Halleluyah ni Lugha au neno la kimbingu lenye kutamkwa na kutambulikana na mataifa yote Ulimwenguni,
Halleluyah ni neno la kimbingu lililojaa sifa za MUNGU JEHOVA
Hakuna kabila wala Taifa, wala dini, lenye kumiliki neno Halleluyah kwa Lugha yao, MUNGUJEHOVA anthibitisha ukuu wake kwa mataifa yote kuwapa usemi mmoja katika ROHO MTAKATIFU
Halleluyah ni Wimbo wangu wa milele
#halleluyah
#estermasoud
#injiliyakristo
usisahau~subscribe, like, share
Негізгі бет Ester_Masoud_ft_Jefta_Makoti_Halleluyah_OfficialAudio
Пікірлер: 19