Me dr sule nakuelewa na hao wengi miongoni km ww wanajua sema wao wanatka kuficha hya mambo ili watu wasije wakapondokea huko kiujinga pc na elimu wakaungia kwenye shirki lkn kw wale wasomi hya mambo ypo na unaweza kufanya pasi na kumshirikisha allah kw maana vitu vyote vimedhalilishwa kw mwanaadamu tunatakiwa tuvitumie kw haqi pac na dhulma,kw anaekupinga eidha hajui na km anajua hajakuelewa na km kakuelewa ni ujeuri tu apinge ili ajulikane.watu wasone na kla mtu abwebwee ktk fani yake ahakikishe tu acvuke mipaka ya allah.
@Abdulrahmanhassan18
Dr sule anamaarifa mengi sana ndio maana anajua vitu vingi sana mashaallaa. Na kawaida mtu anayejua vitu vingi hupingwa na watu wasio jifunza na kujua anavyovijua mwenzao. Vijana tusomeni gogo huwezi kupata kila kitu.
@biashaqtr-xd2mf
Unasema kweli lakini wanaojuwa hawataki wengine wajuwe kwasababu wataerevyuka na hilo ndilo hawalitaki.lakini wao wajuwa unayoyasema lakini hawataki wajuwe.
@omaryrajab7371
She upo sahihi ao wanawazuoni wengine awasemi khaq
@aishathabit3732
Umechenganya baina ya kisa cha nabii Shuab na Saleh juu ya zamu za unywaji maji baina ya watu na wanyam
@LukmanMohd-kn3iq
Sisi ni ummati Muhammad si ummati nabii suleiman.tupe dalili ktk qur'aan au hadithi kuwa yafaa kuwa na pete ya mvuto au kufuga majini. Tupe dalili? Ww ni mshirikina. Na mwenye kupoteza watu.
@hajimdudu
Na Mimi nataka Pete ya bahati
@abuuzakariyalibumba6303
Sharia za waliotangulia hazituhusu LABDA ziendane na Sharia zetu
@theophilusmogaka7701
Waislam na uchawi jamani njooni kwa yesu mkapate kuokolewa
@IssaMraja-kr3qi
Doctor Sule yuko sawa jamani,hawa mashekhe wanaomwita mshirikina ni wivu tu unaowasumbua
@mpagazeheramadhan4407
Jazakallah sheh wambiye wenye
@aishathabit3732
Hakuna ushahidi wa hizo fimbo za nabii Shuaib
@HakizimanaJeandieu-dy7cx
Shukran shekh
@user-wo9zf6oo4j
Jazakallahu khayra
@DadeDade-vu9ve
14 күн бұрын
Takbir
@lenoxabel3618
21 күн бұрын
Sheikh unastori sana yani Hadi raha
@AthumaniRajabu-pu7ch
Ww unaweza kutengeneza
@aishathabit3732
Uzushi Nani kasema Pete ilikuwa na herufi saba?
@robertgeofrey4118
Yohana 14
@AbuujureyjKhaniy
Hi tv sas nayo inaenda kupotea ci miaka mingu mungu hafichi mnafiki ushirikin wawaz kuishi vitu na kuvitegemea
Пікірлер: 81