Mimi nafikiri kwa uongozi huu ccm waliozoea chama chao wabadilike. Asante Dr Bashiru humung'unyi maneno. Hata siku ile ya msiba ulimuonya Bashite bila kumung'unya maneno.
@athumanomary1171
5 жыл бұрын
Asante san kiongozi kwa muongozo wako mwema mwenyez MUNGU yupo pamoja nasi
@hassanikindamba8603
Жыл бұрын
Kiukweli 2025chukua form kaka
@leonardmrope9528
5 жыл бұрын
Safi sana mkuu,,,wape dawa mzee
@frankkimario1999
5 жыл бұрын
kaka ningetamani sanah ungendelea na mwalimu.Dr ukiongea unaeleweka
@athumanomary1171
5 жыл бұрын
Asante san mwenyez MUNGU mkuu kwa muongozo wako mwema kwa viongozi wetu
Shikamoo ccm!Penye kukemeea ,kemeea kaka!Penye kusifu sifu haijalishi ni nani maadamu kaingia kwenye kumi 18!!!
@godrichard7137
5 жыл бұрын
ccm mbelekwambele raisi wetu kasimama imala hamtaweza kumludisha nyuma kamwe mungu yupo pamoja na yeye
@georgelukuba7696
5 жыл бұрын
CCM MBELE KWA MBELE NAUNGA MKONO HOJA NA MIMI NASEMA HAO NI WAPUMBAVU...........
@kitokisospeter7247
5 жыл бұрын
Hawo kweli ni wapumbavu wa mwaka. Wanadhani tena watanzania ni wapumbavu kama wao. Hakuna kitu kama hicho. Magufuri mbele kwa mbele.
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
ASANTE DACTA BASHIRU.....
@mubarakmgunga4223
5 жыл бұрын
nakukubar sana dr. Ally Bashiru
@jamesmahende4888
5 жыл бұрын
Big up sana Ccm wewe unaye subiria Ccm ishuke utasubiria sana mpak punda aote pembe.
@sendeesupriydewoochiagaliy7474
5 жыл бұрын
piga kazi mkuu tumeona tumetoka nawapi tunakwenda. kelele za hao watu ni kwa sababu wa menyanganywa mali walizo pora selekari zimerundishwa kwenye chama na kufanya kazi ya Nchi.
@malcomg1004
5 жыл бұрын
Me kitu nimeipendea ccm ni sehem moja tu.hatuna huruma na vizee vistaafu.hasa vipumbavu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@madetetv6576
3 жыл бұрын
Shida ilianzia hapa
@mpondaahamida2146
5 жыл бұрын
Ccm mbele kwa mbeleeee ,mzee wetu Magufuli ni pepeto ndani ya chama, pumba zinatowa povu mchele unaendelea kutupa ladha tunayoitaka watanzania. Nimekupenda katibu mkuu endelea kutoa dazi kali zaidi usiwaonee huruma ili wapone.
@kelvinkawea6016
5 жыл бұрын
CCM OYEEEEEEEEEEE
@bullekisimikwe3852
5 жыл бұрын
Tushawapuuza wapumbavu hao Mh. Katibu, piga kazi maanaa nia njema ya rais wetu tunaiona.
@@raziambwana2145 Marahabana au Marahabaaaaaaaaaaaaaaaa 😜🚶🏼♂️🚶🏼♂️🚶🏼♂️
@kyandohtulambona1166
5 жыл бұрын
CCM number one
@FrancisAMligo
5 жыл бұрын
Bashir pouwa endelea hivyo hivyo. Nchi haiwezi kuendeshwa kwa kudekezwa kama wapinga maendeleo na wenye tamaa ya madaraka.
@tozzaalexandar4905
5 жыл бұрын
Ndio baba vyemaaa kanyaga dawa
@jamesmahende4888
5 жыл бұрын
Oyeeeeeeeeeeeeeee, Oyeeeeeeeeeee...
@captainenough681
5 жыл бұрын
Nashangazwa na Watanzania kwa Munayo Mfanyia Rais Wenu. Niko Uko Utter America Wanasema Tanzania Wamepata Rais Atakaye Wapeleka kwenye Uchumi wa kati na Maendeleo yenye Kushangaza. Jitafakalini ndugu Zangu. Nimepata kuwaambia kuwa Maeneo ya kinondoni Garden kwetu nikirudi nitashangazwa
@abuusufian6506
5 жыл бұрын
Acha uwongo ww
@tanzaniteinzanzibar6655
5 жыл бұрын
CCM oyee, Magufuli ni raisi bora duniani...
@fadhilplatnumz6209
5 жыл бұрын
Nc- BASHIR
@ibahimmuna1252
5 жыл бұрын
kabisa....
@raziambwana2145
5 жыл бұрын
Dodoma ni ng'ome usiogp tupo imara! Popote mlipo tupo. Safar inaendelea..... ...
@patrickzacharia5276
5 жыл бұрын
Huyu jamaa anafaa sn nilikuwa simfatilii asee
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
Dacta hivo hili...limesoma urusi na yugoslavia
@johnrutta5025
5 жыл бұрын
watanzania ndo weny majibu maisha yao yamepata unafuu chini Ya utawalA wenu au maana kwa hali ilivyokua ngumu Nchin sijui.. mnalingia nn..
@samwelmwakibuja3846
5 жыл бұрын
Ukinishauri ndo umeharibu kabisa
@joshua76silas27
5 жыл бұрын
Kumbe huyu jamaa ni hatari hivi,sijawahi kumsikia akigomba.wape vidonge wapuuzi.
@davidremmy2769
5 жыл бұрын
Naiona hofu kwenye maneno yake.
@abduazizi4536
5 жыл бұрын
Ccm wakoje serikali yao wameshindwa kuwalipa wakulima wa korosho na waliwaaminishwa kama wameweza kununua ndege watashindwaje kununua korosho mpaka leo wakulima wa korosho wamekata tamaa leo mnasema serikali safi kwa usafi upi?
@saidali2235
5 жыл бұрын
Mmeishiwa ccm
@juliusludete1407
5 жыл бұрын
Comred Katibu Mkuu ameongea vizuri sana hasa pale aliposema kuna wana CCM wanatafuta kiki kwa kutoa matamko hovyo hovyo,,, nikisema hovyo na maana kwamba CCM ina utaratibu wake wa kuwashughulikia wanachama waliokengeuka. Utaratibu huo uko toka enzi za mwalimu lkn nashangaa leo kila mwanachama wa CCM ni msemaji, anaita conference na kuongea kana kwamba ni msemaji wa Chama. Wana CCM wawe na nidhamu ya kusubiri maamuzi ya vikao au viongozi wakuu wa chama na wao kuyaunga mkono. Hongera Katibu Mkuu kwa kukemea watafuta kiki.
Message sent to Membe, vile vipande vya mmeguko sijui kaviokotea wapi!?
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
Yani lile dingi lina lana sana...eti ccm imemeguka
@mussajerikoo7746
5 жыл бұрын
Ccm nitakupenda daima,wambie baba nakukubali
@victormneney8236
5 жыл бұрын
CCM chama cha ukombozi kusini mwa jangwa la Sahara Sadec Vijana mnaojifunza siasa acheni ushabiki Rudi shule siyo kila kitu mnaponda tu mnataka nini zaidi ya haya mnayoyaona?
@awadhhamza9296
5 жыл бұрын
@Siwema Mahenge ahahaha
@avocadotz2946
5 жыл бұрын
Utawala Bora unafuta demokrasia safi, kilosi wewe
@jumajaffary9698
5 жыл бұрын
Prevention is better than cure... Kukinga ni rahisi kuliko kutibu, Tungezuia upuuzi wa wanaharakati uchwara tusinge fika hapa tulipo, Lakini nakupongeza kuzuia wanaojifanya wakereketwa... Ni vizuri tukazuia na chanzo ili isije ikatokea tena!.
@georgeerick3140
5 жыл бұрын
baada ya maguful kumaliza muhula wake wa miaka kumi apewe huyu dr ally bashiru!!huu ni moto wakuotea mbali ni mkali asopenda ujinga lkn kasim majaliwa anaweza lkn co mkali kama huyu.
@ababuumwana5102
5 жыл бұрын
CCM Hoyeeee JPM Nambari 1 Miaka 40 anatosha Sana'a Kazi inaonekana waziiiiii
@abduazizi4536
5 жыл бұрын
Ameshindwa kuwalipa fedha wakulima wa korosho jpm alisema ameweza kununua ndege hawezi shindwa kununua korosho lakini hadi leo hawajalipwa pesa zao ubora wake uko kwa lipi?
@ababuumwana5102
5 жыл бұрын
@@abduazizi4536 wewe Sio mkulima wakulima wote wanajua kila kitu we we ni kati ya waliowekwa kwenye mitandao kusema uwongo bila mafanikio Hii ni nchi sio kijiwe cha kuvuta bangi maana ata account yako unaogopa kuweka picha yako kwasababu unajua unachokifanya ndio maana unajificha muda umeisha hii nchi haiwezi kuchafuka kwa kujificha humu Watanzania amani kwetu ndio muhimu sio vyengine JPM Nambari 1 anatosha Sana'a Kazi inaonekana Waziiii Nongwa zitawapa presha mtakufa bure kwa rohombaya zenu
@abduazizi4536
5 жыл бұрын
@@ababuumwana5102 sawa kwahiyo wewe unashangilia kudhurumiwa wakulima wa korosho maisha duara kesho litabadilika watadhurumiwa ndugu zako au wazazi wako ndipo utakapojuwa walikuwepo watu wa ukanda wa pwani enzi ya jk kila ukilalamika wao wanakuponda leo ngoma yao imezama na huo ukanda wa ziwa juwa lichelewe litazama tu korosho zimemshinda kulipa ni aibu kwake alisema ameweza kununua ndege kumbe hata ndege ni mikopo ndio maana deni limeongezeka
@abduazizi4536
5 жыл бұрын
@@ababuumwana5102 Hakuna kazi inayoonekana kila kukicha kutengua watu uwaziri cha ajabu simbachawene alipojiuzuru na yeye kuridhia alimponda kwenye mkutano wa hadhara na kumtangaza mapungufu leo anamteua yuleyule yaani anakula matapishi yake uchafuuuuuu
@abduazizi4536
5 жыл бұрын
@@ababuumwana5102 yaani unajisifia kuweka picha unauza sura kwa wanaume wenzio we vipi picha wanaweka madada waonekane na sisi midume
@avocadotz2946
5 жыл бұрын
Jpm ulipata wapi ujasiri wakumpa kada wa cuf nafasi nyeti ndani ya ccm!
@chedielimrutu6955
5 жыл бұрын
Kweli kabisa Katibu wetu tutumie katiba na miiko kushughulikia mambo yetu sio kujipatia umaarufu
@tadayodisala4391
5 жыл бұрын
Natafuta mchumba😋 Awe na Confidence, Awe na good Appearance Awe na P. Clearance. Awe anajua Kiinglish kama mimi. Awe na uwezo wa kuinama naku rotate nakupinda mugongo, Awe mtam sana. Awe mrefu kama Miliam Odemba, Awe na shingo ndefu kama binti wa Kagame. Awe na kipawa kama Gigy money ili siku nikihitaji Ugali wa Dona kwa papa au sangala na kibua aweze kunisongea, Awe anajua kupika wali wa nazi, Awe na nyumba hapa mjini, Awe na rav 4 new model, Awe na vidimpoz, Awe na mguu wa bia, Awe anampenda Yesu, Awe na kiuno cha nyigu, Awe na uwezo wa kujilegeza na kunibeba mgongoni, Awe na meno masafi, Asiwe na kichwa kikubwa Asiwe na kibiyongo. Asiwe mchepu akanifanya dharura emergency, Anipende na kurizika hata kama nina kibamia🙈 Mwanamke yeyote mwenye sifa hizo please anitafute haraka iwezekanavo napatikana Magohe ndani ya jiji la dar es salaam. Naitwa Tadayo Disala kutoka Simiyu
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
DA BOSI WANGU MASIARA AYOOOO....TUSEME KTK KIPIBDI HIKI CHA KINA MEMBE NA KINA MAKAMBA UNATAFUTA MCHUMBA KWELI KIRAHISI RAHISI HAPA!!!???..MASIARA AYOOOO.....
@edwardkongo9341
5 жыл бұрын
haongei hongei huyu. hapo alipo anakila data sasa anamwagika tu.mwagika baba
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
Hahahaha...kwa kuwa ati ni mjamaa basi wakamuona haongei...
@messiahssaidsaid6667
5 жыл бұрын
Ccm inawenyewe waacheni waseme mwisho watachoks
@munirakatundu6787
5 жыл бұрын
TENA WAPUMBAVU
@asadysikaponda7189
5 жыл бұрын
Umechaganyikia
@amirimsuya9531
5 жыл бұрын
mnakazi na hii ccm
@hawakassimu6120
5 жыл бұрын
Ccm mbele kwa mbele kidum chama cha mapinduzi kigum kutoka madarakani ! Nia nzuri ya raisi wetu kwa nchi yetu na chama chetu inaonekanaa
@killianwambura9584
5 жыл бұрын
Duuhhh hii ccm ni hatari mm nasema hawa maadui hawataweza hii ccm ni imara sana
@danielmgogo6484
5 жыл бұрын
MEMBE YUPO ANASIKIA EEEE
@godfreylyimo4177
5 жыл бұрын
Sio chama na watendaji wake hawakimbii speed ya Mh Rais aliyejitoa kafara kwa ajili ya ustawi wa watz,ndio maana wastaafa bado wanaweza pata nafasi ya kuongea...fanyeni kazi rudisheni IMANI ya wananchi kwa chama na sio kutegemea kazi ya Rais pekee kuwajenga
@leilainnocent6532
5 жыл бұрын
Tunataka rais aongezewe mda ili aendelee kuijenga nchi yetu.
@mubarakmgunga4223
5 жыл бұрын
hatutak usultan ndani ya ccm....muda wake ukiisha atang'atuka kama walivyong'atuka maraisi waliopita...
@mubarakmgunga4223
5 жыл бұрын
na tutapata kiongoz bora baada ya hapo
@emlongetcha88
5 жыл бұрын
NINI CHANZO CHA HAYO?? NILIWAHI KUSEMA "HUYU MUSIBA ATALETA BALAA" NIKABEZWA NA WENGI, SASA MNAANZA KUYAONA MATUNDA YAKE 😂😂
@errydeo8865
5 жыл бұрын
kaleta balaa,kafichua madudu??
@morefireministrychurch177
5 жыл бұрын
Elias Lukonga Mlongetcha akuna shida shida gani hawa ndio mafala tu
@jenyyusuph4973
5 жыл бұрын
chanzo chahayo mafisadi wanahasira nakuiba wamebanywa mbavu wamezoea kula haramu miaka yote wali sio msiba kulaharamu ndio inauowasumbua
@hollytalika8622
5 жыл бұрын
Yule ni genius Musiba asipewe hata cheo ili azidi kuyasema wanaotaka kumpinga Magu
@ThobiasMarandu
5 жыл бұрын
Kwa Sababu CCM Ni Mungu au? Safu ya Uongozi, Yaani Wewe, Magufuli, Bashite, Na Musiba Sio?
@richardgelard3523
5 жыл бұрын
Hayo matusi Mzee vip tena hiyo sio siasa mkuu
@shomarsamli2336
5 жыл бұрын
Mpumbavu ctuc mzee...rudi shule
@saimonmollel5451
5 жыл бұрын
"UCHWARA",😂😂😂😂
@gasparpatrick1639
5 жыл бұрын
Stafu ni mkapa na mwinyi wengine wapumbavu tu CCM inajitambua na waja wake
@sebastianjoseph8579
5 жыл бұрын
Damu ya lisu haitaacha MTU salama
@manenomeshack7908
5 жыл бұрын
Mheshim baba Na mama yako upate kuish miaka mingi.
@alfrednyenze3709
5 жыл бұрын
Ole ole ole wapumbavu acheni upumbavu.Hivi hapo anaeambiwa ni Msiba au?
@edisonraphael9400
5 жыл бұрын
Dr.. nikwambie labda ujui hili swala bado na najua damu hitamwangika msipo chukua hatua mm nikwambia ..utakumbuka maneno yangu ww Leo unaongea hujui Moto umeshaweka na kuni ..inakolenzwa Sasa we naona unaongea abayo uyajui na ww ndo mpumbavu ...kuliko wote ..koma kabisa
Ccm hoyeee mh rais kanyaga mwendo wasi kuyumbishe mh rais hawata weza
@remmychaula4341
5 жыл бұрын
Huyo naye hamna Kitu sjui wasomi wetu wanayumba wapi badala ya kujibu hoja kisomi anatukana. Hapo hujengi chochote zaidi ya unabomoa na kujiweka kimbelembele kwa mwenyekiti wake.
@justinwakudat6792
5 жыл бұрын
Acha kujikosha 🐂
@faustinsika5663
5 жыл бұрын
Bill polisi ninyi ni wepesi saana
@abrahambalamba7108
5 жыл бұрын
Kaeni kama chama mtatue mambo Yenu ya ndani kwa taratibu zenu za kichama. Kutumia maneno makali haiwezi kusaidia kitu.
@josej9888
5 жыл бұрын
Huyu na BASHITE hawana tofauti, kuropoka ropoka kwenye vyombo vya habari.
@mwikamwika4851
5 жыл бұрын
José ,wewe ndiyo mropokaji na usiyejua kitu. Wacha utumike kwa maslahi ya waliokutuma utukane. Dr. Bashiru ni katibu bora na katibu mwenye kukijenga Chama imara. Ccm thabiti hii na naamini watashinda kwakuwa wanafanya kazi zinazoonekana na watanzania wote
@josej9888
5 жыл бұрын
@@mwikamwika4851 Huwezi kutatua matatizo nakujenga chama kwa kutoa kauli kama hizi kwenye vyombo vya habari, jaribu kuwa muelewa nawewe! Sio tu kushabikia kila kitu.
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
Unamkusudia huyu dacta bashiru ana????!!!...WE UPO MZIMA KIAKILI KWELI!!???..DACTA BASHIRU HUWEZI KIMKUTA NA MAMBO YA KIJINGA JINGA...NI MUHADHIRI HUYU WA COLEJI...
@raziambwana2145
5 жыл бұрын
ruipa ruipa unaakili sana ww usigeuke nyuma utageuka jiwe tunakwenda mbele kwa mbele
@mashauriitambe9880
5 жыл бұрын
JOSE J Tunataka makati I wasomi na wanaojielewa km DKT bashiri ,,,,wale mapoyoyo wastaafu WAKANYE
@westonmbuba6421
5 жыл бұрын
Pepo ya mabwege
@OnlyRuky
5 жыл бұрын
Ccm pekee ndiyo wanaruhusiwa kufanya mikutano popote wapinzani wakifanya mikutano hata kwenye nyumba zao wanadakwa eti wachochezi😨 Dhulma hii inamwishoo mbayaa saana. Na ndiyo mwanzoo hayo malumbano yenu💃💃
@mshumbusideogratias9567
5 жыл бұрын
onlymeruky mkutano Wa ndani
@ababuumwana5102
5 жыл бұрын
Kila siku mnatafuta imani tu fanyeni kazi eti mikutano mnafikiri kila siku watu wanataka Siasa ? Watu wanfanya kazi hawali Siasa Fanyeni mikutano kwenye majimbo mliyochaguliwa sio muende kufanya mikutano kwenye majimbo ambayo sio yenu hiyo ni vurugu hatuhitaji kuibiwa kisha mikutano tu Tanzania ni bora Sana'a kuliko hiyo mikutano mnayoitaka ili muhamasishe vurugu
@wajinajecha5029
5 жыл бұрын
@@ababuumwana5102 Bashiru na Pole pole wamechaguliwa majimbo gani acheni dhulma kwa kuvitumia vyombo vya usalama nyie
@ababuumwana5102
5 жыл бұрын
@@wajinajecha5029 fikira mbaya huzaa uhalifu hao ni makatibu Wa vyama wanachaguliwa na vikao vya vyama na wanachama na kazi yao kufanya mikutano ya ndani na kupita kwenye majimbo ya wabunge wao Wa CCM kuongea na kukagua miradi maana ilani ya CCM ndio iliyonadiwa na watu wakakubali kukichagua uliona wapi CCM wakafanya Mikutano ya nnje kwenye majimbo ya Chadema? Jibu hakuna Sasa lawama za nini? Chama ni Sera sio kukaa mitandaoni kusema uwongo Kutekana na kumtukana Rais eti ndio mpate kura mnajimaliza wenyewe
@madetetv6576
3 жыл бұрын
@@ababuumwana5102 mbn walifanya mbeya na jimbo lilikuwa chini ya Sugu
@abdallahomari8680
5 жыл бұрын
Huna lakusema siasa si matusi Tutasema ccm kimenuka kwa sababu wanaokinukisha nihao hao wana ccm. Ww kama umekua katibu mkuu miaka miwili iliopitawakongwe walio kutangulia wamekinukisha na uheshimu wazee
@emilymsangi2693
5 жыл бұрын
Hivi CDM wafanyaje nao wautubie kama hivi bila kuzuiliwa na Polisi?
@sabraabdalla4985
5 жыл бұрын
Nyie ccm muko uwongozi tokeya uhuru hadi leo lakini mmeshindwa kujitasmini. Kazi yenu ni wizi tu kama ilivo, chukuwa chako mapema (ccm)
@elinathanmpigiye6298
5 жыл бұрын
Chama cha kuteka na kuuwa kupoteza
@zittotv9972
5 жыл бұрын
Unatetea ugali hahahaaaaaaa
@daviekasinda6918
5 жыл бұрын
Neno jepes wapumbavu huo ndo usomi????
@sabraabdalla4985
5 жыл бұрын
Baada ya uhuru mumezalisha majambazi, chokoraa nk.
@jerumayamwasomola1065
5 жыл бұрын
...upumbavu wa wapumbavu....
@kamgomoli3650
5 жыл бұрын
Mbona pumbavu siku hizi sio nongwa sio kesi hata Profesa fulani aliitwa pumbavu akakenua meno tu!
@jemsichali5437
5 жыл бұрын
Musiba namkubali mpaka naumwa..haaaahaaaa. Ila najiulizaga maswali . hivi musiba akifa watu watasema tunaenda wapi? Kwanye musiba au misibahaa?
@ernestsinje9532
5 жыл бұрын
ujinga ujinga tu
@sponsor7882
5 жыл бұрын
CCM HAIWEZI TAWALA MAISHA,ONE DAY MTASHUKA
@romeoromeo4125
5 жыл бұрын
Hata kama haitoongoza milele, tatizo lipo wapi? CCM oyeeeeee, JPM oyeeeeee!!!!
@bashirumatola8107
5 жыл бұрын
Ccm ili mjuwe mnapendwa ruhusu wapinzani wafanye mikutano
@shomarsamli2336
5 жыл бұрын
Mnapenda kuongea vt havipo
@pascalmmanda4233
5 жыл бұрын
huyu naye ni jipu kwa taifa
@vicentgibore8679
5 жыл бұрын
Sikio halijawahi kuzidi kichwa
@lucasjumapili1420
5 жыл бұрын
Chama hiki kina demokilasia yake,miiiko,taratibu yake kaane chini mujenge nchi
@nyabhisewandwi2904
5 жыл бұрын
Kauli za kejeli kuita watu wazima wapumbavu ni ulevi wa madaraka, asifikiri hakutotokea musiba mwingine pindi yeye atakapokuwa amestaafu. Ninayeona aibu ni Mimi muungwana ninayemsikiliza, nikimuona kiongozi bora sana lakini Leo amepunguza credit!
Akuna mtu mpumbavu mama wewe yani unawaita wapumbavu wazeewetu wewe una juwa nn kisa kuteuliwa tumia busala hufai kuwa mwana siasa
@Damarry-FX
5 жыл бұрын
Toa uchaga mshenzi kabisa. Watu wametufikisha hapa then unawatetea mtasubiri sana.
@franciscoivo1591
5 жыл бұрын
Tunxa maneno kesho je!
@hechechacha4032
5 жыл бұрын
Tukosoane kwa adabu musiba anakosoaje?
@hechechacha4032
5 жыл бұрын
Confidence ya kuongea wewe unayo Lakini Halima mdee mwanamke anavamiwa na polisi Kule kyerwa anatropia mwanamke anavamiwa na polisi Esther matiko katika mkutano anavamiwa Iko wapi nguvu unayohisi ina usawa na wengine Dr bashiru Hekima.. Umoja Amani Ndio tunu zetu tumia hekima Uhoji usitukane watu wazima wazee kuwa ni wapumbavu
Пікірлер: 172