Karibuni kutazama wimbo huu uitwao "Enyi watu wote pigeni makofi" utunzi wake MWl. F.E.Nyanza uliobeba ujumbe utumikao kama mualiko wa kumshangilia Bwana katika adhimisho la Dominika ya 13.
"Enyi watu wote pigeni makofi, mpigieni Mungu kelele kwa sauti ya shangwe;
Kwa kuwa Bwana aliye juu mwenye kuogofya ndiye mfalme mkuu juu ya dunia yote"
Usiache #kusubscribe, #kushare kiungo na #kulike
Негізгі бет ENYI WATU WOTE PIGENI MAKOFI II Na; F.E.NYANZA
Пікірлер: 76