso
2 ай бұрын
Sanda ipo? Hongera Sheria baba upo vizuri. Sanda ni maziko.
@chops63entertainment
2 ай бұрын
Apewe maua yake kazi nzur Sanaa ....kweli Yanga haha sana mpaka chibu anajua sana
@fredyalex8909
2 ай бұрын
Yaani hii interview tamu kweli huchoki kuisikiliza💛💚💛💚💛💚🔰✅️
@MRMONEY5480
2 ай бұрын
TIMU KUBWA, MSANII MKUBWA, NGOMA KUBWA YA KOMASAVA NA MASHABIKI WAKUBWA😊😊😊
@ErickMsinde
2 ай бұрын
Wafurahii wao
@Carolina-sm5zt
2 ай бұрын
Duh! Umetisha Sana
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Wananguwadaaaaaaaa!!!!!!!!!limeisha sana😂😂😂😂😂😂
@PanchoValentino-wh7wt
2 ай бұрын
NYUZi kalii Saana 💯🙌🔥
@claratango9262
2 ай бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz
2 ай бұрын
Ngowi ni 1 TU 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Tuuuuuuuuu😅😅😅😅😅
@marthamjandwa4325
2 ай бұрын
Yanga 💚💚💚💛💛💛🖤🖤🖤
@TeresaRaimundo-m8o
2 ай бұрын
Young Africans on fire I'am KONDE KIDD
@vinny.morales
2 ай бұрын
Kwako Eng. Hersi, Ukiwa kama raisi wa timu yetu pendwa tunakuomba Ally Kamwe anunuliwe viatu vingine. Hivi alivyovaa inatosha. Vikapumzike sasa. Ni mimi mwanachama ya Yanga, tawi la Goba.
@PeterSevere
2 ай бұрын
Welcome Diamond platumz the biggest artist in Africa karibu jagwani unanyota nzuri sana hongera Eng Hersi kwa kumvuta simba la simba dangote HAUJUi
@HappinessSulle
2 ай бұрын
Hajui hajui?????😅😅😅
@RamadhaniKassim-g4d
2 ай бұрын
Yangaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HashimIssa-v3k
2 ай бұрын
Hongera sana Sheria ngowi na uwongozi wote wa timu ya wananchi
@Maryc2G
2 ай бұрын
Yanga jezi zenu nzuri sana. Good job Ally Kamwe 💚💚💛💛
@aminakhamis2276
2 ай бұрын
Ali umeupiga mwingi hongera 🎉🎉🎉
@SixbetrWilibrod
2 ай бұрын
Yangaa bingwaaaa💛💛💛💚💚
@dullamuwise4802
2 ай бұрын
mara hii tumekuja kivengine zaid haswa kwny jezi nyeusi niekubali sn wananchi💚💛🇹🇿
@domisonrichman6499
2 ай бұрын
Kumbe mzee WA komasava ni yanga basi namimi ntaaanza kufatilia nyimbo zake ...komasava n yanga to the world
@francesmpangwa8801
2 ай бұрын
Jezi ni noumaaaa saana asee Yanga ni kibokooooooo My Young African 💚💛💚💛💚💛💚💛💛💚💛💚
@KhamiarMshimba
2 ай бұрын
Yanga bingwa
@farahmohamedali846
2 ай бұрын
Ishara yetu hii🖐️ hata mama mitano tena ❤komasava young african ✨
@japhetkahindi4791
2 ай бұрын
Hii jezi ni Kali bro
@joojombi2341
2 ай бұрын
Kazi Iendelee akhui tupo pamoja
@GharibJoseph
2 ай бұрын
Masha Allah❤❤❤
@GodfreyKarino
2 ай бұрын
Daaah saluuuut saaaana kwa Sheria ngowi
@CharlesPaul-g6o
2 ай бұрын
Very good boy
@enockjlory1814
2 ай бұрын
Sheria ngowi ni mmoja tu
@bethmahela2182
2 ай бұрын
Jezi hata ukiombea mkopo unapewa,kazi nzuri sheria ngowi
@aminaathuman4701
2 ай бұрын
Anajua mno 10000000
@geofreyanania1108
2 ай бұрын
Nyie tajeni zenu ila hii ya njano ni fanya sana 🔥🔥🔥
@ismailkiwawas5982
2 ай бұрын
Kabisaa👏👏
@ismailkiwawas5982
2 ай бұрын
Khaaa❤hii nyeusi inanihusu hii
@mwajumampokileomckapela7541
2 ай бұрын
Mashallah jersey nzuri ✅✅✅🔰🔰🟢💚
@vt-kn6qf
2 ай бұрын
Naomba wapewe Taifa star jersey za yanga watumie la sivyo wambe tenda ngoyi
@Alexismadimo
2 ай бұрын
Big up kala sheria GSM mshikilieni sana uyu jamaa anatufikisha mbali sana
@JobuMnofu-bc7sr
2 ай бұрын
Tujuane wana yanga yetu 💚💚
@DjkovicPeter
2 ай бұрын
Yanga fire✊✊
@NouhBakar
2 ай бұрын
❤❤❤ilove yanga na jenz kali
@godfreymakau3932
2 ай бұрын
Hongera sana ngowi umetisha uzi mkali sana
@IbrahimRashidi-wq3qk
2 ай бұрын
Likes za mondi hpaa😅😅
@HappinessSulle
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@mansouromary9246
2 ай бұрын
Bonge moja la kipindiii🔥🌍 bonge moja la ubunifuu👏 quality ya mambele mbele uko😂 wananchi tuna raha bn
@emmanuelamlali3666
2 ай бұрын
Uwiiiiii Uzi mweusii utanitoa rohoooo❤ nani aninunulie Moja tu😅🎉
@vumiliazacharia5633
2 ай бұрын
Asante sheria goi
@LeylaSaria
2 ай бұрын
Ila yang rahaaaaaa saaan💚💛💛
@Shebe_traLove
2 ай бұрын
Hakika una tuzidi ku tueshimisha sana hakika uzi ni mkali sana leo leo nime shukuwa tatu tayari kwa jachoo kupigania sana makao makuu jangwani
@maguwarecord5605
2 ай бұрын
Wakwanza mm naomben likes WAna yanga
@WarrenWright-mj5dh
2 ай бұрын
Sheria ngowi anajua🙏🙏🙏🙏
@victorkiungo7447
2 ай бұрын
Respect to sheria ngowi
@GodwinMtungi
2 ай бұрын
Safi jezi nzur hdhi kubwa achana sanda
@Samaritan202
2 ай бұрын
Sema Mimi mwanzo nmeona kama haijanivutia sana kumbe ni ni jezi nzuri pro max, Wananchiiii 🎉🎉🎉
@NeemaAkyoo-s4s
2 ай бұрын
Hii ndo maana ya clab kubwa unatengeneza kitu na unakielezea syo mtu unajaziwa vitu vingi mpa jesey inakuwa kama bango na hata ukiuliza maana zake haupati wa kukuelezea heshima kwako sheria ngowi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@partickkessy5997
2 ай бұрын
Mm Ni Yanga msimu uliopita sikupata bahati kua na jezi ila Msimu huu nanunua zote hizi Jezi kali sana🔥🔥💪💪
@paulchaula6796
2 ай бұрын
Diamond na harmonize wote ni wananchi sasa..inabidi wawe marafiki sana
Ebwana we huyo bwana nimubunifu kweli lakini akumbuke pia nakuangeza mulima Kilimanjaro,ziwa Victoria,mapoli ya wanyama kama mikumi, Serengeti ndipo wanaichi tutakuwa tumejivuania mazingira yetu Asante sana
@EdwardKamilo
2 ай бұрын
Da nimependa maisha ya yanga burudani nzur jez nzur upendo mkuu 🎉😂❤
@hanifamziray277
2 ай бұрын
Ngowi upewe mti wako kbs hujawahi feli safiiiii
@JosephSingo-b4j
2 ай бұрын
Going anatisha
@encernstudios3745
2 ай бұрын
Am The One Yeah💡
@mwansasujonny3536
2 ай бұрын
Young Africans ni Raha Sana kiukweli...
@SuhuurFarxaan
2 ай бұрын
Diamond akishakubali we Nani wa kubisha uzi wa njano na black 🖤 ni 🔥🎉walai
Пікірлер: 476