SKIZA CODES 1.Code 6930218 - Ameniweka huru 2.Code 6930219 - Bwana Yesu Anatuuliza 3.Code 6930220 - Damu yako yenye baraka 4.Code 6930221- E Mungu mwenye haki 5.Code 6930222 - E mungu mwenye kweli 6.Code 6930224 - Enyi kundi 7.Code 6930225 - Fanyia Mungu kazi 8.Code 6930226 - Je umelisikia jina zuri 9.Code 6930227 - Kisima chema 10.Code 6930228 - Kuna mji huko juu 11.Code 6930229 - Maisha katika dunia 12.Code 6930230 - Matendo ya Mungu 13.Code 6930244 - Msifuni 14.Code 6930245 - Mwokozi wetu 15.Code 6930246 - Nchi nzuri yatungoja 16.Code 6930248 - Nilikwenda mbali 17.Code 6930249 - Pendo la Mungu 18.Code 6930250 - Roho yangu inaimba 19.Code 6930251 - Sawa na kisima 20.Code 6930252 - Siku moja mavuno 21.Code 6930253 - Tu watu huru 22.Code 6930254 - Tutazame kule 23.Code 6930255 - Uzima ninao 24.Code 6930256 - Uhesabu mibaraka
@nicholasmumba5009
Жыл бұрын
Thank you so much 🙏 stay blessed
@godfleychiwanga
Жыл бұрын
Hapa na dada mavazi hayo hapana tunaomba yaache mwili barafu yawe marefu asante
@roseobare1255
Жыл бұрын
@@godfleychiwangareally? Unataka avae buibui ama
@danielhabyarimana6715
10 ай бұрын
❤
@rashidsaid1068
9 ай бұрын
😮o baby man😅😊
@amos6068
Жыл бұрын
I used to come home in the midnight when am drunk I start beating my wife until morning thanks papi clever and you're wife for changing my family 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nothing I can give you people but I pray that one day I meet you at my home that's when I will give my testimony How God changed my life through you people may the Lord of Abraham, Jacob,Isaac reword you accordingly
@samuelochieng6766
Жыл бұрын
Praise Jesus, may he sustain you in him to be like him everyday by pursuing holiness through daily reading of his word.
@chichichabachu
11 ай бұрын
Ameeeeeeeen
@digue12345
11 ай бұрын
Amen
@patrickkarangwa5040
11 ай бұрын
Hallelujah! Amen! Blessings upon Papi and Dorcas and to whoever listens to the Lord's message through these heart touching songs!
@moseskarengera4243
11 ай бұрын
Ooooooh my God . That's sounds amazingly
@RosebellahNambiro
Жыл бұрын
Nawapenda sana mungu awabariki jamani nyimbo zenu zanijenga kiroho,,kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪 wakenya nipeni likes zenu
@So-qg7fx
Жыл бұрын
Me i just want to appreciate Kenyans in general 🇰🇪🇰🇪you guys are very supportive!! Thank you so much
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
So much
@josphinenganga7294
Жыл бұрын
Waooo kenyans we don't dissapoint when it's comes to supporting talents ..they should organise and visit kenya ..
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
@@josphinenganga7294 we praying and we hope one day we will be there
@rachelmaina2680
Жыл бұрын
@@PaPiCleverOfficialplz come ooh,I would like to see u,Gods people who feeds my soul daily with ur music.
@grammamresh8848
Жыл бұрын
@@PaPiCleverOfficial welcome I will provide everything for people, karibuni Kenya
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
Lyrics with English translation 1 E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku - O righteous God, lead me katika mambo yote yanayokupendeza! - in all things that please you! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka - When I'm without you, threats, fear and doubt yatanitia tetemeko mpaka kufa. - they will lead me to death. 2 Ni heri siku zote kutegemea Yesu - It is always blessed to rely on Jesus na kuenenda sawa katika nyayo zake, - and walk right in his footsteps, kwa kuwa yeye ni Mchunga anayeniongoza vema, - for he is a Shepherd who guides me well, nipate kuingia katika raha yake. - may I enter into his glory. 3 Safari yangu sasa yaelekea mbingu, - My journey now goes to heaven, Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko - The Savior is there, I must get there na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha - and the day when I will get there i will rejoice with joy kuona yeye aliyeninunua kwake. - to see the one who saved me. 4 Ulimwenguni humu, matata na kuchoka. - In this world, there's troubles and boredom. Nikihitaji kitu nafadhahika bure, - If I need something, I get frustrated for nothing, lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi, - but on that great day I will see the Savior, natumaini sitakosa dhawabu yangu! - I hope I will not miss my reward! 5 Mbinguni sitaona adui zangu tena. - In heaven I will see my enemies no more. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. - nothing i will miss there. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! - I will raise my voice and say: God, hallelujah! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu! - I will wave my hands with great joy!
@sizbentahatieno9635
Жыл бұрын
Amen
@annngugi989
Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@amrithachadia2399
Жыл бұрын
Be blessed 🙏 forever
@moraama821
Жыл бұрын
Another best one
@reginahwaithira8684
Жыл бұрын
The words are so powerful 🥳🥳🥳
@irenephilipo9508
Жыл бұрын
Mimi ni Mtanzania. Napenda huduma yenu. Mungu aendelee kuwainua na kuwatumia kwa Utukufu Wake. Amina.
@josephinemichael1514
Жыл бұрын
Nimewafahamu wiki iliyopita ila nimewafurahia sana hawa watu, Mungu awatunze🇹🇿
@teddynjau9595
Жыл бұрын
💞💞💞💞🇹🇿
@njangomaukuleiyo8844
7 ай бұрын
I love you dear saints, hii wimbo imenipeleka juu sana kiroho
@miriamwambui373
Жыл бұрын
Woooi, hawa huwa wanafanya najiskia niko karibu na Mungu by listening to their songs😢❤❤❤❤
@saimomaina
Жыл бұрын
Hauko peke yako, Mimi pia
@phylliswachira2850
Жыл бұрын
Glory to God Almighty
@janemuthoni723
Жыл бұрын
This couple is a blessing to many,plus our handsome Pianist Merci,wherever i see these 3 people i feel to fly ❤❤❤❤❤Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪loves you
@BHussein-k6v
Жыл бұрын
This is my favorite song❤❤🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍🇧🇮🇺🇸
@johnsonmwatuka
Жыл бұрын
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nyimbo nzuri aki
@amos6068
Жыл бұрын
You people you changed my life since I started following your music now am practicing this songs together with my wife I told my wife that I accepted Jesus as my savior she was surprised and I told her we have sing two songs be4 we pray and sleep and in the morning we do the same thanks papi clever and You're wife for changing my home
@francoisekansangwa18
Жыл бұрын
Amen!!
@francoisekansangwa18
Жыл бұрын
Amen!!
@yesu7733
Жыл бұрын
Amen🙌🏽 Glory to God ❤
@saviourkasekwa2171
Жыл бұрын
Waoo glory to God
@Oriveayansubirije-3kz
Жыл бұрын
❤❤❤
@KennedyZabron
8 ай бұрын
Huduma yenu isonge mbele daima Arika na DUNIA nzima kwa UTUKUFU WA YESU KRISTO WA NAZARETI ❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@stephtiffany977
Жыл бұрын
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i listen to your songs every morning and night be blessed ,🙏🙏🙏
@SimonP_76
9 ай бұрын
😭😭😭😭 Jesus I need you....!!
@amos6068
Жыл бұрын
You know they are people who come into your life and change it totally you people you changed my home 😢😢😢😢😢😢😢 I used to come home midnight
@SheilaIsichi-o2u
Жыл бұрын
Mungu uniongoze
@gkgodsdaughter
Жыл бұрын
Ayiweeeeee manawe urimwiza cyane ndafashinjwe
@NdabunguyeTheo
Жыл бұрын
Mubarikwe sana imana ibahe imigisha
@cesiliankwae3888
Жыл бұрын
Amina nimebarikiwa sana na huu wimbo
@ReneKhalifa-m5z
Жыл бұрын
Much love, Imana ikomeze ibasige amavuta menshi
@odingamalambilo9070
10 ай бұрын
❤ nimeipenda injili hii tamu sana.
@FurahaScolastique-df3ho
Жыл бұрын
Mubariwe sana naYesu nduguzangu
@ngarambesamuel6093
Жыл бұрын
Asante mr,papi na madam❤❤❤
@lydiahwaithira3654
Жыл бұрын
Huku hatutoki🇰🇪🙏
@fridahwamboi2794
Жыл бұрын
Hallelujah asifiwe Yes you guys mimesikiliza nyimbo zeyu zote hadi nimejipata nimeokoka sasa nimeamuwa kuishi kwa Mungu nimtumikie🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@monicanjoroge8842
Жыл бұрын
Kwa Yesu hakuna hasara
@isaackamau849
Жыл бұрын
May the Good Lord sustain you
@danrurenza4315
Жыл бұрын
Bwana Yesu aziongoze hatua zako siku zote hadi siku ya kuingia katika ufalme wake.
@fridahwamboi2794
Жыл бұрын
@@monicanjoroge8842 true
@fridahwamboi2794
Жыл бұрын
@@isaackamau849 Amen
@Benizungu7774
Жыл бұрын
Murumugisha kuri gospel nyarwanda Kandi mukora mundimi zose.. Watoto wetu✅🇷🇼🇷🇼🇷🇼
@EricMushi-dw6ej
Жыл бұрын
Ndabakunda God Bless you.
@DidaceNINGANZA-zq4qh
Жыл бұрын
Imanibahezimigisha myinshi cyane gusa muzadushyirireho nizagakiza hamwe nizoguhimbazimana zo mukinyarwanda
@hadassahmoses4631
Жыл бұрын
Muriribye neza Imana ibahe umigisha
@JimmyWanzambe-xw8vp
Жыл бұрын
Am here After kuskiza hii song gukena FM...wee Kali sana
@ingabireclaudinejose2156
Жыл бұрын
Nice view ❤❤❤❤Yesu ashimwe weeeee
@mercyogada6052
Жыл бұрын
literally am crying 😭...Halleluhya Halleluhya.. Am blessed.. am happy... your worship songs makes me feel like am in heaven already.. I really really love your songs.. wish you come to Kenya🇰🇪🇰🇪 some day God willing.. Mungu awalinde na awabariki Sana kwa nyimbo zenu mnatuondolea dhiki kupitia nyimbo zenu kiujumla.. . Be Blessed... much love ❤from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@faithspencer239
Жыл бұрын
May jehovah favor my country 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 musicians to deliver such a worship/praise songs.soooooo sweeeet
@virginiawanjohi1340
Жыл бұрын
You're right. A big Amen to that.
@sfkl8257
Жыл бұрын
Mundirimbo zose zigiswahiri iyi narindayirindiriye ndayikunda caaaneee 🇧🇮 ♥ ❤
@narukundofuraha4641
Жыл бұрын
Iyi ndirimbo mwayiririmbanye umwuka wimana, amavuta yi mana kurimwe
@abadiasnduwayo9945
Жыл бұрын
Mbipfurij kuririmbira mu mpwemu no mukuri muzoshike mw'ijuru 🇧🇮🇧🇮
@desirengoy-wo2cl
10 ай бұрын
You're really Best, may the Lord gives you again strength more than this thankyou very much for your messages, Am desire Congo drc
@LetishahBeverly-pg2hr
Жыл бұрын
Mungu hawabariki sana
@hauwaumarbuba423
Жыл бұрын
12: 25 am Nigerian 🇳🇬 time, I was led by the Holy Spirit to dance to this song. I did (using my earpiece😊) and prayed shortly afterwards. Thank you for the translation. More grace to your team 🙏
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
Thanks for sharing!!❤
@stevemwangi8208
Жыл бұрын
I can imagine how glorious it feels ,be blessed
@wendymwalukangachivunga133
10 ай бұрын
Asante baba for you guy.mungu wakubarikira
@merryu1526
10 ай бұрын
Nabakundaga nuko muririmba ibiswahili gusa
@SIBOMANAEMMANUEL-e3l
11 ай бұрын
AMEN
@davidmupenzi8997
Жыл бұрын
Unani bariki mwaizi masiku baba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩Mimi ni mucongomani
@aarpp4907
Жыл бұрын
Niongoze Mungu kwa mambo yote ya hii dunia usiruhusu nikaenda kwa njia isiyokupendeza ,,mapenzi yako Mungu yatimie kwa maisha yangu😭😭😭🤲
@benazirnamiti9635
Жыл бұрын
Eeh mungu mwenye haki uniongoze
@peninahnyantabara7559
Жыл бұрын
Mwarahamagawe
@gladysmusa2133
9 ай бұрын
Kenya loves you ❤
@jenniferdutta-rl8yo
Жыл бұрын
Mungu awbariki sana,nabarikiwa pia,
@MusengeHéritier
Жыл бұрын
Nami ni mukongomani Nina wapenda sana
@hirwafelix9817
Жыл бұрын
MuHabwe umugisha bakozi b Imana ndabakunda
@stillmiketheone
Жыл бұрын
Asanteni Sana kwa kutubariki kupitia huduma yenu. Mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jacksonasobola4085
Жыл бұрын
Am happy to be the 1st to comment, much love from Uganda 🇺🇬 Papi clever you are my good local model, sinzi niba nzakurebaho amaso kumaso
@marynyambara6735
Жыл бұрын
Nime barikiwa sana wapendwa mungu awakumbuke musiruhusu mwili uwatawale ruhusu roho mtakatifu iwatawali amaaaaani
@carolynekosgei-l1r
Жыл бұрын
I think this is the Grace of God so touching came to Kenya wish to see you ooh
@mathewsshabashaba8278
Жыл бұрын
TZ ku Chalo❤❤❤🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@calvinbosire2566
Жыл бұрын
I don't understand that language but i feel blessed
@pastorbonifacengui9566
Жыл бұрын
Ñ mzuri saña
@bettymwangi5617
11 ай бұрын
God bless you guys you are blessed to my family we listen to your songs dayly hizo ni nyimbo za ufalme
@Adielsgroup
9 ай бұрын
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 thanks ❤
@j.o.mbabjared.5565
10 ай бұрын
wow, I've been here frequently just to listen to you guys.💖🥳🎊
@alineuwase5329
Жыл бұрын
Mubarikiwe duguzangu
@kanonkotito3383
Жыл бұрын
I love you so much bakozi b'Imana Imana Ibah'Umugisha cyane kandi Ikomeze kubagura kuko muraduhezagira cyaneeeee!!!! Muri beza👍 Kandi Ubwiza bw'Imana bubariho
@PaulineMoraa-px1ik
10 ай бұрын
Napenda sauti yenu ,,, inapendesa,ni tulifu tena ya kufutia uwesi choka keep up growing
@jackymugwera2840
Жыл бұрын
Ninawapenda
@gloriaminani3067
10 ай бұрын
🇧🇮🇷🇼Amena
@tamarinassary
11 ай бұрын
Tukiwa na yesu hatuna mashaka
@erickmwangu6418
10 ай бұрын
Amen....Glory to lord.
@ahavatvshow2012
Жыл бұрын
Mbinguni sitaona adui zangu tena. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!
@ANNE_CHOSEN1
Жыл бұрын
Papi and Dorcas, may God keep you, preserve your marriage and ministry. Merci, may you soar, mark the word soar, higher than you ever thought. Your music has been leading me into deep prayer daily. From 254 🇰🇪🇰🇪 baraka
Guys you are ablessing to me and the entire east Africa keep it up
@ابوكلنك
Жыл бұрын
Amena mungu ababariki
@ndagiroisidore8406
Жыл бұрын
Mungu awabariki 🙏
@salomekairu7587
Жыл бұрын
Nimebarikiwa
@stellananyama5724
10 ай бұрын
Hallelujah I'm blessed❤❤❤
@mildredaoko7782
Жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 very inspiring songs kazi nzuri sana
@MsEnergy4
Жыл бұрын
Mungu aendee kuwabariki🙏
@NdayambajeNdayambaje-gv1dl
8 ай бұрын
na penda nyimbo zenu saan
@adolphe9125
Жыл бұрын
Mwami kubaho ntagufite binteye ubwoba ndetse byangeza no mu rupfu vuba !!! Iyi ndirimbo yakujyana mwijuru udapfuye ❤❤
@NgenziDjarud-om4yg
Жыл бұрын
ndaba kundacyane nukuri pe lmana niko meze ibafashe muujyere kure lmana ibagure muburyo bwose ndaba kunda cyane nukuri
@UwihoreyeBabon
Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN Mungu awabariki sana,Mungu mweye haki atuongoze kabisa, asante sana Papy,Dorcas,Merci ndabakunda cyane indirimbo zanyu ziramfasha murugendo ndimo rwo kwegera YESU🙏👏
@ClaudManyanda
5 ай бұрын
Nimebalikiwa nawimbo huu
@JudithluchinaKhayimba
9 ай бұрын
It's very powerful,❤
@happypetro919
Жыл бұрын
Jaman hawa watu wanaimb🙌kila nyimb lazma nitoe machoz❤
@hilarytowett6738
Жыл бұрын
Tunawapenda ndungu zanguni pokeeni kutoka kwa kenya mungu wa mbinguni awabariki sana
@amos6068
Жыл бұрын
Imagine every night now we sing your songs now we have prayer together 😢😢😢😢😢😢😢😢 my children have come back to me I used to beat them also Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah 😢😢😢😢😢😢😢😢my the Lord reward you abundantly Papi clever and you're wife
Kila wakati nikiamka asubui naskiza nyimbo zao zinanipa nguvu ya kumkaribia Mungu zaidi, Mwenyezi Mungu awabariki sana
@PaPiCleverOfficial
Жыл бұрын
NYIMBO ZA WOKOVU No 275 1 E’ Mungu mwenye haki, uniongoze huku katika mambo yote yanayokupendeza! Nikiwa huku bila wewe, vitisho hofu na mashaka yananitia tetemeko mpaka kufa. 2 Ni heri siku zote kutegemea Yesu na kuenenda sawa katika nyayo zake, kwa kuwa yeye ni Mchunga anayeniongoza vema, nipate kuingia katika raha yake. 3 Safari yangu sasa yaelekea mbingu, Mwokozi yuko huko, lazima nifikeko na siku nitakapofika ‘tashangilia kwa furaha kuona yeye aliyeninunua kwake. 4 Ulimwenguni humu, matata na kuchoka. Nikihitaji kitu nafadhahika bure, lakini siku ile kuu nita’pomwona Mwokozi, natumaini sitakosa dhawabu yangu! 5 Mbinguni sitaona adui zangu tena. Hayatakuwa mambo yakupokonya pale. Sauti nitamtolea, kusema: Mungu, haleluya! Mikono nitaipepea kwa shangwe kuu!
@RoyaltyEffie
Жыл бұрын
Nyimbo za injili slaps differently❤kwanza the way you guys are singing them❤we're blessed here🇰🇪
Пікірлер: 755