Islaah Ndio Maana Miaka yote Anaota Kuwa Gjqzal😂😂😂 kila Alipokutana Nae Alipigwa..Vibomotwa
@ctssuppliespaynes5554
9 ай бұрын
Dah haya mambo yananikumbusha miaka 28 iliyopita. huko mburahati tulikuwa na madrasat Zam Zam chini ya Jemedari mzee Ramia (sina uhakika kama angali hai) jirani tulikuwa na madrasat Itidaiya chini ya marehemu mwalim Idi ambapo baada ya kufa ikabaki chini ya sheikh Hamza akishirikiana na Mwinyi. Hizi madrasat mbili za Zam Zam na Itidaiya zilikuwa zikikutana ni moto wa kuotea mbali ni zaidi ya upinzani wa CCM na Chadema kwa sasa. Yani ilikuwa raha tupu. Kulikuwa na madrasat Hijaz maeneo ya mabibo, madrasat Jaazira magomeni makanya na madrasa nyingine nyingi jijini Dar es salaam ambazo nimeshazisahau. Na hizo zote nilizozitaja hapo juu mimi nilizisoma. Kwa sasa mimi ninaishi South Africa, na ni mtu mzima, nina familia yangu. Nikiona hivi nakumbuka mbali na natamani nirudie utotoni japo ndo haiwezekani kamwe.
Пікірлер: 36