Mashaa-Allah Allah azidi kukupa nguvu na afya ya kuitangaza dini ya haki
@jamesrasi-co4py
Жыл бұрын
Ndacha mungu akupe hafya na maisha marefu
@hafsakirao398
2 жыл бұрын
Masha'Allah ❤ Allah azidi kukupa shifaa na afya njema Sheikh Ibrahim. Allah akujali mema hapa duniani na kesho akhera.
@abduljaffer
2 жыл бұрын
Ameen
@sirajiatibu3232
Жыл бұрын
Sheikh Ibrahim Allah will give you big reward well done
@meekman1805
2 жыл бұрын
Waalaykum Salam. Maashallah jazakallahu kheyri. Tunamuomba ALLAH subhanahu wat'ala akupe akuhifadhi, na akupe afya njema na nguvu usikate tamaa katika ulinganiaji wako. Allah atujaalie mwisho mwema na atukutanishe peponi kwa sote aamin.
@edmondkoech-yu6ou
Жыл бұрын
Ndacha mungu azidi kuwafahamisha haki duniani ili siku ile usije hukumiwa kwa kutowambia wailamu haki na wawe wakristo ,,,the spirit of philip apostle be with you and baptise many as you can
@abdillahmbarak7418
2 жыл бұрын
Mashaallah sheikh Ibrahim mungu akuzidishie nguvu na afya njema na akujalie na mwisho mwema inshaallah
@ibrahimaii1402
Жыл бұрын
Thank you shiekh Ibrahim ❤️
@Nora-v1m3p
10 ай бұрын
Shukran sheikh wetu Allah akupe kila la kheri apa n kesho akhera
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
💪💪💪💪ALLAH pamoja nawe sheikh Ibrahim
@aburaasmedia3682
2 жыл бұрын
Maashallah jazakallahu kheyri. Tunamuomba ALLAH subhanahu wat'ala akupe akuhifadhi, na akupe afya njema na nguvu
@chelseagikundi4516
Жыл бұрын
2 yohana 1:7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani wasiokiri ya kuwa yesu kristo yuaja katika mwili huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga kristo.
@RodgersMae
Жыл бұрын
Hongera sana kw kujua hawa watu mm mlikuwa muislam bt nkatoroka juu nlipo soma maisha ya mohammad utoton kabla hajakuw mtume alitokewa na watu wasiojulikana na wakampasua tumbo wakatia kitu ndani bada alipopata utume hichokitu kilimsaidia kule Alkabah kuvunja sanam zote na kubakisha moja tu nayo ndio kalma ya Ashahadhu nayo ndio siri kubwa pale Merca pamoja na siri ya Tashbih Yule sanam ndie Allah pale Merca na Tashbih ndio isabu ya siri kw mafanikio ya muislam anapo isabu na kunuia kitu anacho taka nayo n mafundo 70 ya mnyororo wa Tashbih unahesabu 36 halafu unauanza upya huo mnyororo ukiendeleza hesabu kwa kuuzungusha huo mnyororo mara 9 km huna alama ya swala juu yakipaji cha uso wako nahio hesabu n 36+(70×9)=666 na hii ndio Mark and the beast kutoka huko Mercah Soma Ufunuo 13:15-18
@NyangamtambalaYohana
Жыл бұрын
🙏🙏
@IssaBacar-n6o
11 ай бұрын
Huyu sheikh ni noma namkubali saanaa.
@yassinbachu4819
21 күн бұрын
MashaAllah..ndacha kapata moto... huyu sheikh Ebrahim mungu amjazee...ndacha hataki kubali kushindwa...tabia ya kifirauni
@habibasalim3092
Жыл бұрын
As salaam Alaykum wa rahmatullahi wa barakatuh, Allaah azidi kukupa afya uzidi kumshirikisha maisha marefu uzidi kuitangaza dini ya Allah dini ya hakki
@apollorutamucero6971
3 ай бұрын
Bjr kuwenye kujuwa kiswahili tusahidiye tafsiri ya ili Andiko : 5 : 48 Natumekuteremushiya kitabo Kimeteremushwa nawangapi ? Ni Mungu Awo Niwatu Awo malayika aw Majini?
@ndikumanainnnocent7796
2 жыл бұрын
Asalam alykum www sheikh wetu Iblahim mungu akupe afya nanguvu zakupambana nama kafiri
@ibrahimxptv
2 жыл бұрын
Aamin
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Ndio mara ya kwanza kumsikiliza Sheikh Ibrahi pastor halimfai. Yaani yupo vizuri mashallah Kafundisha vizuri, km mtu ana akili timamu hajaona ukweli alioelezea basi ni mkaidi tu, kwa sababu kila kitu kaweka wazi kulingana n vitabu.
@Nora-v1m3p
10 ай бұрын
Shukran sheikh wetu ibrahim kwan hukufuru atakavy mfuate aliko asipoteze watu.Allah akupe afya njema n hekm n akupe pepo kesho akhera
@abdallahdoka9173
5 ай бұрын
Ma Sha Allah sheikh Ibrahim
@ismailmohamed7730
7 ай бұрын
MashaAllah mungu akupe afya sheikh Ibrahim
@SalahAbdullahi-me9bz
11 ай бұрын
Thanks sheikh Ibrahim
@ramadhanimzonge8217
10 ай бұрын
Allah akbr
@johariwilson5473
Жыл бұрын
Mtu yeyote asijihesabue haki, nikijisikia kwenda msikitini naenda nikijisikia kwenda kanisani naenda nasali na Amani tele. Dini ni Imani moyo safi na matendo yaliyo mema.
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Yaani Qur'an ni kitabu hakijaacha kitu na kina muongozo hakina utata.
@eddykonyango8657
Жыл бұрын
Ndugu zangu,,,,,,,Mungu mwenyezi ni mmoja kwa ukristo,kwa waislamu,,,,,we all believe in creator, provider, protector, (God the Almighty),,,,they all don't bow for idols,,,let's do good and avoid what is haram and mungu wa rehma na nehma,atatukumbuka,,,,,,,,
@alimatambwe3402
Жыл бұрын
Ndacha ni mbishi Subhanallah!!!yani anajitahidi kupinduwa Aya na Hadithi ilimradi tu aone Kama atashida,vitu vipo wazi Ila a nataka kubishana na Koraan,Ndacha hata makafiri wezenu wazaamani walishindwa,waliishia kusilim.
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Yaani ndacha kashindwa wazi wazi kabaki ukaidi wala hana hoja.
@newgreeneaglestudio3089
Жыл бұрын
Masha Allah nikija kenya insha Allah nitakuletea camera na ma speaks insha Allah from US mwalimu long life
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
Aamiin na Allah akufanyie wepesi katika nia yako ni kweli hapo kwa Camera na vyombo ni mtihani kweli. Baraka Allahu Fik
@newgreeneaglestudio3089
Жыл бұрын
@@ibrahimxptv insha Allah nwalimu by next year vyombo vitakuwa tayari
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
@@newgreeneaglestudio3089 In Shaa Allah Baraka Allahu Fik
@mejukassim
Жыл бұрын
ISLAM will win 🤍 in shaa Allaah 🤲🏼🤍❤️❤️
@chelseagikundi4516
Жыл бұрын
wapilipi 2:5-7 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya kristo yesu; ambaye yeye mwanzo alikuwa yuna namna ya Mungu naye hakuona kule kuwa sawa na mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu akatwaa namna ya mtumwa akawa ana mfano wa mwanadamu;
@MudyKing-ub6he
Жыл бұрын
Toa ambapo yesu mwenyew ndo amesema hivyo mana apo ni amesemewa.
@mpingo1000
4 ай бұрын
Ndacha nina imani utasilimu karibuni.
@severinaseverinanyoni707
Жыл бұрын
Nipo dubai nafstilia sana nampenda sana Ndacha ❤ww ni kiboko ya waislamu😅😅 wanakosaga hoja kbs ❤❤
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Yaani kiukweli n kiakili ndacha ndio hana hoja mbbaishaji tu.
@rashidwalwanda1991
2 жыл бұрын
Karibu sana Sheki wangu
@mussakilo4916
2 жыл бұрын
Hapa ni ss waislam tumuwezeshe kwa michango maana anatumia gharama malazi chakula usafiri maana anafanya kaz kubwa nduguzangu waislam
@jumamfinanga6867
2 жыл бұрын
Ndacha ni hopless hajuii chochote ni muhuni2 kama wahuni wengine
@vincentowuor7564
Жыл бұрын
Upendo na amani ndio dini ya kweli..kama uko na chuki wewe umepotea..Yesu akusaidie.
@abelmoturi52
5 ай бұрын
Jenge oja yako kwanza my friend mwisliamu wacha kulalamika kwanza i
@khayangajomo7838
Жыл бұрын
Hii campaign n kali sana lkn jibu kamili n siku kyama tuendelee kulinda imani zetu kwa kusali na kutenda mema yamupendezae mungu
@josephmchila6467
Жыл бұрын
Ndacha Yuko juu Sana,
@severinaseverinanyoni707
Жыл бұрын
Awamuwezi😂
@cultureman8563
2 жыл бұрын
Wcs bro Ibrahim Allah akupe yaliyo mema katika maisha na family insha Allah
@eliyampesa4352
Жыл бұрын
Haki inayotetewa kwa stahili hiyo siyo haki. Mungu anajitetea mwenyewe
@mohdbosh3951
Жыл бұрын
MASHA ALLAH
@abuumahmud7075
Жыл бұрын
M.a sheikh Ibrahim mungu akupe penye peponi
@richardbwire4747
Жыл бұрын
Muslim, Allah is the creator, read surat 8:22 - 3 and he love no one earth surat 13:13
@expeditionquran
4 ай бұрын
@1:13:37 Ndacha inakaa uwongo ilimlemea hapo mwishi...wooi msaidieni na maji
@aliisaid854
Жыл бұрын
Ndacha wewe ni kafiri no 1 duniani.wewe na nabeel kureishi jora moja,mwenzako ashafika akhera nawe jipange mungu atakufisha inshallah
@josephmchila6467
Жыл бұрын
Ndacha ni kichwa kikali Sana
@geofreyngolua9553
Жыл бұрын
Kweli kuwa mwislam Ni sawa na kugongwa na ngari
@sammarley1413
9 ай бұрын
Heri kugongwa nagari kuliko kuwa kondoo tena Alie pote. Jina halisi la mungu wako yesu ni batistuta mcezaji wa zamani timu y taifa Portugal. Amesha staafu sasa ivi na mcoro wa pica za yesu zote ni pica ya muingereza nayupo hai na amesha wakana mara nyingi tu sasa ww shughulika tu na ajali zagari
@RodgersMae
Жыл бұрын
Waislam kw mujibu wa Qur'an mtume mohammad anaamini bibilia mana kabla ya kuja mohammad alitabiriwa ktk Torati na injili ila Wahay wa Qur'an alioteremshiwa mtume mohammad ni Uongo mtupu kutoka kwa Dajal mpinga kristo kafiri mkubwa lakn mohammad hakujua mana ni Nabii alie Umi hajui kusoma wala kuandika so hii Qur'an ilifaa ipigwe marufuku mana ni kufru 1Yohana 2:22-23 📖Nani alie muongo ila yule amkanae mwana na baba huyo ndie muongo na ndie mpinga kristo 23 amukubalie mwana ana baba ndani yake na amkataaye mwana hana baba ndani yake. Qur'an Sura Thul-Jinn(72:1-3) ikaja ikapinga hio injili bt Mohammed haikuwa matamanio yake juu hakujua yeye n Nabii alie Umi ndio maana alipokufa roho yake akaiweka mikononi mwa mtoto wa Maryam yani Yesu juu Yesu anajuw Qur'an ni maneno ya Majini walio mchezea mohammad juu hajui kusoma
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Usilete porojo zako, Lete hoja za kitabu watu watakufahamu. Qur'an haijataja bibilia abadan. Imetaja vitabu vya kale n ikataja pia ndani ya hivyo vitabu yamebadilishwa maneno zamani sana na binaadamu, kwa hiyo kuna maneno kweli ya mungu na maneno ya watu, na ndio mana Allah ametoa ahadi kitabu cha Qur'an atakilinda n kukihifadhi. Ukitaka aya ya hayo niliokueleze nitakupa. Lkn nataka na ww ulete aya ya hayo unayoyasemq. Tatizo nyinyi mnadanganywa n wachungaji wenu.
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Kweli mtume ametabiriwa sisi tumeshaambiwa kwenye Qur'an, Sasa ww lete aya inayosema dajjali ndio kamteremshia Qur'an mtume Muhammad km ww unasema kweli. Ww kweli mwanafunzi w ndacha unayosema n matamanio yako tu
@huseinshedrack6180
Жыл бұрын
Wallah cjutuii kuslim
@seiflugendo7141
Жыл бұрын
Ibrahimu wewe ni sheikh wa kweli🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@samuelondieki9164
Жыл бұрын
Ati peponi mnaingia nawake zenu asante, katika mji mpia hakuna kuoa au kuolewa ndugu yangu umepotea
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
Kwani mtu huoa mara ngapi mke mmoja? The man is the head in the legal family setup akiongoza jamii yake kumcha Mwenyezi Mungu mbona wasiingie wote peponi? Hio sio kuoa ni MUME na MKE wameingia wote peponi sio mmoja peponi na mwengine peponi. Mfano kama wakristo wangekua wanaenda peponi na mume ni mlevi na mke ni mama kanisa haweingia wote wawili
@samuelondieki9164
Жыл бұрын
@@ibrahimxptv mke haesabiwi tena waliuliza yesu hivyo akawambia siku hiyo hakuna kuolewa Wala kuoa nandugu yangu tena hanaweza ingia ukoze wewe
@mwawekomiuda9779
Жыл бұрын
Lzm kwa watakaopelekwa peponi watakutanish na wake zao na wasio na waume wala wake wataozeshwa hakuna shaka kwa waisilamu kwa hilo.
@samuelondieki9164
Жыл бұрын
Sikuelewi
@mwawekomiuda9779
Жыл бұрын
Wewe ndio kalagabaho usiejitambua .
@ndikumanainnnocent7796
2 жыл бұрын
sheikh ex pastor Ibrahim ndacha asikimbiye umufate sehemu yote kwenye ataenda kundanganya watu nakucafuwa wislam nakumutukana mungu
@leonardmwayeya13
Жыл бұрын
Hakika ostazi umetisha ndacha SI mwarim nimbishi mzoefu ndacha kaziyako nilupotosja sikufundisha huna uwezo howo
@leonardmwayeya13
Жыл бұрын
Jina Ra keristo rimetoka wapi maana mungu aritoa majina mawiri Jana rakwanza ni imanwiri rapiri yesu ariro pewa na baba yake yusufu kristo niranani
@leonardmwayeya13
Жыл бұрын
Mazinge huna akiri maneno hayo kayasema nani mungu au nikawa wewe unavyo dandanya watu tunataka aseme mungu sio mwanadam mazinge unarazimisha jumrisja iwe msaraba
@leonardmwayeya13
Жыл бұрын
Ndacha kasema nani mungu au arie SEMA nimtu kama wewe tunataka maneno yamungu sio yamwanadam
Hak kumbe ww Ibrahim nkm bibi ya mtu🤣🤣🤣🤣🤣😂 Mtu asilimishe bibi yake halafu ww nawe usilimishwe🤔
@saidhamisisetembosetembo9039
Жыл бұрын
Anasoma Bibilia ipi ikiwa tayari karamu ya uongo ya waaandishi imetumika hata pata jibu kwakuwa torati,zaburi ,injili hakuna kitabu (Bibilia) ilchakachuliwa akienda ktk uislamu Hana elimu juu ya uislamu
@athumanikhalidmwadzanache701
Жыл бұрын
Ata Ndacha mwisho nae pia ataelewa na kusilimu, walikua kama yeye ata kushinda yeye
@SarahMussa-y8l
Жыл бұрын
Kazipo Allah akupe nguvu shekhe wetu huyo ndacha ajaenda shule anadhani Quran inasomwa kwa mistari ya kurukaruka et duu allah mlipe shekhe Ibrahimu insha Allah.
@ibrahimxptv
Жыл бұрын
Aamiin
@abdoulmajidmobaka381
11 ай бұрын
Napenda nifaamu Nini mguuni??
@SylvesterAngego
2 ай бұрын
Ndacha ukweli ubaki ukweli nikiwa Busia Bumala K
@sammarley1413
9 ай бұрын
Huyu ndaca nimbishi mzoefu tu hana lolote anafurahia kubisha Hata mie nilipokua mkristo nilikua mbishi ila sio kiasi hico nashkuru mungu badae nikaona ukweli.
@athumanikhalidmwadzanache701
Жыл бұрын
Ubishi wa ndacha ndo unafanya wakristo kuc,limu kwa kuiona haki
@Nora-v1m3p
10 ай бұрын
Ak hupoteza watu maskini wamandiko nao wakirso hawasomi huskia tu
@apollorutamucero6971
7 ай бұрын
Uyo jamaa iko anabalisha mjibu wa bibiliya kw tafsiri
@khalifmaalim5826
2 жыл бұрын
Asalamu aleykum warahmatullahi wabarakatuhu my brother shiek ibrahim? Ndugu naona ulipata shida kuwa miguu pole brother yangu mungu akufutie danbi yako bro
@rizikiyahya5254
Жыл бұрын
Huyu pastor mbabaishaji sana
@yassinm69
Жыл бұрын
Uislam ndio dini pekee ya haki
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
Ndacha ni mikwara mingi tu ile sauti ukiskia waeza tishika kama hujajipanga sawa sawa😃
@jumamfinanga6867
2 жыл бұрын
Ibrahimm wewe ni chumaaaaaaaa,,, allah akupe umri mrefu huyu kafiri umteketezee mbalii
@geofreyngolua9553
Жыл бұрын
Na waislam naotusi Dio mnaweka mbele Jee sida yenu Inakuanga Nini? Maana Nyinyi Ni kama Hamjitambui kabisa
@MakholoBabá
5 ай бұрын
Huyu chehe hana lolote kkkk
@muhimaadan1308
Жыл бұрын
ma shaa Allah ndugu ibrahim
@charlesmapunda5905
Жыл бұрын
Mmh waislam kiboko, yaani mslam wa kwanza mwanamke alafu mnasema manabii tena waislam mbona vitu vya ajabu ajabu, kulazimisha vitu viko wazi
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Hujafahamu ww. Ukifuatilia vizuri utajua muisilamu wakwanza ni nani. Adam then watu wakaanza kukhitalifiana Allah mdio akatuma mutume akawapa vitabu, na nabii Ibrahiim ndio baba w imaan, yaani una uisilamu ulipoanza. Hiyo mwanamke alikuja kusilimu sio aliouleta wala kuamzisha. Usiseme kwa matamanio yako km ndacha n ww utakuwa mpotovu. Fata kulipokiwa n haki
@zulekhaa6817
Жыл бұрын
Muisilamu wa kwaanza ni mtu wa mwanzo kuumbwa nae ni Adam. Imani ni moja tu tokea adam mpaka leo. Imani zote zilizobaki ni za kuumdwa.
Hapa ni ukweli dhidi ya roho ya mpinga ukweli, kupatana ni muujiza tu. Yaani Muhamad amepotosha haki namna hii? Yesu alikuja kuokoa akajitoa kufa ili tuokolewe, halafu mtu anakuja miaka 700 baadae na kupinga wokovu huu mkuu!! Adhabu ya mtu kama huyu Muhamad ni hii Mathayo 18:5-14; Yoh 3:16-21; 5:42,43; 12:44-50. Rev 21:7,8; 22:12,13.
@alsamali6964
2 жыл бұрын
Kwan yesu aliridhia kufa pale msalabani ili ww uokoke ?
@willymwaipaja6783
2 жыл бұрын
@@alsamali6964 Ndio ndg. Alsam, Yesu aliridhia kufa msalabani kwa ajili ya yangu na yako
@alsamali6964
2 жыл бұрын
@@willymwaipaja6783 nipe andiko
@alsamali6964
2 жыл бұрын
27:45 mathayo
@willymwaipaja6783
2 жыл бұрын
@@alsamali6964 Ndg huu ni ufahamu tu wa rohoni ambapo wakristo wa kweli wametiwa nuru kuelewa, si ajabu kuona mwislamu haelewi. Kama anaamini kuwa dhambi zako zinaondolewa kwa kubusu jiwe jeusi, utaelewaje Kuhusu damu ya Yesu kuondoa dhambi. Kwamba Yesu alifanyika mwili akaonekana ni mwanadamu huku asili yake ni ya uungu. Ukiamini katika ahadi ya Mungu wa kweli kupitia kisa cha ukombozi kwa damu ya Mwanawe, basi nuru huangaza nafsini mwako na hivyo uungu wa Yesu na ubinadamu wake utaweza kuupambanua vyema. Msingi mkubwa ni kwamba kila atakaeamini katika Kristo Yesu atakuwa na mwangaza wa kiroho
@yabdul1782
Жыл бұрын
Ndacha ni shaitani mkubwa kupoteza watu kwa kusoma na kufahamu maandiko kiviyake. Atakuwa kuni nzuri pamoja na murtad Paulo jahanam.
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
Your disappearing and silence 🔕hits me so different Sir EX PASTOR you join a wrong faith and even your body language ur look ur ways ur characters and humility says it all..just come back to the right faith
@ibrahimxptv
2 жыл бұрын
I have not disappeared am still around
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@ibrahimxptv I have a Question about the both 🤔faith
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@ibrahimxptv But I have a feeling that you know..very well that you don't belong to the awkward faith and soon you will come back to your right track
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@ibrahimxptv I love how you handle this game 🎮
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@ibrahimxptv for sure you are a special soul to me and I don't know why am feeling sad 😞when I see you on the wrong faith 💔
@florencemwanansao834
Жыл бұрын
Hilo ndo lipumbavu halijui chochote bora mazinge. Hilo ndo liisiram lipumbavu
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
Hey 👋Mr handsome soul Ex pastor..When will you stop ✋believing in this man made faith from makha in Allkabaa..You will soon be singing Jesus christ's song 🎵That... they told me but I never listen 🎶
@thuwaybahamyd9896
2 жыл бұрын
the some one escape at dramatic religion you can not have abilities to ceduce him in order to return back in
@thuwaybahamyd9896
2 жыл бұрын
and not all but also you're selfosh indeed ,, because you saw truth but the truth is from some obe you heart because he come from makka but the true is not depnd where is come from but you to look how it work
@thuwaybahamyd9896
2 жыл бұрын
@margaret understanding?
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@thuwaybahamyd9896 you are very wicked soul But let's wait for the Embarrassing moment and the turn out
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@thuwaybahamyd9896 Thunder ⛈fire your left kidney I'm here for what I need and I go for what I want..And also don't forget that hell is waiting for you..
@ibrahim_427
2 жыл бұрын
Yani kumbe walikuja kupotosha msikitin Sheikhe wangu Ibrahim wajina mungu akulipe Alafu huyo msomaji anatia uongo sana umemkamata vizuli الله اكبر
Пікірлер: 227