Kilajambo linasababu hata iyo pia ni sabau ya kifo chake bwana ametoa na bwana ametwaa jinalake lihimidiwe
@StellaJohn-dz6gv
18 күн бұрын
Amen🙏
@vedanismtv1892
18 күн бұрын
nani kaelewa wanajakaya walikua wanafanya mafunzo kwenye mwili wa marcos
@SiahMoshi
17 күн бұрын
Mungu ndo ajuaye kesho yetu
@thehustlerafrica4368
18 күн бұрын
Pole sana daktari mara ya kwanza nilikuchukia lakini Leo nimekuonea huruma😢😢😢😢
@PiliYahaya-o7j
9 күн бұрын
Apumzike kwa aman muimbaji wetu kipenzi ameacha pengo kubwa
@wangagirl3508
18 күн бұрын
Huyu Amerogwa doct 😂😂😂😂kifooo cha gafla hapana nimekata😢😢😢😢😢
@ziadasalimu1730
15 күн бұрын
Inawezakana kuwa karogwa
@leaherasto929
18 күн бұрын
Mungu tusaidie
@LucaspaschalPaschal
18 күн бұрын
Apumzike Kwa aman
@sumunichannel1034
17 күн бұрын
Bora mnge mpeleka India to Bora angefia kwenye ndege Sasa hizo 13% ndo nn
@user-zs7eq8up5s
18 күн бұрын
Tatzo madaktari mna sifa unasema mlijua mmeokoa maisha yake...ila saaa akifa ndo kazi ya mungu nyie mmejitahid kuokoa
@leaherasto929
18 күн бұрын
Dah inasikitisha sana
@wangagirl3508
18 күн бұрын
Huyo marco alikua ashapigwa bomu la mauti tayari😢😢😢wachawi mimi hata nilidhani alikua na shida ya moyo tokea kitambo kumbee hapana ilianza mwezi ya nane 😢😢😢😢😢mbona haraka hivyo jameni 😢😢😢wachawi wachawi
@user-zs7eq8up5s
18 күн бұрын
Mmh wakokole bhana kila kitu uchawi
@barikilangoy4737
18 күн бұрын
Ebu utoe miwani kwanza,tukuone macho
@AlbanusNdunguru-r3e
11 күн бұрын
Kila nafxi lazma ionje mauti
@kartelgizemc1590
18 күн бұрын
Wauwaji nyie na wafoasi wa shetani na kikwete wenu
@fatimaharoun-np8uv
18 күн бұрын
😮😮😮
@EmmanuelNyinyigwa-m1o
18 күн бұрын
Dakitari hukupaswa hata kusema kabisa. Inaonekana mejifunzia Kwa huyo jamaa
Пікірлер: 21