Kweli mchungaji,watu wameng'ang'ania vyeti lkn kichwani zero,kazi kuchukia wenye akili kisa elimu ndogo.Mungu atusaidie mno huku makazini ni shida
@ElimringiMmary
3 күн бұрын
Asante San mchungaji Mungu akubariki tunazidi kujifunza sana.
@simonbarhe7840
2 күн бұрын
Mchungaji ubarikiwe katika utumishi wako. This morning phylosopy is very fantastic ni mengi nimejifunza kwako lkn hii ni kali
@happiness_713
3 күн бұрын
I get you, loud and clear!! Amen 🙏🙏
@badendavid8456
3 күн бұрын
Dr Eliona nibariki mimi
@joshuasadock2040
3 күн бұрын
Amen. Mungu akubariki kwa ujumbe bora
@gracekagoma3231
4 сағат бұрын
Unasema ukweli🎉
@lydiaaruba6670
3 күн бұрын
Amina Amina Yan kuroholize na kuishi kanisani bila akili ya kuzaliwa wala haisaidii chochote
@glorymwero9693
2 сағат бұрын
Nakupata mpaka nakuget ani
@JoshuaHilgath
4 күн бұрын
Amina Amina
@housekeepingtarangiresopal9883
2 күн бұрын
Amen
@robertmoshi2113
3 күн бұрын
Akili
@NoelaLema
3 күн бұрын
Waambie Wanaume wapone Mchungaji wajue kabisa akili njema utoka kwa Mungu tumenyanyasika kwenye ndoa kwa kutoa kujua kumbe ni akili eee Mungu endelea kutunza akili yangu nashukuru Jehova
@robertmoshi2113
3 күн бұрын
hakika akili
@amosjohn7829
Күн бұрын
Hili swala nimeliongea sana Kwa Baadhi ya viongozi lakini hakuna Alie nielewa Mtakubaliana na Mimi Hata Ukiwa na Elimu Bado unaitaji Akili Ili Kuongeza thamani ya Elimu uliyo nayo. Nchi yetu Ina watu wenye uwezo wa kufanya mambo makubwa ya kutela Mabadiliko chanya Kwa Taifa lakini hawapewi nafasi Kwasababu ya kukosa vyeti Alafu tunataka Africa Imtawale Mzungu Hatutaweza kama hatutaweza kuwatumia wenye Akili. Kuleta Mabadiliko ya Africa na Tanzania Kwa ujumla. 😢😢😢😢
@user-th8bb1cp4q
4 күн бұрын
Kweli kabisa Pastor hata Yesu alitambua asipowafumbua watu akili zao wasingeelewa maandiko
@user-uh3eg5cj2r
4 күн бұрын
Pr. Mmi nakuelewa sana, hata hapa kwetu mwenyewe AKILI HAWANA MAISHA TENA NIKUPOTEZWA, ni hatari!
@oneninzogela-vx6pe
3 күн бұрын
Nakubali sana mtumishi
@doreentemba7833
4 күн бұрын
😇
@faithmlay5944
Күн бұрын
Mollel alikuwa na akili kabla hajawa chawa. Mshauri aache uchawa skili irudi!😂😂
@ElimringiMmary
3 күн бұрын
Asante San mchungaji Mungu akubariki tunazidi kujifunza sana.
@ElimringiMmary
3 күн бұрын
Asante San mchungaji Mungu akubariki tunazidi kujifunza sana.
Пікірлер: 22