Mashallha Allah akujalie kheri nyingi kwa kutufungua akili
@HamisoShafi
2 ай бұрын
Imamu Kwanza Mungu akulinde mm nafatilia vipindo vyako namshukuru Mungu Vimenisaidia Lakini naomba msaada wako 🎉Nina matatizo ya kutofanikiwa katika maisha Kila nikijaribu kutafuta kazi inakuwa no vigumu kuipata
@HamisoShafi
2 ай бұрын
Imamu Kwanza Mungu akulinde mm nafatilia vipindo vyako namshukuru Mungu Vimenisaidia Lakini naomba msaada wako Nina matatizo ya kutofanikiwa katika maisha Kila nikijaribu kutafuta kazi inakuwa no vigumu kuipata
@user-ft9ll1tp6r
25 күн бұрын
Marshallah
@IbrahRupiah
4 ай бұрын
Imamu Mohamedi Mwenyezi Mungu azidi kukubariki uendelee kutoa elimu hii kwa moyo ilionyooka wallahi nimejifanyia Dua ya kufungua mdomo nilichokutana nacho namshukuru Allah na nitaendelea kufanya mpka nisikutane na Hali yoyote
@imamumohamedmalina6995
4 ай бұрын
Allahuma amiyn atubaarik sote 🙏
@HajrahRamadan
2 ай бұрын
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,shehe naweza kuagiza uchawi uliotangulia na nilivyolishwa usingizini maana nimekuwa sana
@sakeenaabas6514
Ай бұрын
Nataka shk dua ya kutibu macho
@saidatulikhlas6894
4 ай бұрын
Sheykh mme wangu anafaidi sana kupitia darsa zako..ndie chanzo cha mimi kuanza kufatilia darsa zako...Allah akuhifadhi
@imamumohamedmalina6995
4 ай бұрын
Allahuma amiyn
@KalimagiFeruzi
4 ай бұрын
Shekh Kwanza mungu akuhifadhi Sana naakuwezeshe kutoka elizaidi nazaidi
@destineluna5768
3 ай бұрын
Mashaallah
@KhadijaIssa-kd4ho
4 ай бұрын
Masha allah
@YusufuDunga
3 ай бұрын
Mashaalah tunakufuatiia sana ishaalah
@yusufwanderawesonga440
3 ай бұрын
Mashaalah
@FadhililyMaganga
4 ай бұрын
Shekh MWENYEZI MUNGU atuhifadhi na akubarik
@MwashamKhery
4 ай бұрын
Jazzakumllah kheir
@martinmatunda8259
4 ай бұрын
Aminashekhe
@Ashufainapaul
4 ай бұрын
Allah akuongoze
@ZuberiRutumbo
4 ай бұрын
Mw/mungu akujalie elimu usaidie wengi zaidi lkn shekh kuwauwa hawa mashetani hao mahadimu sihiri ni Bora wauliwe tu maana wanasababisha watu wanakufuru wengine wanaritadi tufundishe tu jinsi ya kuwauwa hawa hadimu sihiri
@imamumohamedmalina6995
4 ай бұрын
Na ndiyo suluhisho maana Allah ndo anaua siyo sisi, shukran sana kwa coment
@khadijasharifu9591
4 ай бұрын
Sheykh mm nafaidika sana na darasa lako .lakini mimi ndani ya familia yangu wachawi ni wengi unashindwa kuwaepuka tena ni ndugu wa kuzaliwa .wananitesa mimi na watoto wangu naomba muongozo wako
@Amina-ef3yk
Ай бұрын
Namb ya cimu waken Live tupige
@NamukubembeMwajuma-bd8iy
4 ай бұрын
Shukurani
@OwissoBacarBacar
4 ай бұрын
A.alkm tiko makini kua kufatilia darssa , kua inthi ya mozambique bassi tifundiche cheikh namuna ya kuntoa huyo khadimo sihiri. Muenhezimongo akuhafadi na kila chari
@MaryamNassor-l7y
4 ай бұрын
wauliwe hawa sikii
@aminakassim831
4 ай бұрын
Naomba tupe elimu ya kumtoa
@BallethSalha
4 ай бұрын
Tunaomba elimu ya kumuondosha
@MahuAbdallah
4 ай бұрын
Tufundishe maalim hiyo taaluma tumuondoshe huyo khadim sihr
@zuhurazabiir3769
4 ай бұрын
Tuna kufatilia kila siku masomo yako shekhe
@imamumohamedmalina6995
4 ай бұрын
Shukran jaziira Allah akubaarik sana na akupe afya
@zuhurazabiir3769
4 ай бұрын
@@imamumohamedmalina6995 Aamiin Ya Rabbi 🤲
@aminakassim831
4 ай бұрын
Shekh unatibu kwa mtu akiwa mbali???
@imamumohamedmalina6995
4 ай бұрын
Ndiyo bi idhini LLAHI
@mchenisadick9033
3 күн бұрын
Nitakupataje shekhe wng ninashida kamaiyo
@HamisoShafi
2 ай бұрын
Imamu Kwanza Mungu akulinde mm nafatilia vipindo vyako namshukuru Mungu Vimenisaidia Lakini naomba msaada wako Nina matatizo ya kutofanikiwa katika maisha Kila nikijaribu kutafuta kazi inakuwa no vigumu kuipata
@HamisoShafi
2 ай бұрын
Imamu Kwanza Mungu akulinde mm nafatilia vipindo vyako namshukuru Mungu Vimenisaidia Lakini naomba msaada wako Nina matatizo ya kutofanikiwa katika maisha Kila nikijaribu kutafuta kazi inakuwa no vigumu kuipata
@HamisoShafi
2 ай бұрын
Imamu Kwanza Mungu akulinde mm nafatilia vipindo vyako namshukuru Mungu Vimenisaidia Lakini naomba msaada wako Nina matatizo ya kutofanikiwa katika maisha Kila nikijaribu kutafuta kazi inakuwa no vigumu kuipata
@HamisoShafi
2 ай бұрын
Imamu Kwanza Mungu akulinde mm nafatilia vipindo vyako namshukuru Mungu Vimenisaidia Lakini naomba msaada wako Nina matatizo ya kutofanikiwa katika maisha Kila nikijaribu kutafuta kazi inakuwa no vigumu kuipata
Пікірлер: 40