Mashallah ni vzr kujifunza kupika maana wasanii wengi hawajui kupika sababu wataaribu mikono Yao au kucha ila ww Lulu nakupa hongera mke Bora wama jizo
@lulumally9134
4 жыл бұрын
Just a suggestion. Maybe do a voice over to explain in more details what you are doing. Xx
@prettythings9548
4 жыл бұрын
Pigaaaa kelele kwa andaz akeeee😋😋na hii Corona majiko yatatukoma😋😂😂
@kibabysaid6692
4 жыл бұрын
Hahahahaha@pretty yatatukoma kidogo.
@husnasaidihasani7172
4 жыл бұрын
Kweli kwa andazi akee 😁😁😁
@georgetavalentine4686
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂😂🙌
@prettythings9548
4 жыл бұрын
😂😂
@heavenlight5084
4 жыл бұрын
Lulu mdogo wangu, hongera sana ,ila nikushauri kitu,ongea , mfano hapa nimeweka unga kilo 10,sukari kijiko moja,mafuta nusu kikombe,chumvi n.k kwa kuongea,unajua unapendwa sana,lea hiyo kila mtu anatamani kupika kama lulu,utawainua wapishi wengi,hats tusiojua kupika kama mie hapa, sawa mpenzi.
@agnesmashauli2872
2 жыл бұрын
Kweli kbs
@anitanahimana2115
4 жыл бұрын
Mashaa Allah uko..vizur dad lulu
@mariammussa2540
4 жыл бұрын
Niajili mm niwe muonjaji wako😋😋😋😋
@zaxonthebest2003
4 жыл бұрын
Uko vzr
@meedaafarai9677
4 жыл бұрын
Mashaallah nice👍✌👌😍
@umojaafrika2447
4 жыл бұрын
Asante sana !
@anisakabura3874
4 жыл бұрын
Love from all the way in UK, mapishi mazuri, you just made me go in the kitchen to make some 👌 keep up with the amazing work 🥰
@esperancesudi2842
3 жыл бұрын
To be continued
@norahmgoodluck3554
4 жыл бұрын
Uko vizuri. Shida majina ya viungo mengi yananipita. Hata kwenye maini.!!!! Tafadhali shughulikia.
@luciafelex8971
4 жыл бұрын
Ongeraa sanaaaaaaa lulu
@CarosKitchen
4 жыл бұрын
Nice
@francosordella7491
4 жыл бұрын
Asante! Sasa najua una vipaji vya pekee... Nimeshiba!
@joycewakio7248
3 жыл бұрын
hea elizabeth am joyce from kenya , lulu i real like you so much you have real inspear me so much i wish one day i will meet you or i will make a film with you i also like acting so much i lke you lulu you are the best
@maryamjuma9816
4 жыл бұрын
😍😍 maa shaa allah
@jeannettemukeshimana577
4 жыл бұрын
Wahoo vizuli sana
@dicksonmandeka6461
4 жыл бұрын
We vipi movie hatuoni
@levinamwaila7847
4 жыл бұрын
Asantaaa mama G lots of love from dubai🥰
@naomijonathan4384
3 жыл бұрын
Explain my dear
@hibaalfarsi7756
4 жыл бұрын
uko powa my dear
@lilianmyenda6331
4 жыл бұрын
I think she is a brand ambassador
@shayonapatel1408
4 жыл бұрын
Pls let us know the ingredients that you are mixing and the amounts!
@shakilahpurity7314
4 жыл бұрын
Please eka Ingredients clear nataka kujua pia kupika yummy yummy
@miphy2543
4 жыл бұрын
wanted to comment the same .hasemi vipimo vyake
@babyhamisi5331
4 жыл бұрын
Lulu anajuwa sheria za jikoni hongera Sana
@faustaemily4111
4 жыл бұрын
Asantee sanaaa nimejifunza
@maryamhadid7753
4 жыл бұрын
hongera dada lulu lakn unga huja chekecha sio poua
@neveragainneveragain1880
4 жыл бұрын
Kaluluuuuu💖💖💖💖 Unaweza dada💖💖💖Songa mbele
@hadijasalimu1808
4 жыл бұрын
Mashaallaah lulu hodari
@annahlema3805
4 жыл бұрын
Nakupenda
@africa7479
4 жыл бұрын
Ya kawaida sana
@thierryt7689
4 жыл бұрын
Umetisha LuLu👍
@kelvinpeter3372
4 жыл бұрын
Dada ni motooo huyu🔥🔥🔥
@modestambwambo3443
4 жыл бұрын
Unga boraaa kabisa,, Asante kwa kututobolea Siri hii ya unga ,,, Ila mdogo angu tupage vipimo na ingredients ziwe wazi,, Kuna watu wanataka kuiga na unavopika eeeeh❤️❤️
@ilovejesus9303
4 жыл бұрын
Everything is good kasoro kutokuwa na vipimo. Wapo wanaotaka vipimo ili nao wajifunze Lulu, hatutaki kuangalia tu kama sinema but twataka kupika pia. Sidhani km ni shida hata ukiviweka hapo chini kwa description box
@ummydaudi4940
4 жыл бұрын
Hizo habar za vipimo waTZ weng hatuna sie tunaweka mpk spirits of our ancestors zituambue that's enough my child
@sarahhamadi5704
4 жыл бұрын
@@ummydaudi4940 😂😂😂😂
@estherwilliam5125
4 жыл бұрын
Kweliii kabisa macho yetu ndo kipimo
@sophiajackson5001
4 жыл бұрын
I love Jesus huyu anatanagaza unga wa Azania ndiomaana hana vipimo hayupo serious ni biashara hiyo
@souvenirweber7169
4 жыл бұрын
@@ummydaudi4940 😂😂😂😂
@ashaali7154
4 жыл бұрын
Moto mkali sana pia hakuna maelezo.
@zujjhmrombo7861
4 жыл бұрын
Yaani unajitahidi lakini hujajua kupika maandazi karibu zanzibar
@vinci93
3 жыл бұрын
please explain what you doing
@sadakhamis6684
4 жыл бұрын
Good
@quindi6561
4 жыл бұрын
If only you can name the ingredients sis, it will be so grateful. Thanks for the teaching
@judithmremi97
4 жыл бұрын
Nimekupend lulu
@joycekato6784
4 жыл бұрын
Naona comments za watu kama zote aweke vipimo na aongee, n ngumu kufanya hivyo kashindwa kuweka vipimo tu kwenye description box itakuwa kuongea, Yuko kibiashara zaid kutangaza Unga wa Azania hayo mengine tujitafutie wenyewe dears.
@Odama-dn7xy
2 жыл бұрын
Anaepik sio lulu
@mutwalesylvie7443
4 жыл бұрын
Nice sana lulu
@aligniyokindi9083
4 жыл бұрын
Congratulations we like delicious dish but you forget to name all the items you are using in your food
@jasminali5921
4 жыл бұрын
Waooow
@ndojes711
4 жыл бұрын
I like it....! Kp it up
@OsmanAli-cu5gz
4 жыл бұрын
Lulu we need explanation please there somebody somewhere who doesn't know whats mandazi and he/she would to learn from you
@marrymaganga8585
4 жыл бұрын
Upo vizuri Ila tunaomba uwe unajitahidi kutoa maelezo zaidi kwa kila hatua ya unachokifanya
@zulfahhussein505
4 жыл бұрын
Kuwa unazungumza unacho fanya sio miziki
@shakilakhamis2109
4 жыл бұрын
waooooo my lov natamani nikija tz nijekupk biriyani
@mwanaherykahimba1789
4 жыл бұрын
Unajua kupika sana lulu wangu
@fatumalove4119
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@pammy2216
4 жыл бұрын
Wow congrats 😘
@dwiny7841
4 жыл бұрын
Una foka sanaa @bossholland🇹🇿🇳🇱👌
@Tiffany340
4 жыл бұрын
Napenda umefunga nywele kilemba,ujabandika kucha,sio kama vipindi vingine vya upishi MTU kavaa wigi mikucha kabandika na rangi juu, uchafu mtupu. Usafi ni muhimu hasa kwenye mapishi
@liducakes2803
4 жыл бұрын
Yummy
@shrefa123moosa7
4 жыл бұрын
Ma shaa allah Nice momy lulu illah naomba kuuliza hapo umetia mtafuta ya moto au ya baridi?
@soniafavoured9464
4 жыл бұрын
Yummy but pls explain it
@allyferej8654
4 жыл бұрын
ila vizuri
@myunaniniahmad6463
4 жыл бұрын
Wabongo kukosoa kawaida yao. Ickupe shida, kama mr kapenda poa.
@mathildemwangaza109
4 жыл бұрын
Muongee jamani nini na nini muna mix ndani ya unga wa ngano. Pliz pliz
@missaisha938
4 жыл бұрын
Uwe unatuonyesha recipe yote dada pls ili nasisi tujaribu kupika nyumbani love u am enjoying this show💓💓💓
@amriyaaziz2199
4 жыл бұрын
Kwa kuongezea yanakuwa matam zaidi ukikandia nazi ama maziwa au vyote umix.... Pia ukitia kwny mafuta wkt wa kuchoma mandazi hakikisha mafuta sio moto sana kuepuka kufanya vipele pele na kuwa soft, pia amira iroweke na maji kdg dakika kumi ndio umix na unga inaondoa vipele pele na andazi kuwa soft
@rahmaabdillahi2795
4 жыл бұрын
umeunguza maandazi
@yusrakimaro7893
4 жыл бұрын
Mbona hamuonyeshi vipimo wala viungo mnavyovi add stap by stap
@tuyishimeplacide6374
4 жыл бұрын
Your explanations are not enough mama
@zenamohamed9934
4 жыл бұрын
Ningekushauri tu ungetumia tui la nazi badala ya maji.. hayo maandazi atayakikaa kutwa bado yangekua softy
@verynicemmary6251
4 жыл бұрын
Wakati unaweka hizo recipes weka maandishi tujue ni kitu gani umeweka
@pamelaakinyi2652
4 жыл бұрын
Hizo viungo vyote azina jina?
@ngendakumanawilly2159
4 жыл бұрын
Lulu bora to menshion ingredient unatumia video nzuri sana
Yummy mashallah, samahani km nitakukosea ungetia nazi that's will be great
@bebycandkim1631
4 жыл бұрын
warda Yusuf sio lzm kam m naz sipnd
@victoriasifuni8011
4 жыл бұрын
Hujanawa mikono kabla
@wairimuflorence5861
4 жыл бұрын
Victoria Sifuni naive mind🤔
@malyhmohammed478
4 жыл бұрын
Halaf hajapika yeye hata hajafunga nywele pia kakosea sana
@childofgod4412
4 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar anaelezea vizuri sana na vipomo sio kuiga ila ni vizuri ukaangalia anafanyajje.all in all your doing a good job👍
@thamiyuucute7098
4 жыл бұрын
Sasa tutizame tuueee..ungesemIli tufaham
@auntienonii
4 жыл бұрын
Hujaeleza chochote
@fatmarashim6353
4 жыл бұрын
Mashaallah mkaza majay😍😋👌
@brianmushi2246
4 жыл бұрын
Next time bake the cake please
@mzz.breezy8400
4 жыл бұрын
Aisee baby mama eeh kipindi kizuri sema these episodes are hella short. We need youbto talk and engage with us throughout the while process sio tu kuweka camera at the top. Love you tho!
@happygw6930
4 жыл бұрын
Ukianz show jifunza kwa wenzio walioweza sasa unachanganya vitu bila maelezo yakutosha na vipimo kuelezea kwa ufasaa na unga unaotumia ni ngano gani ku self raising na plan flour sasa unaona uweke tuone bila kujifunza hebu angalia wenzio ujifunze
@khaithamrubea5109
4 жыл бұрын
Lulu ninaushauri juu ya upishi wako unatakiwa kila kitendo unachokifanya kwenye kupika uwe unasema ili mtu ajue km hapa unaeka sukar au unakanda unga wako kwa mda gani itakua ni vizur zaid
@awinojuju8522
4 жыл бұрын
Shida huongei napia u dont comment anything we post..... nor like lol Anyway nice mapishi
@rachealvedastus7509
4 жыл бұрын
Tatzo hausemagi viungo vyote dada lulu
@magangashabani4985
4 жыл бұрын
Ivyo vitu unavyovichanganya baazi hatuvielewi ivyo ni vzr ukavitaja kwa maneno au maandishi
Hapa mm naona matangazo ya unga wa azania tu na sio mapishi
@carinanthambi4235
4 жыл бұрын
What ingredients are you using?? Please try to explain?
@letscookwithc.j2716
4 жыл бұрын
Uko sawa Lulu my like from Kenya 🥰🥰🥰
@siriyangu4724
4 жыл бұрын
Mashaallah lulu mi napenda kupika kwaiyo ushauri wngu fata yale watu wanayo kwambia na unayo yaona yana usawa kama kuweka vpimo na kwa mda ngani unachoma pia uwe unajibu maswali ukiulizwa apo utafaidika ddangu kwa niamba ya wakenya tunakupenda
@grancebeuty2443
4 жыл бұрын
Unatakiwa uweke vipimo na maelezo kwamba ichi ni nini siyo kimya kimya ili na sisi tupike
@hamidaabdully8396
4 жыл бұрын
Asnte ila jitahid unapo pika Weka makadilio km vile Unga Gras 2 khamira kijiko kimoja ili tujuwe zaidi kwa maana apo umechanganya lkn atujui Unga Sukari umepima vp ni ushauri tuu mimi na fatilia sn mapishi yako
@swaiseif2989
4 жыл бұрын
Mandazi mabaya shoga ata hayavutii lol😂😂😂 usafi mashallah ila hilo andaz apana 😂😂😂🙌
@mamuabbas3281
4 жыл бұрын
Wachaa wewe 😂
@saumusudi9720
4 жыл бұрын
😂😂😂 tamu la nazi bana
@patriciacleopatrajr401
4 жыл бұрын
Mamamamamaaaa yaan umepika maputo hayana kitu kwa ndani khaaa🤣🤣🤣🤣
@marianajohn360
4 жыл бұрын
DAAAAAH wabongo nyie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kazamoyo7631
4 жыл бұрын
Sikuizi kuna mashine maalumu zakuchanganyia ngano acheni kutulisha viganja vyenu
Пікірлер: 223