SubhanaAllah,,mwaharibu uzuri wa hallal, ni kudhalilisha uislamu kwa kweli,,,wanacheza matusi hivyo na wanaume wapo,,plus imewekwa mitandaoni,,c sifa dada zangu ila ni hasaraa,,ni dhambi za kuendelea hata mtu akifa
@asmaafamau8307
10 ай бұрын
MASHAA Allah
@SalmSalmasaid
10 ай бұрын
Dola kama dola kila la kheri sweetheart
@aishaomar9621
4 ай бұрын
Iwe kheri kwako mpenzi❤❤❤❤
@numohd
10 ай бұрын
Bi harusi Ma shaa Allah ila baadhi ya wanawake wame kuwa kucheza kwa kistarabu hawajuwi kucheza gani kwa Kuji dhalilisha 😮
@huss668
10 ай бұрын
Wenyewe wanaona ni sifa
@rashmcchiluz6916
10 ай бұрын
❤
@saumuabdallaathman9937
10 ай бұрын
Gwaride lafata nini holini😢
@aminasaid4174
10 ай бұрын
Kucheza gani huko sasa😏Mkinyiwa ruhusa na waume zenu munune wakati kucheza ni huko 🙆♀️🤦♀️
@samiinali1359
10 ай бұрын
Kwa kweli waume wana haki kweli ya kutotoa ruhusa za kwenda maharusinii,,,wallah wanakosesha baraqa hiyo ndoa
Пікірлер: 10