Jamaa full kuji. Proud, kaka DOTTO chunga Wanasema ajikwezae hushushwa.
@fatumamfumia4507
Ай бұрын
Mpaka akaishiwa maneno ya kuongea 😂😂😂😂😂
@E_smail
Ай бұрын
unaenda mkoani halafu mpaka wao wanakuona mshamba😂😂😂jitafakari sana kweli kusoma kuna saidia japo kujitambia tu. (thinking capacity).
@fatumamfumia4507
Ай бұрын
Yaani mpk aibu nimecheka kama mazuri vile ahahahaa
@benardmapuga4737
Ай бұрын
Nadhani usiasa alivyuingiza ndio akawachefua watu
@rehemamsuya2263
Ай бұрын
Hii ni aibu kwa doto kah mbn hata hawana mpango
@fatumamfumia4507
Ай бұрын
Mwanza kweli majeuri wamegomea kabisa pesa za Dotto Magari 🤣🤣🤣🤣 MWANZA nimewakubali wabeja sanaaa
@christinewomanoffaith5479
27 күн бұрын
😂ingekuwa dar ,weeeeee
@beatbyrich2891
Ай бұрын
Jamaa alichelewa kutembea au? Hana Elimu ovyo sana.
@aminagervas3786
Ай бұрын
Jamani mzaram hunajipya
@user-zw9mi8fn3w
Ай бұрын
Fala tu hana inshu
@pastorymartine2109
Ай бұрын
😊😊😊😊
@user-sy1vv6ej1m
Ай бұрын
Uyu doto mshamba tu anavyojikomba kwa mama utazani yeye ndie aliyemuumba mana hata Mungu hana habari nae naona ata siku akikata roho neno lake la mwisho litakua mtoto wa mama kizimkazi huu ni ubumunda
@miso-bg2xl
Ай бұрын
Hata hawamshobokei
@Mr-GMB
Ай бұрын
Mwanza hawana shobo
@MagrethMallya-we8ui
Ай бұрын
Doto huna jipya wewe siasa kwenye vichekesho inahuuu????
Пікірлер: 24