kiukweli Mungu akubariki sana maana mimi ndo nimengia hu mwska nimeoa kabisa mke wangu anapenda ku linganisha sana na watu wengine mzee wangu sijuwi itakuaji kama niwe na mpings mpaka akome sijwi😔😔jmni sijuwi atachakufanya🙏🙏
@janenkhwazi2457
3 жыл бұрын
Dr Chris....mume wangu alikuwa anapenda sana kunilinganisha na X -girlfriends kwamba mimi sifayi nami ikafika namujibu mabaya...I'm already divorced.I wish you were my marriage counselor
@fridalaswai1000
3 жыл бұрын
Bora we mie ni mke wa pili akikerwa kwa mkubwa kelele kwangu nikinyamaza na dharau ukimjibu nina mdomo. Inafika mahali anasema wote mko sawa kule kelele uku kelewa nikipata mwanamke atake nibembeleza nakuachaa
@janenkhwazi2457
3 жыл бұрын
@@fridalaswai1000 Pole sana dada...nimepitia mengi pia
@happinessmtui8571
3 жыл бұрын
Kaka umeongea kweli kbsaa ubongo hufunga kbsa kbsa.Mafunzo mazuri sanaaa.Kumbe Mungu ametutofautisha sana.Unatujenga sana
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
Asante sana
@makulaikuku6909
3 жыл бұрын
Mungu aendlee kukuweka na kukupa maarifa zaidi upate kutupatia sante snaaa
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
AMEN
@kemuntojackline2267
3 жыл бұрын
Asante sana doctor ninaingia kwa ndoa Soon nikiyafuata mafundizo yako nitafaulu
@leahjohnsimba4088
2 жыл бұрын
Nimekusoma asante kaka I have to start,
@winfridamwigilwa2107
3 жыл бұрын
Aisee you are the best Dr. Ubarikiwe
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
Asante sana
@twillahbenaiah2879
2 жыл бұрын
Mambo matano ya kuepuka katika mahusiano/ndoa yako: 1.Kuepuka kulalamikiana/shutuma 2.Kulinganishana. Mfano kulinganisha mpnz wako na ex wako 3.kufanya jambo au mambo ili kumridhisha mpnz wako...Bali Fanya kwasababu unapenda na unafurahi 4.Kusubiri pasipo kujaribu....ukikosea usiseme ndo umezoeaa inatakiwa ujaribu kubadilika. 5. Kuhairisha mambo. Mnapanga mambo mengi lakini mnahairisha au mwenzio anatabia au wewe jaribu kusaidiana au kujibadilisha. Thank you Dr.
@halimahalima1984
3 жыл бұрын
Pamoja docta
@beatricesamweli8247
5 ай бұрын
Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli
@veronicawoisso5332
3 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka, nimejifunza sana
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
Asante sana ndugu
@onesmosanga8408
3 жыл бұрын
Asante sana dr mauki
@hussenalisa7211
2 жыл бұрын
Ni mejifunza asate
@neemamunene8041
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa sema tupone
@janekemunto2347
3 жыл бұрын
asante kwa Masomo manzuri...God bless u
@ChrisMauki1
3 жыл бұрын
Asante sana
@petrojohn.8156
3 жыл бұрын
Sasa ,Dr.kama mwanamke hajali hisia zako utamfanyaje? ila ningenda wathsapp kuliko hapa kujibu swali langu.
@murependo163
3 жыл бұрын
Asnt san naomb namb zako dr
@joxeesety9895
3 жыл бұрын
Ok ok ok
@wemakalamu3538
3 жыл бұрын
👍👍👍👍
@beatricesamweli8247
5 ай бұрын
Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli
@beatricesamweli8247
5 ай бұрын
Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli
Пікірлер: 28