Konk yupo poa ila nacheka anapoitaja South Africa yani utafikiri ni nchi moja kali yenye amani kumbe ni nchi ya machokoraa wakumwaga roho mbaya wachafu
@safiyanirram-pf3sv
11 ай бұрын
Dudu baya oil chavu pole sana kwa matatizo Allha akuafu tulikumic
@AMwamzola
11 ай бұрын
Nakubal wana muita nan duduuuuuuuuuuu nakubal kazi zako zakitambo mtu mbad bongo inakutambua
@junemuchiri609
11 ай бұрын
Konki Master Mamba🇰🇪👍🏾
@abdulabdallh9506
11 ай бұрын
Interview za Dudu nazipendasaana
@mariakibwana3700
11 ай бұрын
Dudu baya unaongea vizuri.
@abdulikilala5902
11 ай бұрын
Dudu baya unakili Sana ww nakukubali
@ISSACCECYTIN
11 ай бұрын
Haaahahahaa Kuna kitu nimee Cheka na nime jifunzaa
@reginamanyangu7258
11 ай бұрын
Sawa ila mi sikubaliani vpi simba akubali kulea mtt ambae ashagundua si wake ili hali baba wa mtt yupo na anajiweza hapana kwakwer 😅😅😅😅
@sharifahabsi5004
11 ай бұрын
Mashaallah 🎉
@scollantandu2350
11 ай бұрын
Nakukubali sana mwamba 💪
@saidimgawe6548
11 ай бұрын
Good up vizur
@sonnyr1899
11 ай бұрын
Dudu Baya una madini mengi kichwani ila sielewi jinsi pombe huwa inakupeleka. Ila we ulistahili kuwa katika baraza moja na kina P funk
@sskondopoleani9616
11 ай бұрын
Duuuh Kengere??
@hadijandenga6222
11 ай бұрын
Nampenda
@dn.n4983
11 ай бұрын
Umeongea kweliili kabiaa
@barrynzeyimana6270
11 ай бұрын
Kwenye ndege vyote unaweza fanya online.
@AzaShamba
11 ай бұрын
Kuumwa ni mtihan mzito kwa mwanadam. Yapaswa mrudie MUNGU. BADO WATAKA KUIMBA DUDUZURI
@NilaFleva-mn8ql
11 ай бұрын
Oil chafu🤯
@hilarykimario5075
11 ай бұрын
Jamani dudu baya umepotea uko wapi
@sihabasihaba5155
11 ай бұрын
Umeongea point
@HmMariamu
11 ай бұрын
Dudu ameongea poin
@stanastana3199
11 ай бұрын
Dudu wajua kuimba kweli?
@ISSACCECYTIN
11 ай бұрын
Asantee😊
@Ruth-u4v
11 ай бұрын
Kweli kabisa
@mataizytembo7043
11 ай бұрын
Ze dudu kaporomoka kinyama mwili bless utarudi tu Jah yupo mwamba
@Zainab_salat
11 ай бұрын
Amepima Ukimwi live kule maximum tv
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
11 ай бұрын
♥️♥️
@TaarabChannel
11 ай бұрын
Wah
@PaulinaSemindu-ob3de
11 ай бұрын
Dudu amekonda sana jmn
@Pedeshee01
11 ай бұрын
Alikua anaumwa hata hivyo afya yake bado haijakua poa kivile japo ana unafuu sana tofauti na miezi kadhaa alidhoofu kabisa,kiujumla yupo kwenye kurejea kwenye hali yake ya zamani japo inataka muda.
Пікірлер: 46