mungu ni mwema sana kunitoa katika ukrist ukrist nijanja janja tuu
@fahadjuma5150
5 жыл бұрын
Mashallah Allah awalipe kheri Wahadhiri wetu wote Aamin
@samanthaali873
6 жыл бұрын
Mashaa Allah umetisha mno Dr Titto mungu akufishe ukiwa Muislam in shaa Allah
@mstafahassan3989
6 жыл бұрын
nikweli hayo unayo sema dr juma Tito hayo yapo tujivunie kuwa waislam jaman semen ameen
@munirayusra91
8 жыл бұрын
Shukran sanaa mungu awabariki napenda sana kuskiza Mawaidha yenu.Awajalie pepoo ya ngazi ya juu...
@nkinyavubaluahapochacha1063
8 жыл бұрын
Akasha dawah nauliza vipi nitapata ayo mafuta au nitawapata kivipi niko na mitihani lkn inshallah nitakapo waona hope mutanisaidia
@hassanabdullah2899
6 жыл бұрын
mola akuhifadhi
@mrsdully1613
7 жыл бұрын
hahaha ety wanja w utajiju ndonasikia leo subhannAllah mungu awabariki wahadhiri wote shukran
@yesusimungu9084
8 жыл бұрын
Shuq'ran Masheikh Wangu Nawatakia kila lakheiri
@nkinyavubaluahapochacha1063
8 жыл бұрын
a.alikumu pia mm nauliza naeza yapata vipi hayo mafuta ?
@yesusimungu9084
8 жыл бұрын
Ili ufanye nini Utapeli au
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
7 жыл бұрын
Ma shaa Allah Dr Juma Tito umenimaliza ati ulkuwa ukimsamehe mtu dhambi na kumpea dhambi, hahaha na hapo pa kutoa mashetwan kwa jina la chapati maharagwe hahaha haki nmeipenda sana hii
@safiauwimana2355
6 жыл бұрын
Dr juma tito burundi tunaitaji ayomafuta mbiyokwaharaka tunashidanayo wacawi wanatutesa
@ريهامالسريري-ل1ص
7 жыл бұрын
astaghfirullah laaadhm kwan wanalishws nn haw wakristo maana mambo hadharan cku hz lkn hawashtuk loh!
@salehsuleiman8519
3 жыл бұрын
Uislam raha sana
@davidgidion2262
7 жыл бұрын
Hakika hata shetani anao wafuasi pole ndugu, Ulichokifanya hakuna tofauti na kuruka majivu na kukanyaga moto
@jumahassan7830
6 жыл бұрын
David Gidion wewe ndiye atangia motoni
@stacymaimuna3260
8 жыл бұрын
Asalam aleikhum warahmatulah wabarakatuh.shukrani sana kwa mafundisho .nauliza naeza pata vipi hayo mafuta?,
@AKASHA.P
8 жыл бұрын
UKO WAPI?
@yesusimungu9084
8 жыл бұрын
Ili utapeli watu au
@yesusimungu9084
8 жыл бұрын
ndjoo kwangu Utapata Lakini sasa Niko Marekani
@hongoamnyanyuda
Жыл бұрын
Allah akitaka huwa
@jidalddl8787
8 жыл бұрын
uwislamu Boraaaa😃🌸🌌
@khadijabaya5440
6 жыл бұрын
Mm nayataka hayo mafuta nitapata wapi
@derrickyusufuhassan
7 жыл бұрын
Asalaam aleikhum, Niko Denmark , ayo mafuta nitayapata vipi? nnaomba muwe mnatowa number za simu.
@AKASHA.P
7 жыл бұрын
+254 721310082
@sumyahkalama
7 жыл бұрын
AKASHA DAAWAH leo nitakutafuta insha Allah
@masseanadir2904
8 жыл бұрын
hivi ndivyo kina john wanavopgwa pesa hahaha
@myself4128
6 жыл бұрын
Ukristo hauruhusu popote katika biblia nabii ama mtumishi wa mungu yeyote kusamehe dhambi isipokuwa Kama mtu amekukosea unasamehe ili nawe upate rehema kwa Mungu na hii ni agizo kwa waumini wote sio kufutia watu madhambi hilo andiko halipo na utakuwa mmojawapo wale wasanii wanaohibiri injili kwa ajili ya matumbo!!!
@myself4128
6 жыл бұрын
Umepotea sana! Eti neema ya kuwa muislamu uliongopewa na nani kuna neema na wokuvu katika uislamu???? Dr JuMa sijui michael umeingiwa na pepo sio bure! Eti mrume na nanbii😂😂😂😂😂😂!! Jamani hizi njaa zitaua watu
@katundakiliza5894
6 жыл бұрын
Mmh ni shida
@hassanabdullah2899
6 жыл бұрын
na kila balaa
@saidirashid9118
6 жыл бұрын
Asalamu alikum mashekeh wangu but mimi nataka ayo mafuta wallahi tena
@hassanabdullah2899
6 жыл бұрын
sheikh nayataka hayo Mafuta
@atkamushi
8 жыл бұрын
mama angu anasumbuliwa sana vipi ntapata tiba ya Ruqya?
@katundakiliza5894
6 жыл бұрын
Jaman hayo mafuta tutayapataje
@remmylukongo2330
7 жыл бұрын
it's a disgrace to this former ex pastor,claiming that he used to forgive sins,one thing he didn't understand the bible
@hanadialabed8635
7 жыл бұрын
remmy lukongo na hivyo divyo mnafanyiwa na hao mapastor wenu hko kanisani
@remmylukongo2330
7 жыл бұрын
I totally agree,we have some of false pastors they do that because of ingorance of the people,but there is no justification inside the bible that support the behaviour of those pastors,so the guy saying he left Christianity because of the behaviours,then am sorry he didn't understand the bible
@truthseeker8025
7 жыл бұрын
Remy lukongo:read the bible carefully,we Muslims don't know the word Bible,or where the word came from,we believe Jesus came with Gospel,but people started corrupting it,till now,we believe the bible contains the word of God,words of prophet Jesus,and words that were added by people later,n that's y the bible has a lot of contradictions,I can give u more than 10 verses contradicting each other,,as for the Quran,God Himself said,ill guard it from corruption,and I'll store it in the hearts of people,that's y u see millions of people have memorize the entire Quran,n since it was revealed,not even a single letter have been changed,,,,the Quran itself give u a challenge,those who say this Book is not From God,let them bring even one contradiction if they are saying the truth,or let them bring a verse like unto it,,for 1400yrs,no single contradiction has been found,,,open ua eyes
@hildababyabdullah5627
6 жыл бұрын
Jee ayo mafuta yanatib kwa mwanamme aliepooza uume yani aliekua hana nguvu zakiume ata kidg yanatib?
@prettyakoth4306
6 жыл бұрын
Ndio huyo ameshikwa sasa kwa uongo wake
@reginanjuguna7368
6 жыл бұрын
Sasa ww unasema nn
@jidalddl8787
8 жыл бұрын
uwislamuuu eee?
@bernardmwenda5186
6 жыл бұрын
Ndugu unayejiita kuwa ulikuwa pastor, mbona unachanganya mada? Ulikuwa padre au? Ulikuwa mlokole au? ulikuwa Katoliki? Mbona inaonekana ni janja tu ya kupata wasiojua kitu? Kutokana na maelezo yako japo sijasikia mpaka mwisho, hukuwa pastor wa kilokole kabisa, labda ulikuwa padre. Kama ni padre sawa, hao nao wanahitaji wokovu kwa sababu mimi nami nilikuwa katoliki hatimaye niliokoka. hapo ndugu zangu mnajidanganya wenyewe, Wakristo wapo wa aina nyingi sana mpaka unapata ukristo wa kweli. Mtu anaweza akawa katoliki akawa bado siyo Mkristo, mtu anaweza kuwa Muanglikana akawa bado siyo Mkristo, Mtu anaweza akawa Myahova akawa bado siyo Mkristo, sijui wewe ulikuwa dini gani, maana hizi zote ni dini, siyo Ukristo. Ukristo ni kutubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha kwa Mungu wako baada ya kuongozwa na kiongozi, siyo kwenda kuungama kwa binadamu mwingine kama wanavyofanya katoliki; hapa napasua kotekote. Unatakiwa wewe mwenyewe ujitambue kuwa ni mwenye dhambi, na uziungame dhambi hizo wewe mwenyewe kwa kumaanisha kuziacha kwa msaada wa Yesu Kristo baada ya kumwamini. (Mithali 28:13 Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.) Kuungama ni kuungama wewe mwenyewe siyo kwa mtu, usitudanganye pastor, kama ulikuwa katoliki unatakiwa kuokoka, umkiri Yesu kuwa ni Bwana.Warumi 10:9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Usipomwamini Yesu hutamwona Mungu kabisa, [Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi. ] Yesu anasema yeye ni njia wewe unakwenda wapi huko?
@ritamalya7772
6 жыл бұрын
Bernard Mwenda wewe boya kweli unahukumu ww kama nani, ww na huyo pastor anayejiita alikuwa pastor hamna tofauti, hapakuwa na haja ya ww kuanza kutaja madhehebu ya watu hapo, ungemkosoa kivyako. Na sio kutaja madhehebu, acha use
@brochris182
6 жыл бұрын
we Malaya badala yakutetea wakrstu wenzako ndo unawatukana et mapadre waokoke wakrstu tshkne kwa pamoja co tutupiane wenyew Ww Bernard vipi
@brochris182
6 жыл бұрын
Bernard chiz saana ww sawa na ili Tito ...dini co biashara mungu nizaidi ya uikrsto na uisilam mungu ayupo vo.... Imani bora kuliko Dini mbinguni hatutaingia kama waislam kama wakrstu tutaingia dunian ulikuwa unafny nn... dini in bure kama huishi Yale yampendezayo mungu .... co vzr kasema mapadre... cjui wachungaji cjui nn apana dini co vita.... afu wanaogombna dini nimaranyingi masikini....au wale ambao hawajasoma
@jumamohamed9648
6 жыл бұрын
Wewe nenda kasome mwenyewe huyo ameshajua mengi yanayo. fichwa katika ukiristo
Пікірлер