Kaka wewe piga hatua tu usiwasikilize Kwa wale waliosema maneno mabaya juu Yako Bali usikate tamaa tu Bali endelea kupiga hatua, kwani mwanzo ni mgumu ila utazoea tu na utakuwa vizuri tu, please don't give up brother.
@singostudiosamsimbanyimbom7740
2 жыл бұрын
Poa sema tu bize ila napapenda sana hii mishe
@michaelmoris752
3 жыл бұрын
Kaka upo vizuri sana broo
@kelvinonyango9379
3 жыл бұрын
Inatakiwa ufate ma dj wenzako wakufundshe
@singostudiosamsimbanyimbom7740
3 жыл бұрын
Hawa wez kukubar
@davidkisaka8418
3 жыл бұрын
Nkbl kk upo vzr
@NyamamaJeanine-ts5iz
Жыл бұрын
Nitumie zingine
@sirayotv4283
3 жыл бұрын
Keep going kaka unaweza
@Mateo_afya_bora_channel
Жыл бұрын
Good🎉 movie
@asuntameck6720
3 жыл бұрын
Wow nic
@saidyiddy3385
3 жыл бұрын
Daaah oya jamaa tangaza vizuri bc kwa sababu haujalazimishwa kutangaza bhana
@lilyluambanoluambano1037
3 жыл бұрын
Mchicha huwez uita mbuyu
@mathayonkwabi5272
3 жыл бұрын
bado San jamaaa
@amenaameeena3317
Жыл бұрын
Katika Maisha upaswi kumwamini MTU yeyote maana binadamu awaaminiki usaliti mwingi
@Mateo_afya_bora_channel
Жыл бұрын
Big up
@shadyakimaro3245
3 жыл бұрын
Good ❤
@singostudiosamsimbanyimbom7740
2 жыл бұрын
Sasa tunalo grop la move kwa ajili yako mtazamaji, Link iko hapa chini
Ndugu zangu, mtaniwia radh kwa kuwakera mlio kereka , hiyo move nilikuwa naa Nza , bahat mbaya ndio ikakubari kufika kwwnu, ila ninazo move nzuri sana na nimetafasili kiuzuri sana tatizo watu wa KZitem wanagoma kuziweka , nitafte kwa no 0620343662 niwatumie kwa njia nyingine
@josephmwangi3198
Жыл бұрын
Uko Sawa mtoto hazaliwi akatembea siku iyo hiyo. Heko kaka
Kumtusi mtu sio vizur, na wala haulijengi taifa lako, hizi ni ndoto tu my brother, natamani siku moja niwe bora , naomba ushaur mzuri wa kunifanya nienderee na nachokipenda, nitimize ndoto yangu
@singostudiosamsimbanyimbom7740
2 жыл бұрын
Ndugu zangu, mtaniwia radh kwa kuwakera mlio kereka , hiyo move nilikuwa naa Nza , bahat mbaya ndio ikakubari kufika kwwnu, ila ninazo move nzuri sana na nimetafasili kiuzuri sana tatizo watu wa KZitem wanagoma kuziweka , nitafte kwa no 0620343662 niwatumie kwa njia nyingine
@robatizakaria6087
3 жыл бұрын
We nae fara tu hii movie umeibaka
@singostudiosamsimbanyimbom7740
3 жыл бұрын
Nimekosea wap mkuu,???
@michaelgodfrey8372
3 жыл бұрын
Oya ucwaze ukikuta comment negative man
@aminakipande5645
3 жыл бұрын
@@singostudiosamsimbanyimbom7740 dj coment zingine achana nazo mm sijaona kosa llote anaeona haifai asitazame
@chrissjoel7752
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Ukweli usemwe tu movie imebakwa hii
@aminakipande5645
3 жыл бұрын
@@chrissjoel7752 jmn
@saidrunas1414
3 жыл бұрын
Toka kajifunze
@khamishussein9431
2 жыл бұрын
Wewe mbona umeshindwa kufanya acha kukosoa wenzako kwani ungekuwa unaweza nawe ungetafsiri. Acha kukatisha tamaa watu. Tunafahamu mwanzo mgumu ila ukishazoea mambo yanakuwa mazuri kuwa muelewa.
Пікірлер: 117