Wafuasi wa jehova wanyonyi waligonga vichwa vya habari baada ya ripoti kusambaa kwamba waliyekuwa wanamuita mungu wao yaani huyo jehova wanyonyi amefariki,na hata chifu wa eneo hilo akakiri kutoa cheti cha mazishi.
lakini licha ya wafuasi hao kudai kwamba yuko hai na puuza habari hizo hizo kama porojo, wameashindwa kueleza yuko wapi. Sasa basi huku majibu yakisuburiwa kuhusu alipo jehova wanyinyo mwanamke mmoja kwa jina elizabeth akata amejitokeza na kusema kwamba jehovah wanyonyi amemtuma awe mungu wao. Swali ni je, wafuasi wa jehevo wanyonyi wanalichukulia vipi jambo hili ?.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
Негізгі бет Elizabeth Akata achukua usukani wa Jehova Wanyonyi
Пікірлер: 106