EUJC GOSPEL SINGERS TANZANIA: ni kundi la uimbaji litokalo katika kanisa la EUJC almaharufu kama kanisa la neno. Kwaya hiyo ya inapatikana katika inchi ya Tanzania, mkoa wa KIGOMA wilaya ya KASULU tarafani MAKERE, NYARUGUSU CAMP. Nia ya wanakwaya hao nikumtumikia Mungu kupitia uimbaji, na kama unaweza ukabarikiwa nao na uenda uanaweza kuwa na chochote cha ku changia kama suport kwa ajili ya nyimbo zingine zijazo basi usikose kuwa saka kwenye namba ya simu:
TLF: +255 766 306 553
+255 789 527 179
E-mail: Byesse17@gmail.com
Негізгі бет EUJC GOSPEL SINGERS TANZANIA: NABOTI
Пікірлер: 20