Huu ndio unaitwa ubunifu! Kufikiri nje ya box na kufanya tofauti na watu walivyozoea! Hongera Sana Dulla! Keep it up
@mugadimon3563
8 ай бұрын
Exactly
@mulingwajuma136
8 ай бұрын
dula umetisha
@ZTsix
8 ай бұрын
Ndo Comment nlitaka nseme bas umeniwahi
@RebeccaMuhimba-be1pj
8 ай бұрын
Dura nakupenda sana
@RebeccaMuhimba-be1pj
8 ай бұрын
No one like you
@dullaboy6
8 ай бұрын
Dulla makabila wewe noma kama unamkubali acha like hapa
@AnethKapingaInventoryControlle
7 ай бұрын
Shikamooo dulla makabila narudia Tena shikamooo kaka dulla akuna wa kukuzid kwa ubunifu wa singer upewe tuzo yako brooo🙌🙌🙌
@AlfredSenkondo-mi3wf
8 ай бұрын
Oyaa kama unaamini Mwenyezimungu anabariki kila mmoja kupitia jitihada zake usipite bila like kwnye comment hii
@BAHATIKIBA-ul6wx
8 ай бұрын
Kihukwel Funga Mwaka Hii
@manirambonajeanne3876
8 ай бұрын
Nikwer hatamalaa anabalikiwa 😂😂
@AlfredSenkondo-mi3wf
8 ай бұрын
@@manirambonajeanne3876 Naye c anaomba Mungu apate Danga
@SicolagodrikMagomba-fz8qq
8 ай бұрын
Duuh dulla Nini umefanya kaka
@user-ux8ge2do2f
8 ай бұрын
Nic
@OFFICIALSEMAH
8 ай бұрын
Wa Kwanzaa toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 wapi like za dulla nije ama nisije weka like hapa zote ❤❤❤
@digitalafrica1
8 ай бұрын
The true meaning of creativity❤, no abuse language, no X videos, nothing bad but full of creativity ❤❤ , If you like it as me please like this comment for our artist Makabila
@user-qo5do3jg4o
8 ай бұрын
Wangapi hii ngoma wameiludia zaidi ya mala 2🎉🎉🎉nyimbo ya mwaka❤
@omaryode6822
8 ай бұрын
Msanii mzur ni yule anaefikirisha zaid kwenye uandishi wake na hii kaka dulla umetisha sana tuliza akil zaidi...big up kaka✍🏻
@susanlazaro8956
8 ай бұрын
Mie hata hainichoshi kuiangalia nakuisiliza hii nyimbo 🥰🥰🥰🥰🥰tuaompenda dullah king of Singeli gongeni like zenu hapaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@hadijarajabu7198
7 ай бұрын
Hii hizi ndo nyimbo zenye kuelimisha na kuifunza jamii, hongera sana Dulla keep on doing 🎉
@EricrutuliraOfisa-mx8ge
3 ай бұрын
Unasitaili like zote
@shabanshabani8453
8 ай бұрын
Mzee baba umetishaaaa sasa singeli hii imetoka kwenye uhuni mpaka burudani na elimu ndani yake 🙏🏾🔥🔥 Mungu akusimamie bro 💪🏼🙏🏾
@KareemBahati-lf1iw
8 ай бұрын
Wakwanza mimi hapa wanangu wa dar es salaam naombeni like zangu
@godfreychacha7970
8 ай бұрын
Unakula like
@ArafaAlly-gs3yi
8 ай бұрын
@@godfreychacha7970😂😂😂😂😂 jmn mpe
@mumyomary1812
8 ай бұрын
Na umekimbilia nn wakati mi ndo nafika nimekuta coment mia 400 na 😅😅😅😅😅😅😅
@isayajames6874
8 ай бұрын
Iv wanao omba like wanazipelekaga wapi
@djmseventz
8 ай бұрын
Wa kwanza wa nyoko
@silviapeason8542
7 ай бұрын
Tumeshapata mwimbaji bora wa singeri wa mwaka yaani wimbo mzuri,ujumbe mzuri,mpaka video nzuri ❤️❤️❤️
@chiburashid8359
8 ай бұрын
Sijawah kutoa saport ya nyimbo ila hiii imeenda dula mungu akuweke sana n uzid kufunuwa vichwa vya wapungufu wa fikra huuu ndo usanii🎉
@PetetIgnas
7 ай бұрын
Sijawahi kumkataa Dalla linapokuja swala la Ubunifu kwenye ngoma zake
@GervasUtouh
8 ай бұрын
Ni nouuma 🎉🎉🎉 jaman tudondoshe mauwa kwa like zenu wadau kama mnamkubali dulla
@mrishomaneno6546
8 ай бұрын
Kuna waimbaji wengu wazuri wa singeli ila dullah amewazidi sana .anaubunifu sana wa mziki wake safi sana kaka Mimi shabiki wako.unatoa jiwe unaweka jiwe
@FREDRICKKabalega-ij8kf
8 ай бұрын
Huyu nesi Bi Ubwa nilimuona kwenye zahanati ya kijiji na ali-act poa sana Good song, safi dulla
@user-ml6xx7rr2z
8 ай бұрын
Dulla unaweza ata wakisainisha akina d voice Mia wewe utaki king of singeli
@EricaBizuru-jp9by
8 ай бұрын
Huyu mdada anajua sana kuigiza we dula muongeze hela❤❤❤
@hamissmatata8780
8 ай бұрын
Tuchangeni tu
@user-fs7xc2bb5d
8 ай бұрын
Tena namkubali
@ngalongalo6475
7 ай бұрын
Yaani huyu #dullamakabila ni zaidi ya msanii, anaelimisha na kuburudisha haswaaa, embu waza hili goma anavyokemea mambo mengi anaonya juu ya MAADILI mabaya katika jamii, na ni juzijuzi katoka kutupitisha huku wema na wabaya.MUNGU AKUFIKISHE MBALI BROTHER UNAJUA SANA KUELIMISHA NA KUBURUDISHA JAMII.
@ExseviaSamwel
8 ай бұрын
Ubunifu wahali ya juu pia dullah ni mmbunifu wa hali ya juu,,nakubali bro 👍👍
@mwajumambonechi498
7 ай бұрын
Nimeirudia hii nyimbo mpaka machozi yamenitoka, hongera sana dullah kwa UJUMBE huu
@BONGOKUMENOGATV
8 ай бұрын
Hakuna mpinzani katika hili dude la kufungia mwaka oya nasemaje nasemaje ikae one otrendng miezi Saba isitoke♥️💥💥💥💥💥💥
@BINSIMBATEAMunofficialchannel
8 ай бұрын
HUYU MTU MKALI... 1) JINI GANI? 2) WAONGO HAOO 3) PITA KULE 4) NIME GHAILI KUFA 5) NIJE AMA NISIJE? MAONI: by bin simba sultan LET'S GO 🎉
@peterdaviddba
8 ай бұрын
@@BINSIMBATEAMunofficialchannel❤ or
@user-sj3xx5ko9n
8 ай бұрын
Haki ya mungu mm sio mpenzi wa singeli lkn kwa dullah kaz zake nazipenda saana mwamba ana ubunifu wa hali ya juuu dullah atabaki kuwa king tumpe maua yake 💐💐💐💐💐💐💐💐💐
@omaryshomari7892
7 ай бұрын
Makabila uuuje...utupe burudani...mana kwa ubunifu bongo hauna mpinzani...nakushauri njoo..wala usiogope..
@fatumamustapher5361
8 ай бұрын
Dullah mungu azidi kukujalia nyimbo nzur sanaa yenye uhalisia ktk maisha
@BabaYaga-io9fo
7 ай бұрын
Nimeona vijana wengi wakiimba singeli hila dulla anajua sana❤❤ Kijana kabarikiwa singeli zinaujumbe kama hizi ni next level
@stevensilungwe41
13 күн бұрын
Kaka I love your music, from Zambia 🇿🇲. Ukweli sana
@zulfaabdul8977
8 ай бұрын
Mkali mmoja tu tz wa singeli dulla wa Moto 🔥🔥🔥
@mwljuliuskiwovele223
7 ай бұрын
Best ever ,huyu jamaa huwa anawaza mbali kuliko tunavyodhani ,kuanzia pita huku,nije nisije na ile aliyoshirikishwa ya peleka gari kituoni ni idea zake ,yaani nyimbo inaelimisha mpaka inaboa na amezungumzia saikolojia ya makuzi ya mtoto akiwa bado yuko tumboni.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@farajimgunya6468
8 ай бұрын
Unajua kuandika na kushoot hizi kazi. big up dulla makabila
@giggaflo
7 ай бұрын
Dullah umewazidi wengi kwenye eneo la ubunifu. Wewe ni singeli Icon
@visanasimulizi
7 ай бұрын
Hapana, hapana na hapana tena, Dulla Baba umetisha sana, bonge la wazo. Kitu kikubwa sana.
@joshualaizer1707
8 ай бұрын
Kwa maneno mepesi dulla Hana mpinzani kwenye singeli🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@godluvmtegajr.6154
7 ай бұрын
Jamaa kafkria nje ya box sana,ngoma n hit sana..... ujumbe pia ✅✅
@rashidamohamed9927
7 ай бұрын
Wewe kiboko huna bayaa kubwa rama duii wa singeli hantariii kibokoyaooo 🔥🔥🔥🔥🙏💪💪💪💪💪
@hanssrukwa1604
7 ай бұрын
PITA HUKU NILIHISI umeokota Embe dodo kwenye M'buyu ila hapa unasibitisha kuwa wewe kweli ni mfalme singeli. UBUNIFU MKUBWA DULLAH
@user-ci1dk6zy3v
8 ай бұрын
Ubunifu wako ni wa hali ya juu sana na ndio Mana upo tofaut sana na artist wengne bnafs nakubali uwezo wako na namna unavyotuletea vitu vya kipekee big up bro Dulla Makabila Mola akusimamie katk Kazi zako 🙏👊❤
@KudrackAbubakar
7 ай бұрын
Dullah makabila ndo mwanasingeli wangu bora wa muda wote❤❤❤
@user-ml5mu1di4z
8 ай бұрын
Daah nyieee naombeni like Huyu jamaaaa noma na watu wake wako vizuri yaaan hiii lazimaaaa hiiii ifikishe iwe one so muda au Kesho asbh 🔥🔥🔥🔥📌📌📌
@SalhaLutalo-on8th
4 ай бұрын
Mungu akuzidishie kipaji na akuongoze na madili mema
@richardmagala6734
8 ай бұрын
Kama umerudia kuangalia zaidi ya mara mbili gonga like
@brunoh_bx
8 ай бұрын
Makabila ndo wasanii wanaojua maana ya sanaa, hongera sana kaka👏👏👏🔥🔥🔥🔥
@sulexhtechnician7950
8 ай бұрын
Ujuee dula ana ki2 cha kipekee sana kwenye mziki wake me ni msanii ilaa kk nakupa mauwa yako🎉🎉🎉
@vancharo51
5 ай бұрын
Hapa kenya tunaita creativity ila Tanzania mnaita ubunifu niwa Hali ya njuu,jamani mimi mkenya lakini nependa dulla makambila❤❤❤
@MansuleBhai
8 ай бұрын
KAMA UMEANGALIA HII NGOMA ZAIDI YA MARA MOJA GONGA LIKE 😄🔥🔥🔥
@user-sk4lb9nc2q
7 ай бұрын
😂😂 😅❤
@ZachariaEmanuel
4 ай бұрын
Dullah mbona lawama hebu punguza kulia mwana 🎉🎉🎉
@NeemaGodfrey-yz2xc
7 ай бұрын
Huu ni ubunifu wa kiwango Cha reli, excellent!!!!
@marymassine1747
8 ай бұрын
Dullaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eeh mwanangu umeuwa sana ❤
@FourTeen_Kiid
8 ай бұрын
Tufungie mwaka Dullah hii nayo ikawe kali zaidi ya pita huku. 🙏🏾
@user-pg5yp6eg3b
8 ай бұрын
Kaka nakukubali sana good music bro
@FourTeen_Kiid
8 ай бұрын
@@user-pg5yp6eg3bkizazi bro
@masheyn
8 ай бұрын
Ila jamani huyu jamaa anatumia akili nyingi saaana dah hongera saaana kaka umezaliwa kwaajili ya mzk 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mkili like mje na kwangu masheyn 🎶
@user-gc3zy6zh3w
8 ай бұрын
Kilichobora tukipe heshima yake, dullah hana tofauti na 20 per cent, anajua japo ukweli mchungu💥💥💥💥
Masterpiece... The real definition of talent and creativity is this guy. Dulla de makabila..⚡⚡⚡⚡⚡⚡
@walterkanje
8 ай бұрын
This singeli hit from Dulla Makabila is on repeat mode! 🔄🎵 Unmatched energy and beats that hit different. Dulla, you've done it again! 🙌💥 #SingeliFever #dullaMagic" gonga like hapa.... love from MARS👽
@William_ngela
8 ай бұрын
Safi sana ukweli umewaambia mama wa kizazi hiki cha sasa
@brothermams28
8 ай бұрын
Song Kali sana Big up from 254🎉🎉🎉🎉🎉
@othmanshabani5856
7 ай бұрын
Ahhhkhhh dula ananikosha sana na singeli zake tulio rudia zaidi ya mara moja gonga like ❤
@user-zk2qk5mi8t
8 ай бұрын
Mkome kumfananisha dullah na vikolokolo vya ajabu kwenye mziki wa singeli👊👊
@hamissmatata8780
8 ай бұрын
A king himself. Singeli ipo mikono salama kabisa
@dee61509
7 ай бұрын
Hii nyimbo inafikirisha sana,,,hongera Dulla kwa masterpiece 🎉
@rogetichuo4687
7 ай бұрын
Dulla Makabila we ni fundi hizi ndo tungo sasa
@izahakageorge9573
7 ай бұрын
I don't understand how can he(Dulla makabula) come up with this idea because we know that he can't but mmmmhhh much love from Malawi.
@layantizzy8376
8 ай бұрын
Dulla unafikiriaga sana big up...na director hajaikosea idea yako mmeua sana wakuuuu
@user-eo4hd8xu6d
8 ай бұрын
Nyie Huyu dulah kichwa kibovu nyimbo zake sijui anatoaga wap idea ngumu😂😂😂 dah... Nice hongera Kwa ubunifu
@BarakaElia-rp6gr
3 ай бұрын
Dulla ndo mond wa singeli❤
@NgwasaMbega-bz1on
7 ай бұрын
Kila kwenye kufunga mwaka Dulla amekua mtu hatar naona kama inakuwa zawad Kwa watu tuliozaliwa December Keep Up Bro Kila hatua Dua
@ngonde255
8 ай бұрын
Kiukweli kabisa kaka Mimi skupingi wewe ni mwandishi mzuri kweli wewe King of singeli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@aaysays325
8 ай бұрын
Wimbo uko saw dullah unajua sana hongera kwa ubunif
@deddymusic9219
7 ай бұрын
Bonge la ngomaaaaaaaaa wajina umetishaaaaaa ww ni ataliiiiii
@issayopeali1816
8 ай бұрын
King of singeli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@starjay3052
8 ай бұрын
uwakika hii imeenda na inachukua tena tunzo amini dulla ✅💫🙌🔥🔥🔥🦅✊
@Chimpaga_Tv
8 ай бұрын
Daaah makabila wee kweny singeli tukuache tu na kwakweli hata hao wanaokupinga wanastahili kukupa heshima yako unafanya makubwa kakaa salute sana mkuu!!
@shamisadiki5264
7 ай бұрын
Hongera sana Dulla kwa kaz nzur na inafundisha pia
@user-vx5vw5cv4x
7 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@mdogomeddytzz1099
8 ай бұрын
❤abdala kaweza 🎉
@salumuhafidhimtabe420
8 ай бұрын
Dullah Makabila the King of Singeli especially in the matter of Creativity
@nathanvinny9698
8 ай бұрын
Dullah nakukubali Mimi..all the way kutoka kenya🎉🎉🎉
@farajamelchior4578
7 ай бұрын
Kaka nakubali kazi zako yani una ubunifu wakipekea nakilasiku unakuja nakitu kipya.
@saksenaStone
8 ай бұрын
Makini Sana mwamba Yuko vizuri apewe maua yake ubunifu wa Hali yajuuu wenye ujumbe muhimu kwa dada zetu na mama zetu.safi Sana dulah dua nene
@kingofsingeliinkenya
8 ай бұрын
Natoka Kenya namukubali dullah makabila Sana lakin Nacho sema haniezi kwa singeli aky am from Kenya king of singeli in Kenya 👑
@Userog254
7 ай бұрын
Kwa nyimbo za dulla azijawahi niangusha ile ya ajali, pita huku dah huyu noma
@user-yo1sc7yv6d
8 ай бұрын
Dulla noma hapo nasaport mziki km huu na sio ule wakumkufuru mungu
@SimonNdalii-mr6ur
8 ай бұрын
Salute kaka dulla, top creativity 👍✨✨✨ 🎉😊👏😁👏😃🎉 Congratulations!
@issaadamu9847
8 ай бұрын
King Of singeli 👑 hongera makabila
@user-mn1jr9qe6u
4 ай бұрын
Dulla ongera sana kwa nyimbo zako
@ogechilinus1
8 ай бұрын
Nakukubali sana mdogo wangu. Shabiki wako kutoka kenya
@lenniekim
8 ай бұрын
Mfalme wa singeli🔥🔥Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakutambua dulla
@user-mj2ir8ir1m
8 ай бұрын
King of singeliii na mafunzo ndani yake kwenye huu wimbo
@fredricksabick-hi1fl
8 ай бұрын
Asee hapa umeonesha kua wee ni msanii. #Singeli to the world
@user-uv2uo2ic2y
7 ай бұрын
unaendele kuwa thiilishia watanzania kama wewe the kingi wa singili na kukubali sana dulla
@wallaceexpert4081
8 ай бұрын
So creative, Jamaa nakuelewaga sana wewe ndio umenifanya nisikilize singeli napenda ubunifu wako wakipekee
@ligobeatz
8 ай бұрын
Hii ngoma kali kuliko nyimbo zote za msanii mpya wa WCB...
@JechaMakameIssa-gs2bl
8 ай бұрын
kitendo cha kufaninisha tu bc bila shaka dogo umemuelewa
@machichaally
8 ай бұрын
Aisee dulla we ni king wa hiyo kitu full creativity nani kaangalia mara kumi kama mimi tujuane hapa.
@samsonmateru6170
7 ай бұрын
Umetendea haki maana halisi ya fasihi umeburudisha ,umefundisha,na pia umekosoa jamii safi sana hope ujumbe umefika salama unakitu cha kipekee sana na pia unafanya singeli inaonekana na kuwa na ujumbe wa kufundisha kbs big up God bless you
Пікірлер: 2,1 М.