Wachezaji wa ndani wengi wametosha harafu baadaye hawapangwi wanakaa pesa zinaenda baadaye mo anakuja kusema anatumia bilioni bila sababu, yeye ndiye kasajiri matokeo mabovu tunamng'oa yeye MO,
@PiusLaymond
2 ай бұрын
Huyu jamaa nikigeugeu hiiklp naifath nitamuonyesha hii ndio bongo tulia uspapalike
@ismailhassan5209
3 ай бұрын
Usiumie Jobe Atavunjiwa mkataba kwa Sasa anamalizana na Simba namna ya kulipana
@mohdseif2593
3 ай бұрын
KINACHO MUEEKA JOBE KWENYE SIMBA KWASASA NINI NAHAMNAKITU ANATIA ASARA TEAM TU
@Isakhiayusuph-jb3yx
3 ай бұрын
Wewe Dr mohamed taala hamna
@SalimAl-mahrooqi
3 ай бұрын
Lakini haija eleweka usajili WA simba hata hawaeleweki tunaogopa kichapo kilicho pita
So kila mchezaji nzuri lazima aitwe timu ya Taifa maana wazuri ni wengi
@peterchande957
3 ай бұрын
Huyu jamaa bonge la mshamba analazimisha kuingia kwenye mpira lkn haumtaki
@Theprincipalmboya
3 ай бұрын
Jaribu na wewe ndugu yangu
@jaribunimangoma4322
3 ай бұрын
We ndiyo mshahara ongea nawe tukusikie
@xhiranation
3 ай бұрын
Binafc ninaham na shauku yakuona simba yetu ikirud kwenye makali yake naubora pia......hakika jina la chama linaenda kufutika kwenye fikra na masikio yawana simba.......NGUVU MOJA💪
@ekimnkande2873
3 ай бұрын
Doctor asante ulipolalamika nilsema vipi huyu sasahivi Simba ipo safi Magoliiiii tunataka mambo kama haya hamaaa nenda kakahapo ma.bo safii❤❤❤
@franccoz94
3 ай бұрын
KWA HAMZA HAMNA BEKI HAPO MCHEZAJI HATA TEAM YA TAIFA HAITWI,HAMNA MCHEZAJI HAPO TUTALAUMIANA SANAA LIGI IKIANZAA
@AishshibnShibani
3 ай бұрын
Mmh ww naye kwaiyo mchezaji mpaka aiwetwe timu ya taifa
@imanmasawe749
3 ай бұрын
hamza atawashangaza wengi tunajua wewe ni utopolo
@ekimnkande2873
3 ай бұрын
Hii timu wakizoeana mama weee hataRiii
@SalvatoryMtunga
3 ай бұрын
Alienda wapi?
@errydeo8865
3 ай бұрын
Hawa hawa, utasikia ohhh wachezaji wa ten percent😂😂 Simba wata struggle sana! Wachezaji huchukua mda mrefu ku gel! Hasa wakiwa WENGI! Kocha pia tatizo,atakua hawajui wachezaji! Ukiangalia YANGA,wanajazia tu kwenye kikosi palipo na uhitaji! Simba Timu nzima ina uhitaji🤣🤣🤣 football sio MANENO!
@EssauGabriel-fy8pu
3 ай бұрын
Haya tuliza mshono watakuonesha shoo
@yonathansimon7147
2 ай бұрын
Huyu ni utopolochura
@mqsqymmh3866
3 ай бұрын
Kumbuka hata unaemuona chama hapo kuna mda uwa haitwi timu ya taifa wakat wabongo ndo mnamuona ni professional player
@Sebastianmangenyi
3 ай бұрын
Yanga kazi yao kutupondea tu, wanaumia sana na MO
@MauaGabriel
3 ай бұрын
Mda utaongea bt viongoz wetu Jobe na Fred watupishe mcjaze wachezaj wasiokua na uwezo Wala sifa ya kuichezea simba cs tumewapatia mda wa kucheza na hawajaonesha chochote so tuwape thank u na tuongeze mbadala wa kapombe na shabalala pia tupate back mzr wa kutusaidia kimataifa,pia tupate sain nzuri ya kiungo mkabaj na strike mwenye asili ya straike
@LassonDominick
3 ай бұрын
Daah oy!! Ila kusema kweri Fredi Coublan anajuwa mpila kiukweri! Ila wachezaji aliokuwa akicheza nao walikuwa wagumu mno! Naomba mungu sana abaki tuone kazi yake hata kwa nusu msimu jamani namkubari saana hy jamaa!!!!!!
Пікірлер: 26