Kama upo Marekani au Canada, jaza form hii upate FREE CONSULTATION ebmscholars.com/finance/
@HamidaSalum-l2j
15 күн бұрын
Kwaiyo kaka kwend oficin nd mpaka mwez wa 10 tusubili
@OmariChanja
5 күн бұрын
Brother nipo Dallas TX, nahitaji kupata namba yko kwa mawasiliano zaidi kuna kitu napenda unielekeae hasa kuhusu kujifunza na truck driver
@LadsenEliaminiNkya
6 күн бұрын
Asante Sana Baba kwa maelezo mazuri. Niko Kampala hapa tetezi kwamba Canada wafanyakazi kama wa Ujenzi; carpenter,kuchunga ngombe mimi ni mjenzi nifikeje canada
@alphoncemaganga1876
13 күн бұрын
Bw mdogo hongerasana,elimuyako ni nzurisana
@mugisharich3486
15 күн бұрын
Safi sana EBM !!!
@HanifaChalresy
14 күн бұрын
Nimekuelewa Sana brother
@GeraldElias-s7j
15 күн бұрын
Kaka ndoto yangu nikuishi america one day japo kwasasa sina vigezo vyaku apply green card lottery
@joycebenjamin6017
15 күн бұрын
Safi kbs EBM 100%👍🏻👏
@tinaminja5500
15 күн бұрын
Kaka ebm za kwako.... Pole na majukumu.... Naomba jiuliza ivi mwaka huu green card lottery IPO? Na inaanza tarehe gap? Vip kuhusu kigezo Cha passport kimewekwa?
@olivier6600
15 күн бұрын
Turiha DV IPO
@olivier6600
15 күн бұрын
Turiha DV IPO
@ReginaMussa
14 күн бұрын
@@tinaminja5500 EBM huwa hajibu comments 🤣🤣🤣 wajibu wako ni kufatilia videos anazotoa, mwaka huu green card ipo kuanzia October hadi Nov, but tr rasimi bado haijatoka na shariti la passport halipo,wewe kazi yako ni ku apply tu 💃💃💃
@tinaminja5500
14 күн бұрын
@@ReginaMussa mbona kanijibu labda wewe Ni mgeni poleee
@ReginaMussa
14 күн бұрын
@@tinaminja5500 una bahati basi, maana huwa naona hajibu
@olivier6600
15 күн бұрын
Ushauri mzuli
@ahmedalfan8075
14 күн бұрын
Nakuelewa saana kaka
@ChoroTesla
4 күн бұрын
"Ni rahis kumiliki gari marekani kuliko kumiliki simu"
@KulwaManase-j8w
15 күн бұрын
Thanks brother 🙏
@flomenakamugisha
15 күн бұрын
God bless you
@ms_teeonly
15 күн бұрын
👏🏽👏🏽👏🏽 Well said
@elyam.
15 күн бұрын
Kaka naomba ungefuatilia maswala ya ufugaji na kilimo huko US
@ManirambonaClaudine-g8k
15 күн бұрын
Asante kwa elemu unayo tupeya
@RoseKulaya
14 күн бұрын
Habari kaka mm nipo Tz ni process zipi nifuate
@MashakaGabriel-n2r
14 күн бұрын
Na Sisi Wa Dodoma Unatusaidiaje Kaka Kutujazia Form
@juliaskayanda3578
15 күн бұрын
Boss muda wa kazi pale ofisini kwako mwenge saa ngapi mpaka saa ngapi..?
@MashakaGabriel-n2r
14 күн бұрын
Hellow Habar Mkuu na Sisi Tusiojua Lugha Hatustaili Kujaza Form Ya Kuomba Makazi America?
@issahassan8515
15 күн бұрын
Shukran kaka
@oliviaseth4652
15 күн бұрын
EBM SCOLARS OFICE
@ahmedalfan8075
14 күн бұрын
Kaka EBM mimi nilikua nataka kufaam nikishinda green card nipo nipo Oman. nilimskia bro juma Rashid yule alieshnda aliekua dubai kua kuna barua ya police. Sasa nahitaji kujua iyo barua inaitwaje? Naamin mwakani nitashinda mungu ni mwema 🤝
@ReginaMussa
14 күн бұрын
Ahmed,wewe kama una Imani ya kushinda green card,ukitaka kuondoka au kuacha kazi Oman,omba hiyo barua kabla hujaondoka ili kuepusha gharama za kwenda na kurudi Tz
@ahmedalfan8075
14 күн бұрын
@@ReginaMussa yes sasa nilitaka kufaam pale police unawaambia ni barua ya nn
@ReginaMussa
14 күн бұрын
@@ahmedalfan8075 unawaambia clearance form inayokutambulisha wewe kama huna kosa la jinai, lakini hii nafikiri ni lazima uwe umemalizana na campuni unayofanya kazi,coz ni lazima uanze na barua ya kampuni then police
@ReginaMussa
14 күн бұрын
Kampuni ndio linajukumu la kukutambulisha wewe ili upate barua hiyo
@ahmedalfan8075
14 күн бұрын
@@ReginaMussa kwa kampuni za gulf ni ngumu sana. Je na kama sipo kwa kampuni Yaani binafs
@phelixsimiyu50
15 күн бұрын
Good job ❤😂
@MtumwaAbdalla-s2k
15 күн бұрын
Kaka Salam alaikum I'm from Zanzibar, ..so having applied with DS260 in August when should I expect my interview ???
@magrethmarco3793
15 күн бұрын
Je kaka kama ujui English pale airport ya nchi unayoenda je utatakiwa utumia lugha gani
@mohammedrashid2906
15 күн бұрын
AHSANTE
@flomenakamugisha
15 күн бұрын
Nauliza kuhususu visa siunajua wengine english ni shida je wanatumia kiswahili?
@JohnMsenga-t7o
15 күн бұрын
Asant kaka kwa ushauli wako ubalikiwe
@FistonBalagizi
15 күн бұрын
Kaka salama niko na 6000$ nisaidiye nije u america ao canda
@ManirambonaClaudine-g8k
15 күн бұрын
Njiya ni mingi
@KulwaManase-j8w
15 күн бұрын
Tunaweza j kupata mawasiliano yako kaka ya what's up
@ReginaMussa
14 күн бұрын
@@KulwaManase-j8w WhatsApp number ya EBM angalia kwa video zake za nyuma,🤔🤔
@MashakaGabriel-n2r
14 күн бұрын
Na Sisi Wa Dodoma Unatusaidiaje Kaka Kutujazia Form
@olivier6600
15 күн бұрын
Ushauri mzuli
@MashakaGabriel-n2r
14 күн бұрын
Na Sisi Wa Dodoma Unatusaidiaje Kaka Kutujazia Form
@MashakaGabriel-n2r
14 күн бұрын
Na Sisi Wa Dodoma Unatusaidiaje Kaka Kutujazia Form
@MashakaGabriel-n2r
14 күн бұрын
Na Sisi Wa Dodoma Unatusaidiaje Kaka Kutujazia Form
Пікірлер: 51