Dr. Chris, tunaomba part 2 "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" haya ndio maarifa yenyewe tunakosa! utaokoa familia nyingi sana, unapunguza ndoa kuvinjika na watoto kulelewa na single parents hivyo utaokoa taifa lijalo kuwa na mentally, emotionally and phycologicaly healthy people na sisi wa sasa tunaendelea kupona na kuwa better than we were! Asante 🙏🏼
@claracalvin5055
Күн бұрын
Mbona wengne ukinyenyekea ndyo kama umejpalia Kaa la moto
@CrispinSensele
Күн бұрын
Tafazali kaka mini mwanamme inafundishwa vizuri naomba party two tafazal
@leahalbert6287
15 сағат бұрын
nikiendelea kukusikiliza hakika nitaku mke bora na sio bora mke
Пікірлер: 7