Song: Sina Mwingine By Elie B. Munepo
Lyrics
Niende wapi nimwache yeye anayo maneno yauzima
Mavumbini amenitoa
Mpaka hapa ye ni Ebeneza
Niende wapi nimwache yeye anayo amani ya ukweli
Wema na Fadhili zake kwangu ni nyingi, leo nashuhudia
Sina mwingine
Wakutegemea
Jinsi nilivyo
Nineema Yake
Nilie zarauliwa nakukataliwa na watu
Ameniheshimisha sasa naku niketisha na wakuu
Amefanya njia pasipo nanjia
Yeye ni Mungu wakutegemea, Mungu wakutegemea
Hakunipa nilicho muomba Huyu Mungu
Anipa pia nipa pia kinacho nifaa
Amenipa Amani, Furaha ya maisha, Wakutegemea, Mungu wakutegemea
Sina mwingine
Wakutegemea
Jinsi nilivyo
Nineema Yake
Cc: ElieBahatiMedia #redeemednation
#tanzania #gospel #music #foryou
Негізгі бет Elie Munepo - Sina Mwingine
Пікірлер: 14