Saidia mwenzako hujui kesho yake itakuwa vipi tupendane jameni
@francescafrancesca8901
Жыл бұрын
Kaka yangu Bhailam Asante kwa ushauri mzuri. Hii dunia ni mapito tu. Mungu awabariki.
@kladahmad3333
Жыл бұрын
Maisha nifunzo kbs❤❤❤
@user-ft4iw5nq6c
10 ай бұрын
Nice
@AthmanMasini
Жыл бұрын
Nampenda bailam kwa hekima zake😅😊
@maryd1538
Жыл бұрын
Good job❤❤❤
@jonhchichilaimollelmollel
Жыл бұрын
Jmn Mungu awape Neema hiyo ✍️✍️hekima ni kitu Bora ❤❤❤ love story
@esteragustino1180
Жыл бұрын
Nikwel lazima tupendane tusiwe wachoyo aya maisha tu jamani
@user-th2so3ed5m
10 ай бұрын
Sashaaaa uchayo haufai imekula.kwako
@SamsonOluyali-eo4jh
Жыл бұрын
Great teaching 🇰🇪
@falmaliciousfoods4638
Жыл бұрын
❤kaz nzur sannaa Mafunzo mazur
@meshacknyandongo577
Жыл бұрын
Huyo dada mm namkubali
@user-qo8eu1br6f
Жыл бұрын
Safiii Sanaa 😍
@mayarashidi2765
Жыл бұрын
Kazi mnzuri Sana ongereni
@tuombemamila1364
9 ай бұрын
Chacha tumbo lako limekuponza
@nockigona5160
Жыл бұрын
naomi ana huruma jaman ni asili ya wasukuma
@naomisamwel18
Жыл бұрын
Mi ni msukuma lkn ninaroho ya hovyo sijui mimeitoa wap😆😆
@samwelimoshi5614
Жыл бұрын
@@naomisamwel18 mama yako kachakachua hyo mbegu
@PrettyMasha-cs8iv
Жыл бұрын
@@naomisamwel18shiida 😅😅😅
@kassimdadi5406
Жыл бұрын
Delivered
@reynaaalrawahi4137
Жыл бұрын
Kweli mchoyo hana rafiki 😅😅😅
@AyishaOman-cw4xs
5 ай бұрын
😂😂❤❤❤❤❤❤
@Salma-id4yl
Жыл бұрын
Nkazi.nzuri
@westside4785
Жыл бұрын
hii kubwa sana
@noahkajinga7599
Жыл бұрын
Aceito seu trabalho em comédia e cinema juntos
@ashamwanganzi6400
Жыл бұрын
Mafunzo mema san
@solangerechol6881
Жыл бұрын
Wooow Wema niakiba ❤
@KevinAsugo-ij1vd
Жыл бұрын
Great
@saraliciatinah6702
Жыл бұрын
😢
@HadijaIssa-bu4ry
Жыл бұрын
Unatoa sana ila muendelezo huna
@amaniartsgroup4403
Жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri
@ongeriomeka-uj1eb
Жыл бұрын
Mafunzomazuri kweli
@rahmaoman5122
Жыл бұрын
Wasukuma tuna roho za huruma mnoo 😊
@ngoshathedon5022
9 ай бұрын
Kutuuuu
@alexlyamsema4984
Жыл бұрын
Haya maisha tunayoishi ni zawadi kutoka kwa Mungu na tumepewa bule kabisa bila hata kulipia sent yeyote !!walikuwepo wengi lakin mpk sasa hatuko nao!! Nachotak kusema ni kwamba ukipata bahati ya kuishi you must lean how to live with others,, ishi kwa upole ,wapende wote wanaokupend hata wasio kupenda pia,, furahia kila second ya maisha yako maan it passed like a shadow''
@fbfb6420
Жыл бұрын
Maisha ni ya mungu....weka ni akiba.
@domminickowino1346
Жыл бұрын
Following bro , hawa watu wachoyo wanatakiwa hivo
@nitegekabedastine-rw7cb
Жыл бұрын
🙏🙏
@esterkimalio8846
Жыл бұрын
Roho mbaya haijengi
@yuui1878
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@EricBoyy
11 ай бұрын
😂kwell
@sadamxadam1807
Жыл бұрын
Tujifunze kitu ndugu zanguni
@joyyjoyy5474
Жыл бұрын
Kweli kabisa nimejifunza hata kama nikidogo tugawanye na wengine
@bintiomari6019
Жыл бұрын
Jamani uncle putula karudi tena kwani ulikua wapi uncle putula❤❤❤
@ongeriomeka-uj1eb
Жыл бұрын
Zaidia uwesapo
@kennedykipngetich7523
Жыл бұрын
Naibenda kazi yenu wana Sahara endeleheni kusambaza hekima
Пікірлер: 53