Hongera Dr.Bashiru kwa mchango wako mzuri kwa Taifa, wewe ni hazina iliyojificha! Inayonyimwa nafasi katika Taifa hili kwa sasa, ila ipo siku Mungu atakupatia kibali tena! Wahuni mafisadi wamekunyima nafasi ila Mungu anakuandalia nafasi nyingine siku za usoni! Asante.
@perfectpixelsstudio3603
4 ай бұрын
Jembe kabisaa mr president BASHIRU ALLY KAKULWA
@DicksonPhanuel
4 ай бұрын
Akika anahoja za msingii Sana ,salute kwako
@nestor384
4 ай бұрын
Dr Bashiru Ally Kakurwa, -he is genius real, kikundi cha wahuni hawampendi si sababu is a bad person he is smart and intelligent I pray to the almighty God, individuals like Bashiru to take a tenure one day.
@bobjulieoneheartband
4 ай бұрын
Haloooo....Bashiru, Polepole , Majaliwa, Ukichombeza na Bwana Ndugai, uje uweke vijana kina Mtatiro, Msando, Tulia, Msukuma, Boteko, KABUDI, LEMA NA MAKONDA😂😂😂😂😂😂😂Nchi itakwenda mwendo wa FERARI V12 Miaka 5 Twaweza ongoza EAST AFRICA kwa Maendeleo na Tutaishi kama Wafalme, NI MAONI YANGU TUU❤❤❤❤
@sonnyr1899
4 ай бұрын
@@bobjulieoneheartband Mmmm kwenye Lima kuna ukakasi bado
@cbegram6161
4 ай бұрын
@@bobjulieoneheartbandUmeongea ukweli bila kuangalia chama Wala nini, Yani umeangalia uongozi, ueweledi, na ufanisi. Ila hapa umemsahau Mh. Mpina
@JeremiahRichard-oj8up
4 ай бұрын
Hata ukifichwa haufichiki mzee Bashiru
@hassanmfaume4522
4 ай бұрын
Kafichwa na nani mbona yupo huru
@geey7893
4 ай бұрын
Jamani sisi ni binadamu. Tuna madhaifu na tunakosea. Huyu Dr. Ni Hazina, Mama Samia akunjue roho kibinadamu hata kama kuna alichowakosea, ampe Wizara ya Elimu huyu Baba. Atamsaidia mpk atamwekea historia katika maisha yake ya uongozi. Aaache kubeba hiyo mizigo ambayo inemchomesha Kwa wananchi. This guy is an Important asset in this country.
@ingozescopion
4 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa waziri wa wizara tatzo yeye cyo Mbunge wa Jimbo ni wakuteuliwa
@geey7893
4 ай бұрын
@@ingozescopion Wala Haijalishi Nadhani ukishakua Mbunge una haki ya kuwa Waziri bila kujali umeteuliwa au umepigiwa kura. Kabudi amekuwa Waziri kipnd Cha Magu akiwa Mbunge wa kuteuliwa, Ummy Mwalmu, Angela Kairuki. Na manaibu Waziri kibaoo
@dassustephen731
4 ай бұрын
Sometimes kuongea ni rahisi kuliko kutenda
@senziashwaibu3219
4 ай бұрын
@@dassustephen731huyu ni mtendaji mzuri sema tu nafasi ndo hapewi
@dassustephen731
4 ай бұрын
@@senziashwaibu3219 Watu kama Dr Bashiru watafaa zaidi kwenye mifumo mizuri inayozingatia uwezo au weledi badala ya kuzingatia uchawa,kujipendeleza kama njia kuu ya mtu kupewa nafasi ya kuongoza
@wardadvaz
4 ай бұрын
Hongera sana Mhe Bashiru M mungu akulinde na azidi kukupa afya njema na subrah ktk maisha yako yote ya hapa Duniani
@joframsa
4 ай бұрын
🙏🏾
@tanzanitetv
4 ай бұрын
Mtu pekee mwenye sifa ya kuwa Rais wa nchi,lakn kwa nchi hii na CCM ilivyo ngumu atausikia tu wataingia wahuni wahuni tu
@PAMA3542
4 ай бұрын
Bashiru Kaka wew ni mkweli daima wew nikiongozi mkubwa mh Magufuli alikuona mapema alikuwa anakuandaa lkn haya ni maisha tu tutafika siku moja utakuwa kiongozi imara zaidi
@festokemibala5832
4 ай бұрын
Mmmh, tupe mkakati wako uliokuwa umeuandaa wakati ukiwa Mkuu wa Utumishi kuhusu kuwapandisha vyeo watumishi waliokuwa hawajapandishwa/badilishwa vyeo baada ya kupata sifa kwa muda wa miaka 6 ya kuanzia 2016-21?
@hassanmfaume4522
4 ай бұрын
@@festokemibala5832anaongea tu
@tanzanitetv
4 ай бұрын
Presidential Material, lakn wahuni wakimsikia wanadhani na kuhofia atakuwa Rais,
@ebenezerkaaya7345
4 ай бұрын
Huu ubongo bado upo vzr, nalazmika kuamini ulitumika vbaya kweny SG Acxademician 👍
@bobjulieoneheartband
4 ай бұрын
Mungu Akubariki sana Dr. BASHIRU
@kaundasutikaunda7769
4 ай бұрын
KAZI KUSIFIANA TU. EMBU ONGEENI KUHUSU REPORT YA CAG ...JE MAJIZI YAMEKAMATWA MPAKA SASAHV??
@guugug9gt829
4 ай бұрын
Yote majizi ndiomaana yapokimyaa
@kambamazig02024
4 ай бұрын
Dr. Bashiru umesema ukweli kabisa, hatuwezi kushindana na vyuo vikuu vingine duniani wakati ukiritimba ni mkubwa sana nchini kuhusu elkimu ya juu.
@kalumbugideon4159
4 ай бұрын
Hongera sana Daktari Bashiru ❤
@yohanamsongole6489
2 ай бұрын
Huwa namukubali sana
@MustaphaKiluke
3 ай бұрын
Kuna wote wamezaliwa kuwa viongozi ukiwasikiliza tu maneno yamenyoka,salute na heshima kwako Dr.Bashir Ally kakurwa
@AgnesMathias-xi2he
4 ай бұрын
❤❤❤❤🙏🙏🙏
@kilungamponda3984
4 ай бұрын
Very good 👍
@edithjosephat7155
4 ай бұрын
Point Dr MUNGU akutunze
@ReonardBushiri
3 ай бұрын
Huwa sielewi ni kwanini hawa viumbe huwa kila neno wanapiga makofi,
@georgekilwa2051
4 ай бұрын
Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni click bites za nini? sijakufurahia
@AbrahamSekuza
4 ай бұрын
Naiomba serikali ipunguze bei ya mafuta ya magari inatutesa tulio huku chini maisha magumu mno
@Mapenzi2635
4 ай бұрын
In that way , our universities are simply glorified secondary schools .
@FahadAbubakari
4 ай бұрын
Tht is the fact.
@dostovan5142
4 ай бұрын
You are damn right
@ShukuruShukuruassani-yj8bs
Ай бұрын
😢😢😢😢😢
@mariadaison7640
Ай бұрын
Mama Salma umenikaa kwenyemoyo wangu piga kazi wanapika kelele wache wapige
@abdulhamis9825
4 ай бұрын
Nipo Na Ww Zaman Sana Dkt.Bashiru Ally Kakulwa
@TOMSAMSON-tj3sc
4 ай бұрын
Hivi jamani Kasi ya Tanzania ya viwanda ipo?
@EnockCharles-nd5to
4 ай бұрын
Kwanini hukumshauri Magufuli?
@omanoman-ir1ez
4 ай бұрын
hayo ndo matatizo ya watanzania sasa mgufuri kaingiaje hapa sikiliza point na kila maelezo au points kuna wakati maalum na mazingira yake sasa hoja ya kwanini hakumshauri magufuli ni shida hiyo watanzania tujitambue
@momhalidi9786
4 ай бұрын
Duuuuuh
@GeorgeNtauka
4 ай бұрын
Yupo makini sana
@abdalahgunda1319
4 ай бұрын
Albasbiru on ccm leadership is the pasonol understand leadership although has is own weekiness but albasbiru use his education although is hard to him clear reality underground because on ccm inside you can't drive ccm leadership into right channel
@Brunn-mh2bq
4 ай бұрын
What did you just say? Gosh! What language is that 😢
@Soon815
4 ай бұрын
@@Brunn-mh2bq Laughable
@abdalahgunda1319
4 ай бұрын
Swahili don't westing your time creatisise my English because you don't understand English if you could understand no need to safer read my English get point move into your maindset creat lmotion to Tanzania population
@philbertluhunga5932
4 ай бұрын
Bashiru ni kweli kabisa. Jana kabudi alikosea sana kusema kuwa tuna publish na perish. Sio sawa kabisa
@obedpeter6874
4 ай бұрын
Wazee wa kukurupuka Taarifa wamenywea maana hoja ya kum challenge daktari hawana wanaofia kudharirishwa
@RwegoshoraPatt-os2ik
4 ай бұрын
Wakola kyoma
@PhilipoLeonard-q5w
4 ай бұрын
Maneno magumu sana
@muaminiadamu2361
4 ай бұрын
Sukuma gang mko live
@JaphetJairos-n4l
4 ай бұрын
Uyu mwamba namqubar
@spacdawgcokckgroupofcompan6164
4 ай бұрын
Inabidi kukodisha waalim wakizungu wenye elimu yao kuja kutupa hiyo elimu wao kama wao siyo kupewa elimu na walioambukizwa elimu yao na pasipo kuipokea vizuri ni #changamoto
@BONGOINMOTION
4 ай бұрын
Nchi zao zitawaua
@DiwaniMwafongo
4 ай бұрын
Haya ni ma CCM ni manafiki hatari .....
@AibaSaidy-jz3xs
4 ай бұрын
Sina neno maneno ya bashiru yanatosha.
@jamilahjamilah4157
4 ай бұрын
waallaah kwa uongozi wa mm samia masikini hawa wezi kuvuka kwasababu wasaidizi wake wengi sio wazelendo wana wapiga sana wana nchi na akitokea mtu wa kuwatetea wanaenda kumlisha matango bori raisi anamtoa kwenye hicho kitengo na yy baado hajaguduwa wasaidizi waraisi wengi ni mabom ya yukilia
@guugug9gt829
4 ай бұрын
Mama apumzike awapishe wengine
@clementiddi5708
4 ай бұрын
Ahsante Bashiru.
@batihubadiy3106
4 ай бұрын
Huyu ni MNAFIQ kipind yeye Yuko katika Mfumo hakuwai kulipiganiaa Hilo Ila kumbe Ukitokaa kwenye mfumo ndio Unajuaaa Hilo ?
@Soon815
4 ай бұрын
Alikuwa kwenye mfumo upande gan?? Na muda gani?! Acha bangi hujui chochote
@batihubadiy3106
4 ай бұрын
@@Soon815 Aneteuliwa kuwa Katibu MKUU w Ccm hakuliona Hilo akalifanyiaa kaz km Chama knachosimamia Serikali n pili Alipokuwa Katibu MKUU Kiongoz w Serikal ,je Ali lisim amina Huyo mtu kupata haki yake?
@husseinmkanga7794
4 ай бұрын
@@batihubadiy3106Kwahiyo anayosema ni kweli au sio kweli? Hilo ndio muhimu siyo alikuwa nani au ni Nani.
@batihubadiy3106
4 ай бұрын
@@husseinmkanga7794 anayoyasema ni kwel na yametokeaa meng tu na hili limetokeaa kpnd yy yuko Nyadhifa za juu kabsa ,Y hakulisemeaa ? Watu weusi tuna Roho mbaya sana yaan hatupendani
@husseinmkanga7794
4 ай бұрын
@@batihubadiy3106 Uelewa wako wa siasa ni mdogo kinacho sababisha hilo tatizo ni Sheria ndio maana sasa hivi akiwa mbunge anatumia nafasi ya kikatiba kama kuiomba au kuishauri serikari kupeleka muswada bungeni ya kubalisha hiyo Sheria inayo leta hilo tatizo. Sheria zinabadilishwa bungeni sio ikulu au kwenye chama. Alikuwa katibu mkuu wa chama hausiki na mabadiliko ya Sheria sasa hivi kama mbunge anahusika na mabadiliko ya Sheria. Ametoa mfano wa kesi moja lakini zipo nyingi. Hakuna tena uhuru wa mijadala vyuoni iwe ya kisiasa au maendeleo. Kilicho semwa ndio muhimu siyo nani kasema!
@ChristianMkumbo-ix2ke
4 ай бұрын
Nyiye wote ni ccm na akili zenu ziko tumboni nothing you can do
@lusapajoseph8745
4 ай бұрын
Utufu
@angelomfilinge8662
4 ай бұрын
Mimi nilikuona tangu ukiwa pale KAVAZI
@sylvestrengwelu2012
4 ай бұрын
KIONGOZI UMEONGEA UONGOZI
@paschalpaul3862
4 ай бұрын
Mimi naona ni hoja za kimasrahi na hivyo hawezi lingana na hoja za kishimba na mengi anayoongea ni masrahi na siyo kusaidia nchi
@George-jz3jg
4 ай бұрын
Pumbavu wewe hujielewi
@mohamedkeref9589
4 ай бұрын
Hujaelewa alichojadili energies ur brain
@husseinmkanga7794
4 ай бұрын
Hajielewi huyo chuo kimeingiliwa na serikari ndio anavyosema. Maslahi gani? Siku hizi hata mijadala hairuhusiwi mkuu wa chuo kikuu cha dar kikwete.
@RenatusMatungwa
4 ай бұрын
Huwezi kumuelewa we akili yako ni ndogo sana
@sponsor7882
4 ай бұрын
Hakuna bunge hapa wapiga makofi tu
@ben2themusic
4 ай бұрын
hii ngoma kali mnoo😮 #Hawatoweza kzitem.info/news/bejne/jrCQ02qfgZina6gsi=LUdCsWVS5-dkzH1s
@godymbanyi1878
4 ай бұрын
Mungu akutunze Dk. Bashiru! Muda utaongea!
@nevermwambela3719
4 ай бұрын
Umeongea vzr sana Dkt Bashiru, kwakweli hapo kwenye kupanda vyeo ni mtihani inakatisha tamaa... Utumishi waangalie tuweze kuwa wa kimataifa... kuandika machapisho ni kazi kubwa sana tupewe motisha
@kelvinmwombeki763
4 ай бұрын
Ukiritimba tu unasumbua ,wangewezesha vyuo vikuu kujiendesha ,kisha serikali ikatenga asilimia ya fungu I support stahiki za raslimali watu ikiwepo kugharmia publications nk zitatolewa kwa wakati mambo yangekua poa sana ,
@albertinamichael6123
4 ай бұрын
Hawa ndio wamezaliwa viobgozi.
@sospeterurassa9894
4 ай бұрын
Hongera Mh.kwa uchambuzi huru na mzuri kwa maboresho endelevu,Salute kwako baba
@yusuphmakangemakange4474
4 ай бұрын
Mungu muumba mbingu nakila kichopo dunian akubariki wewe bashiru aly
@noelnoel4916
4 ай бұрын
Unaona mchango kabambe huo, tuwe na imani Tanzania in watu. Mungu ibariki
@MOSAMAJE
4 ай бұрын
Mko kwenye ajira mnajitetea wenyewe wanaohitimu ambao hawana b wala che hamnampango nao hii nchi kweli amakweli mwenye nacho huongezewa ambae hana hata kile alicho nacho hunyangany
@sebastiansalamba313
4 ай бұрын
Jiwe walilolikataa waashi Iko siku
@romastasenterprises4447
4 ай бұрын
Hongera sana Mh. Bashiru. Tunakuelewa, God bless you
@hildandumbalo5827
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana Dr Bashiru na akulinde umeongea vitu mhimu sana 🤝💪🏻💪🏻🎉🎉🎉❤❤❤
@josephlorri431
4 ай бұрын
Sauti na ujengaji wa hoja amefanana na Askofu Mkuu,Yuda Thadei Ruwaichi.. hata umakini wa kuongea
@stephenalmas4209
4 ай бұрын
Wenye akili nyingi wakiongea husikii minong'ono yyt kutoka kwa ilimradi liende, hapo ndipo unaona maana halisi ya uchakachuaji wa matokeo na kupitisha wawakilishi wanaoomba kikao kiishe wakale chips kwa bar ya jirani, na hapo ndipo kura zao za ndio zinapoumiza taifa, makala zao utasikia .... kalifurahisha au kalichekesha bunge. Sijui ni elimu ya wapiga kura bado haijafika vizuri kwa wananchi duni na wasioweza kung'amua vema viongozi wa kuwaongoza! Maana ma-Pweza huwa wanafanya hila nyingi ilimradi washinde wakasinzie na kupiga makerere bungeni na miongozo yenye nia ya kuficha uozo wa wanao wakumbatia ili waendelee kula bata. Akili kubwa ikiongea, husikii minong'ono wala kicheko...maana huwa hawana hoja zaidi ya kuchekesha.
@zigrondabagenga8585
4 ай бұрын
Kwa kwelii ni point tupu na mifano dhahir
@jumanneselemani2172
4 ай бұрын
HAPO KWENYE VYEO BASHIRU UMENIKOSHA.WATUMISHI HATUPANDI KWA WAKATI ILA MBONA HUKUTUSAIDIA ULIPOKUWA KATIBU MKUU ENZI ZA MAGUFULI.
@mohamedpesambili9460
4 ай бұрын
@@jumanneselemani2172toka Lin katibu mkuu akahuaika na TAMISEMI kama sio Rais na Waziri husika
@hassanmfaume4522
4 ай бұрын
@@jumanneselemani2172hawa wakitoka ndio wanajifanya watetezi wa wafanyakazi 😅😅
@amanijoseph6764
4 ай бұрын
Well said brother..you reall said truth..ndio maana wangine wanaamua kufanya biashara..ila kusoma UDSM nishida sana..kuwa professor ni kitu kigum sana
@eleutermhumba347
4 ай бұрын
Hongera Dr KAKULWA
@jacksonpetro9558
4 ай бұрын
Tuna hadhina kama huyo Dr lakini hawapati nafasi😢😢
@romastasenterprises4447
4 ай бұрын
Hongereni sana Wabunge wetu kwa mjadala wa kuboresha elimu yetu hasa Vyuo vikuu. Naomba msifumbie macho tabia ya Wahadhiri kusumbua watoto wetu na hasa wakike kwenye swala la mapenzi japo kuna kisingizio kwamba wanaosoma chuo kikuu ni watu wazima.
@masanullahuzuni
4 ай бұрын
Akilinya kusema ukweli inamfinya bakozi Alikuwa mahiri sana zaidi hapa
@eutychusthiongo1335
Ай бұрын
Balozi Dr Bashiru Ally Kakurwa siku moja atakuwa Rais. Mimi Mkenya
@paldonjonas9489
4 ай бұрын
Huyu ndo Bashilu ninayemjua
@MalusiCebekhulu
3 ай бұрын
Ndio maana ndugu zangu mkiambiwa mtu anaitwa Dr ndio watu kama hao wenye elimu na uwezo, sio mtu anaitwa doctor hata vyeti vya ufundi veta hana alafu anaitwa Doctor!!!!!! Duuuh aibuu hiyooooo
@angelomfilinge8662
4 ай бұрын
Hongera sana, endelea kulifumbua taifa.
@josephkapesa5880
4 ай бұрын
Nipo pamoja na wewe dr bashiru hata kama ikinibidi kutoa sadaka kubwa ktk karne hii ya 21 kwa sababu wewe ni msema ukweli na kiongozi shupavu
@Carolina-sm5zt
4 ай бұрын
Mungu akusaidie Bashiru Aly hakika tumekukumbuka sana
@divinemwakapina4059
4 ай бұрын
Balozi Dr. Bashiru umeongea ukweliii kabisaa, tunapambana saana kuchapisha kwa mifuko yetu, lakn unapanda leo unakuja kupata mshahara miaka3 mbelee
@davidmpiluka5224
4 ай бұрын
Mh. BASHIRU, Nchi yetu si maskini bali ni Nchi iliyojaa watu wengi wenye kujilimbikizia mali pekee yao bila kujali mgawanyo sawa wa keki ya Taifa.
@hassanmfaume4522
4 ай бұрын
Kivipi wewe unalala unaamka saa nne mwenzio kaamka 11 mfanane kimaisha tafuta pesa acha kulalamika lalamika wakati wa magu mlikuwa mnasema hapa kazi fanya kazi magu si mjomba wako😅😅😅
@davidlaiser8174
4 ай бұрын
Mimi ni Mtanzania ninayejielewa kuhusu nchi yangu ya Tanzania. Tokea Bashiru anaanza hoja yake mimi nimemuelewa kabisa.Uchungu wa kuipeleka mbele nchi anayo kutoka moyoni mwake.Huyu ni Mtanzania haswa wala haupepesi macho. Ameongea maneno machache lakini ameongea maneno makubwa sana ambayo siyo tu ya kielimu. Kwa jinsi ninavyoipenda nchi yangu ya Tanzania natamani watu wa aina yake waiongoze nchi yetu. Eee Menyenzi Mungu upo unaona mioyo ya viongozi wetu.Nakuomba utupe kiongozi yeye Bashiru au wenye kuipenda Tanzania kama yeye.Amen!
@KandidaMtitu
4 ай бұрын
Kabisa kabisa...🤝
@stanleyamlima2085
4 ай бұрын
Uwooooooongooooooo
@peteralmas1505
4 ай бұрын
Niko pamoja nawe
@bobjulieoneheartband
4 ай бұрын
Hujakosea mimi NAMPENDA huyu Baba akiongea tuu Namkumbukaga JPM Na Machozi hufuata😢❤❤❤BASHIRU SIKU AWE TU PRESIDENT 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@thomaskwibonelwa9240
3 ай бұрын
Dhahabu iliyokataliwa na mafisadi ya nchi hii.
@godfreyerasto1208
4 ай бұрын
Very good
@DonatiraNdyanabo-wm4rl
4 ай бұрын
Hongera. Bashilubkb. Inawasomi
@freddykulwa8190
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤tanzania
@VictorJoseph-e4m
4 ай бұрын
Mjinga wewe
@boneventuremweya3673
4 ай бұрын
Huyu jamaa alikuwa smart kipindi yuko Udsm akichambua mada kwnye media tatizo ni kipindi kawekwa kileleni na kupewa mrija wake wa asali y taifa wakati wa Mpenda utukufu na misifa,busara ubongo alivihifadhi tumboni akageuka gafla mtu wa kejeli na mropokaji nguri kama bosi wake ,Ni mnufaika na ameonja utamu wa serikali ya kibabe na ndo maana kataja adi mfano wa madikiteta waliosoma Uds kama m7 na mtetezi wa wanyonge kana kwamba ni sifa mojawapo nzuri Udsm.huyu mwamba ni sehemu ya wasomi wetu nchini wa majalalani.
@jaywi5681
4 ай бұрын
😂😂 KUMBE Mtu aliyekaa madarakani miaka 05 tu akaiwezesha nchi kuwa na ndege zake, kuwa na makao makuu yake halisi badala ya makao makuu ya maneno, kuwa na chanzo cha umeme madhubuti na cha kudumu, kuwa na Reli ya kisasa, kuwa na huduma nzuri za kijamii huyo ni MPENDA SIFA? Basi kama ni mpenda sifa alikuwa sahihi. Je wewe MPENDA KASHFA na wenzako mmelitendea nini Taifa hili? Nchi yetu imetawaliwa na Marais 4 Kabla ya JPM? Kama 03 wangekuwa WAPENDA SIFA za hivi tungekuwa hapa? Rais wetu mama yetu naomba uwe MPENDA SIFA ZAIDI YA NYERERE NA JPM Kwani WAPENDA SIFA NDIYO WALIOACHA ALAMA ZENYE TIJA KATIKA TAIFA HILI.
@annaniasbyarugaba5788
4 ай бұрын
Huyu ndie aliefaa kuwa Raisi baada ya JPM. Tatzo nnchi zetu mtu akionekana ana uwezo mkubwa(intelligent) basi anawekwa kando
@fackazizi2170
3 ай бұрын
Kweli
@williumgeofrey9587
4 ай бұрын
Wabunge wajinga darasa la saba hawajaelewa kitu hapo
@jayzeem14
4 ай бұрын
Great contribution
@allyfutto8763
4 ай бұрын
Inapendeza Sanaa MASHAALLAH
@farhatfatma12
4 ай бұрын
Hawa wabunge kila sentence wanapiga Meza hivyo hawaoni Kua wanaleta fujo?
@elvira9325
4 ай бұрын
Hahahhah hahhahaah jaman
@hassanmfaume4522
4 ай бұрын
Wanaharibu meza bure tu
@NixonGerson
4 ай бұрын
Niwaulize kitu ..kama wasomi ndio nyie iweje umadkini umejaa tz ..usomi ujinga kumbe . Sioni faida ya elimu ... ni sehemu ya kuchumia tumbo LA family
@dostovan5142
4 ай бұрын
U are right
@jumanneselemani2172
4 ай бұрын
BASHIRU UMEONGEA VYEMA ILA WAKATI UKIWA KATIBU MKUU.ENZI ZA MAGUFULI MBONA HUKUSHAURI JUU YA UPANDAJI WA MADARAJA KWA WAKATI.
@bickosichula986
4 ай бұрын
umejuaje kama hakushauri
@michaelmwedimage5515
4 ай бұрын
Hongera Sana Baba
@AlvinMakenzi
4 ай бұрын
Hongera
@ajirathabdulnoor4832
4 ай бұрын
🎉
@josephmathayo5139
4 ай бұрын
Mh: DR BASHIRU Mwenyezi Mungu aendelee kukusimamia . Mchango wako ni Muhimu Kwa Maendeleo ya Elimu TZ.
@georgekilwa2051
4 ай бұрын
Kichwa Cha habari halikuakisi yaliyoongelewa ndani BASHILU ALLY YUPO sawa lakini hii ni blog ya kihuni clickbait za nini? sijakufurahia
@Chemba67
4 ай бұрын
Hapa akina Kibajaji, Msukuma ni maluelue kichwani wameachwa mbaaaaaali na huwezi wasikia.................taarifa muheshimiwa spika kwakua sio eneo lao.🤣🤣🤣🤣🤣
@farhatfatma12
4 ай бұрын
Jamaa wanapiga makofi hata kwenye NEGATIVE. Au mimi tu nimeliona hili.
@EliaHiluka-uz3ty
4 ай бұрын
Wapiga makofi
@kombidin..2583
4 ай бұрын
We endelea kulialia 😂
@JeremiahYohana-br2bd
4 ай бұрын
Tanzania tunatumikia utumwa wa mabeberu wazungu katika elimu, rasilimali, utawala n.k siku tukijigundua nakufanya mapinduzi tutakuwa Taifa tajiri Afrika na Duniani. Shida ni viongozi tulionao wanajari matumbo yao tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
@angelomfilinge8662
4 ай бұрын
Mheshimiwa Balozi Dr. Bashiru Ally ni Msomi mwandamizi anayetumia elimu yake sawasawa kama nyenzo.
Пікірлер: 208