Nyumba nzuri bana acheni wivu, simpendi Mwijaku lkn amepiga hatua sana
@MultiMbongo
8 ай бұрын
Kweli nyumba ya peter msechu ni nzuri sana,hii ya mwijaku kama ofisi ya chama Cha siasa
@princekarani7836
8 ай бұрын
Ukweli ndo uho ile nyumba ya msechu ni kali kinouma nouma,na inawezekana million 100 ikawa inafika coz decoration zake ni moto wakuotea mbali mzee
@abednegochija-uf3ey
8 ай бұрын
We unayo? Mungu amsaidie kambarik sana achen chuki zenu kigoma champion boy mwijaku anapambana sana hongerah sana 💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏
@zaburi2386
8 ай бұрын
@@princekarani7836kaka milion 100 sio nyumba ya vile Ile ya msechu ni zaid ya milion 800
@babatidaawa6550
8 ай бұрын
Ahahaha
@diasalicastro5353
8 ай бұрын
Milion 100 Hela ndogo sanaaaa
@christianbihemo8211
8 ай бұрын
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort
8 ай бұрын
😅😅😅 htr
@allykayanda6930
8 ай бұрын
Nyumba ya mwinjaku ni kali sana sana ,bonge moja la mjengo....huo ni wivu tuu
@GermiaSuala-u9t
8 ай бұрын
Kweli doto magari nyumba ya chini ilio changamuka kweli kabisa.
@lovemusicnoreen9185
8 ай бұрын
Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@constanciapeter2497
8 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@khalidballeth5957
8 ай бұрын
Mwijaku noma saana,,,,Ati alifikiria kumpa chumba DOTO kile chumba cha mlinzi wake Matias
@yusuphmkomwa3427
8 ай бұрын
Utaropoka sana ule mjengo mkaliii doto mavi chukua hiyo🖕🖕
@AwaziRajab
8 ай бұрын
Wasanii Wa Zamani Walikua Wajinga Kula Bata Bila Kujali Maisha Mwijaku Yuko Sawa Kabisa Kuamsha Vijana Wajenge Akuna Baba Mwenye Gali Mjini Sifa Njema Kumpa Eshima Mke Aitwe Mama Mwenye Nyumba
@AwaziRajab
8 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@hemedjackson2261
8 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz
8 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
@SalumuAlly-d9q
Ай бұрын
Huyo doto magari hana akili hata moja we umepanga chumba kimoja mwenzio ana nyumba ya gorofa we unajielewa kweli embu kakate minywele michafu hiyo yenye chawa
@usercabal
8 ай бұрын
Peter msechu nyumba kali sana
@VictorBugobola
8 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk
8 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@hansperson1012
8 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@mbanga6759
8 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari8758
8 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari8758
8 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush4616
8 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@AwaziRajab
8 ай бұрын
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
@marcoeliezer2207
8 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@husseinyusuph5458
8 ай бұрын
Siungemtimua uyo mwandishi mpuuzi
@TashwillKaroolse
8 ай бұрын
Jamaa anaongea vitu pointless
@josephjeremiah-x5v
8 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad5559
8 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@DonasienPanda
8 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@abubakarsuleman1983
8 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@jamesbilafumba6902
8 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort
8 ай бұрын
sanaaaaaa
@ismailimpaukha2773
8 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@minnahhers7437
8 ай бұрын
jengeni na nyie mpendavyo
@muyangetv
8 ай бұрын
Tuoneshe Yako sasa
@Barakatabudul
8 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@gabrielzakaria2810
8 ай бұрын
Shida ww unakaa uswazi
@hallin9561
8 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa4800
8 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf
8 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard4031
8 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush4616
8 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@zachaamaster5378
8 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@HajiHija-x2d
8 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@LuckNation-x6y
8 ай бұрын
Et ume vimbish mishipa kam una kula skanka 😅😅
@benjaminmartin4548
8 ай бұрын
Mwaijaku wewe ni mfano wa kuigwa. Wanakuona wivu.
@suleimansaid2633
8 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@shabanikitula645
8 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga5701
8 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@kilimanjaro77international26
8 ай бұрын
Kaka kachamba au kachambua?
@sidikassim6759
8 ай бұрын
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally1052
8 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@erickchitumbi1308
8 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@marymanoni5536
8 ай бұрын
Nyumba ya aristote na msechu
@GodfreyJames-zt6ig
8 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@jokhaynamohammed
8 ай бұрын
Hahaha kaka doto hapana bwana hapo umebugi mwijaku kafnya jmbo kubwa jmn apewe mauwa yake
@gibsonjosephat6352
8 ай бұрын
Kwa alichokisema Mwijaku kwa kuwaponda wenzake ndipo alikosea wakati wapo wenye nyumba kubwa na nzuri kuliko yake. Uwanja pia ni Mdogo Sana. Aristote tu ana bonge la jumba Bunju.
@enoszaka-tx8qw
8 ай бұрын
wivu tu onyesha ya kwako tuone 😂😂😂😂
@JacklineNamundengozi
8 ай бұрын
Why don't you show yours?
@awadhally1052
8 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisaa
@AhmedAmeirShaaban
8 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@zerochanneltanzania3797
8 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
Zile nafasi za ngazi ndogo sana kama unaingia chooni 😂😂 sisi wamarekani tulivyo wakubwa ile nyumba hatuwezi kupanda ngazi 😂😂😂 poor engineering
@HappyForestTrees-gc6hs
8 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
@happynkya9770
8 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
@hansperson1012
8 ай бұрын
OYA NYUMBA YA PETER MSECHU NI MFANO WA KUIGWA YANI Mwijaku BADO SANA KUMFIKIA PETER
@injilihalisitv2023
7 ай бұрын
Kwel kabis 😅😅😊😊
@ismailimpaukha2773
8 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
@bakariomari8758
8 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@RechaelEasily
8 ай бұрын
WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU UTAWAUWA
@kisjohn3435
8 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@nafuwswedi2465
8 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@Tiffany340
8 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@oscarjohn477
8 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@morjanoman5181
8 ай бұрын
Acha wivu wewe omba masrifa sio kumponda mwezio ariyefanikiwa eti Mimi Niko kwenye bandala urisi pambana upatevyako
@paskaziasholla7471
8 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@MussaHuyya
8 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@kilogreekachananawatuwasio4054
8 ай бұрын
HUNASEMA WALIOKWENDA WOTE WAJINGA SASA HUYO MDOGO WAKO BOSS HAMO KONDE GENG MJINGA?????
@MsokaBolamu
8 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@MchuchuNyundo-h9q
8 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@minnahhers7437
8 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@barakakevela245
8 ай бұрын
ACHA WIVU WE MPUUZI. MPE HONGERA MWENZIO AU TUKUITIE JUMA LOKOLE ALIYEKUFUMA KWEN YE NYUMBA YA MAMA MKWE WAKO
@awadhally1052
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@diasalicastro5353
8 ай бұрын
Nyumba ya kawaida sanaaaa
@GodfreyJames-zt6ig
8 ай бұрын
Sio mshamba iyo sms achen staree na umalayaaa mwenzenu kafanya jambo jema wivuuuuuuuuu mnalopoka kama mbwa koko
@JemsMweus-gm2jf
7 ай бұрын
Mnhu
@mnaromajengo9155
8 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@moseskulola6913
8 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga5701
8 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@mwakiosalim2914
8 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@mrsinia3064
8 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@morjanoman5181
8 ай бұрын
Acha wivu wewe omba masrifa sio kumponda mwezio ariyefanikiwa eti Mimi Niko kwenye bandala urisi pambana upatevyako
@sidikassim6759
8 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@morjanoman5181
8 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@MbossoMbosso-rw4ox
8 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@Yangaone-h8j
8 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@deogratiusndunguru7636
8 ай бұрын
Ni bora angejenga nyumba ya chini lakini kali,ila ukweli sio standard kiasi cha kuita media
@bennymochiwa4800
8 ай бұрын
Acha wivu we fala, Babako kajenga nn ??😂😂
@deogratiusndunguru7636
8 ай бұрын
@@bennymochiwa4800 kumbuka hapa tunatoa maoni,kila mtu na maoni yake,kwa mimi niliyejenga hapo hakuna nyumba y 1.3billioni,so point ni kwamba ni nyumba ya kawaida sanaa tena sio standard kabisa
@morjanoman5181
8 ай бұрын
Ata wewe Una akili pia unawezaje kumzingumzia mtu ambae amejionyesha nguzake kapata Tu. Wivu Wakijinga😂😂😂😂
Пікірлер: 223