Ee mungu wangu 16:46 mwema naomba msaada kwa babu na Bibi Bibi zangu pamoja na wazazi wangu wote turehemiwe Zambi zetu zote amina 🙏🙏🙏🙏
@furahamangi4715
2 ай бұрын
Asante mungu wa rehema kwa ujumbe wako Mungu nisaidie na unisamehe 🙏🏼🙏🏼
@HelenaKafugugu-qt3zf
Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi nimefunguliwa kupitia neno hili
@dativacollins1334
2 жыл бұрын
mtumishi naomba ufahamu wangu na niwrrze kuwa mtii kwa kuelewa sheetan akashindwe
@josephmulombe1681
Жыл бұрын
Mungu wako anisaidiye anifunguwe na mimi ilinimalize kazi salama la Mungu
@kristofakristofa
Жыл бұрын
Usinipite baba mungu, damu yayesu iwe juu ya maisha yangu asante na umubaliki mutumishi wamungu bishop elibaliki sumbe n'a umuzidishiye amena Amena kubwa
@elishaathumanathuman16
9 ай бұрын
AMEN AMEN BABA napokeya Kwa jina la YESU kristo amen
@augustintumbwe8809
2 жыл бұрын
Askofu elibariki sumbe neno unayo fundisha ni kweli, kazi nayo ngojea mungu njoo aliyo nipa hata inakwa yeye peke atafunguwa njia na atafunguwa hiyo ibirisi anayo fanya ila nita itwa ginsi na chunga miaka mbili na mwezi 5 tano ila itakuwa tuu amen.
@kitoimajenja
4 ай бұрын
Mungu Baba katika Kina la Yesu Kristo naomba unifundihe kuomba.
@AsteriaJuma-n6q
Ай бұрын
Hakuna Jambo gumu mbele za mungu kupitia neno hili nitafungulia ❤
@AsteriaJuma-n6q
Ай бұрын
Namuomba mungu anifungulie mizigo niliyotwishwa na wanadamu
Mungu baba,mwana na roho mtakatifu azidikukutumia mtumishi wake
@beatriceashule8769
2 жыл бұрын
Neema kubwa kwenu enyi ndugu zangu katika Kristo Yesu. Mu ishikiliye saana hiyo neema. Mumepata Mchungaji mwenye upako na hekima tele. Watching aji wengi wanakuwa kinyume na mapenzi ya Mungu. Ni neema kupata Mchungaji ambae anafundisha mambo mazito kama haya. Wengi tunaishi maisha ya ignoring. Nimefurahia mafundisho mazuri kama haya. Ninatamani sana hayo madhabahu ila Niko inje ya Africa. Mungu awabariki saana.
@joellaniyonkuru8908
2 жыл бұрын
Ameeeee!!MUNGU anafanya njiya pasipo kua na njiya .atupe kulishika neno lake tujaye Imani myoyoni ili tuvuke Jordan salama ,tunasimama kando kando ya muto Fanya njiya Baba pasipo na njia leo tunaamini week hiyi tutavuga ngambo neno ulilo linena narifunika kwa Imani🙌🙌🙌🙌🙌🙏26.11.2021
@jeniphergabriel1247
2 жыл бұрын
Bishop atakuja lini mbeya waty tuntafuta mungu kwa juhudi hatumpati naomba aje afungue watu wa mungu tunateseka sana jamni
@jumberichardkilopa6465
Жыл бұрын
Namuomba Mungu anifungulie njia ya kukujuwe wewe Mungu
@winnyroda7558
Жыл бұрын
Mtumishi hakika umefunza ukweli wa ndani, MUNGU Heshima yote iwe yakwako 🙌🙌
@devotematenga9380
Жыл бұрын
God bless vuka yordani Mungu niongoze
@neemaedward4567
2 жыл бұрын
Mtumishiii unaniliza sanaa nstamani siku moja nifike madhabahuni pako nishike miguu yako familia yangu/uzao wangu tunahangaika sana nimekuwa ni mtu wa wakutamani kufa tu.Mungu nisaidie mimi na uzao wangu/wazazi wangu.ahsante kwa kutufundisha neno lako takatifu Mungu akubariki sana mtumishi nabarikiwa sana napata ushujaa na amani moyoni mwangu.
@neemakagine9902
2 жыл бұрын
Mtumishi. Naomba. Mungu. Anifunguwe. Mambo. Yote yanayonitesa. Pamoja. Watoto wangu
@jumberichardkilopa6465
Жыл бұрын
E Mungu yangu Nakuomba unifungulie malango yangu ya kiroho nipate kukujuwa ndani ya moyo wangu
@annejulius100
2 жыл бұрын
Asante sana baba nimepokea kitu kikubwa kwa somo hili.
@kabwefrancine99
Жыл бұрын
Amen nifunguwe heee mungu wangu katika vifungo vya chetani 🤲🤲🤲
@THE_OCEANSOUND
10 ай бұрын
❤❤❤❤❤ Mungu mukuu aliye hai Ako hapa
@ommyfatuma3801
2 жыл бұрын
Baba ubarikiwe Sana natamani Sana nifike Arusha kwenye madhabahu ya wrm hakika nabarikiwa sana
@neemambuli7628
2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mtumishi huyu naomba Mungu anitie nguv niwez fka kweny madabahu hii ili nifunguliwe
@mariamushi9662
2 жыл бұрын
Mungu nipe kuelewa zaidi na zaidi na kulishika neno lako
@gracehaule4644
2 жыл бұрын
ameen mtumishi kupitia mafundisho yako naomba Mungu anifungue nipate kuponywa maradhi yanayonisumbua yasiyosikia dawa
@AsteriaJuma-n6q
Ай бұрын
Hakika utapona Amin
@hnoufnamr5623
3 жыл бұрын
Amen amen hakika bishop umeni gusa kabisa nikiwa moja wa kujiuwa nitafanya kama kama ulivyo Sema nitafunga siku saba Asante Sana mungu akubariki
@yassonmmary3685
2 жыл бұрын
Mungu akubariki na kukulinda mtumishi wa Mungu nimejifunza mengi sana Bwana akuinue zaidi
@asmaraentertainment668
2 ай бұрын
Amina mtumishi good bless you 🙏🙏
@shedrackboniphace7755
2 жыл бұрын
Barikiwa mzee elibariki sumbe,watu wanataka matokeo Na sio Njia ya kupata matokeo🙏🙏
@elishaathumanathuman16
9 ай бұрын
I receive I receive I receive I receive I receive I receive
@EuniceWandawa
3 ай бұрын
Eeeee mungu wa mtumishi wako Sumbe naomba unifungue
@alexjohn4465
2 жыл бұрын
Najiunganisha na hyo madhabahu kwa jina la yesu napokea uponyaji
@josephmulombe1681
Жыл бұрын
Amen god bless you pastor
@JeanBaptisteLwaboshi-zx4dk
Жыл бұрын
Natafuta kujiunga na mutumishi elibariki sumbe nipate musaada
@nasraibrahim5161
2 жыл бұрын
Ubarikiwe njoo na morogoro mtumishi
@faustakomba8186
10 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor mungu atusaidie
@judithabuko6006
3 жыл бұрын
Ee,, Mungu naomba nikafunguliwe mm na watoto wangu kwa jina la Yesu na kwa Damu ya Yesu Kristo aliye hai🤲🛐🔥🔥🔥
@asanianselm6759
9 ай бұрын
Usinipite mungu bwana wangu neema yako kwenye Maisha yangu
@kotikashfelister1183
2 жыл бұрын
Barikiwa Baba kwa neno hili Bwana Mungu wetu liinuliwe Amina
@elishaathumanathuman16
9 ай бұрын
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
@lilmigosaddam
3 ай бұрын
Mungu nisaidie najataa roho ya mauti😢
@alainnsenga2094
Жыл бұрын
Baba mungo abarikiwe neno ihi inafaridji
@cletuskabula7153
2 жыл бұрын
Mungu naomba unifungue nitoke kwenye mateso yote yanayoumiza moyo wangu
@jplacroyance4590
2 жыл бұрын
Amina! Hii ni kweli halisi! Barikiwa mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu toka kwa Bwana wa Majeshi!
@josekavira1841
2 жыл бұрын
Amen bichop,na ona neno ili lime chuka kwa ajili yangu baba mimi na jaaama yangu tume funguliya ku pitiya neno la yesu-Cristu,sisi tuko wanamuke ine toka tumbu la mamayetu lakini hatuja olewa baake tuna zaliya na watoto pale nyumbani dadangu ame zaaa wa tatu na mimi mu moja sote tuko nyumbani,eeee baba na liya kwa jiya ya msalaba wako utu okoye toka laana iyi tuna ichi utupe maicha yetu halisi uliye ya tamka pale ulipo tu umbanga.mungu azidi kuku funuliya maono mengi juya wa toto wake nachukuru
@annagalula1834
2 жыл бұрын
Amen neno hili umelitoa kwa ajili yangu pasta limenifungua kwa jina La yesu amen
I'm blessed through this, be blessed too pastor 🙏🙏
@mmam4259
2 жыл бұрын
RepLes
@czarrowland2284
2 жыл бұрын
neno limenigusa sana ucku wa leo
@loreenmwambinguloreen7373
3 жыл бұрын
Amen n wakati nitubie dhambi za ukoo roho wa MUNGU anaponena 'neno la MUNGU na lichanganyike na imani...hapo ilkuwa n MUNGU kweli pastor umeweza...
@marymwangesi5333
2 жыл бұрын
Waw! This is my word today yesterday my best partner prayer betrayed me and I was very hart n my heart ... Now I got new revelation Glory be to God . Thank you God for using brother to release this word .... More Grace 🙏
@joanchepkemoi640
2 жыл бұрын
A men amen
@annahalick7520
2 жыл бұрын
Naomba nikumbuke mshungaji kwadamu ya yesu
@ennamongi9812
2 жыл бұрын
Barrikiwa baba sana somo hili nilakwangu
@mbonimpaevelyne9910
3 жыл бұрын
Ameeen,Mungu nifunguwe Mimi na watoto wangu nisaidie Mungu sikia kilio cangu
@millicentrabera
2 жыл бұрын
Amen mungu sikia kilio changu nifunguwe mm na mtoto wangu pia na familia yangu
@alexanderkayinga4858
2 жыл бұрын
Yes nisaidie ili nilishike nemo lako
@antlucifermovement7276
2 жыл бұрын
Mtumishi umenitoa kweny kifungo
@FrankKakusa
11 ай бұрын
Mungu azidi ndani yako
@labsonelizo6734
Жыл бұрын
I need u help in my family life. Things for a long time never gets better. Please, pray 🙏 🤲 for me in Jesus name amen
@mathieubisimwa4326
2 жыл бұрын
Muchungaji Mungu akulinde uishi siku nyingi Amen
@noellaniyonizeye1646
2 жыл бұрын
Amen amen asente Mutumishi Mungu awabaliki sana
@shammimnanjala9486
2 жыл бұрын
Be blessed pastor amen 🙏🙏🙏
@lizzyjoseph9390
2 жыл бұрын
Ubarikie mtumishi wa mungu
@JeanpaulUredi-cq9xi
7 ай бұрын
Mungu tusaidiye😢😢😢
@annahalick7520
2 жыл бұрын
AMEN mutumishi wamungu mungu azidi kukupa kipaji
@hekelasanga7170
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumisshi
@lisettemwaba8327
2 жыл бұрын
Amen to God be glory
@LydiaNasimiyu-h1n
2 ай бұрын
Amen amen amen amen amen
@mariamfrank9795
2 жыл бұрын
Nimesikiliza neno hili nomesikia kulia sana
@JustinaSamuel-zd6rq
3 ай бұрын
Amen amen amen 🙏🙏🙏
@purymumykarisa8863
3 ай бұрын
Amen and amen baba
@wilfredelimeleki4543
3 жыл бұрын
Asante sana Mungu kwa kutufundisha mambo ya sirini
@california6030
3 жыл бұрын
Mungu nisaidie na unisamehe makosa yangu
@mariamsimba9709
3 жыл бұрын
Napokea baraka nafuta laana kwa jina la Yesu
@dorislarence9749
3 жыл бұрын
Amen ukweri kapisa pastor
@majak2140
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mutumishi wa mungu
@gicaelubuntu9428
2 жыл бұрын
Emungu nifunguriye namme wangu nawatoto wangu
@annadaniely2380
2 жыл бұрын
Mungu Asante
@elishaathumanathuman16
9 ай бұрын
Powerful powerful
@filothiasirizabongo5767
3 жыл бұрын
Mungu nisaidie nishike neno lako kwa uaminifu
@elishaathumanathuman16
9 ай бұрын
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
Пікірлер: 238