TEAM MISA KUJENI HAPA.HAMISA UMETULETEA SHEM VERY H.B❤❤❤❤ ALLAH AWADUMISHE MFIKE KWENYE NDOA.THAT'S A GENTLEMAN.HONGERA !MY BEST FAV NEW COUPLE IN TOWN@misaaakeeeee👇like down
@jacksonjudicate9388
Жыл бұрын
Millard ni kama ndoano, ukikaa vibaya Anakuvuta mpaka kwenye ukwel.. BIG UP TZA
@millardayoTZA
Жыл бұрын
Asante sana Jackson
@Mimy_keys
Жыл бұрын
Daah! Sauti inakata kata jmn 😢 Aisee NAAM 🎉🤸 Wanapendezana Haki Nimependa 😎👌 Inshaa'Allah Kheir 🙌
@joanesasalavaleriano9980
Жыл бұрын
Millard uyu jamaa ni mwamba sana unyama sana Ayo inabamba sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏 🙏🙏
@millardayoTZA
Жыл бұрын
Asante sana Valeriano
@hebybiba6442
Жыл бұрын
Binafsi yangu kutoka moyoni nafurahia huu uhusiano wa aliy kamwe na hamissa
@jacklineikoki6653
Жыл бұрын
Nawapenda pia MUNGU awe pamoja nao
@FredMaulid
2 ай бұрын
Yah wanapendeza kiukweli wakiwa pamoja ila naona kama hawatadumu hamisa atamuacha Ally kamwe na kuhamia kwa azizi kii au wengineo maana sijui wanawake huwa wanahitaji Nini unaweza ukawa na pesa na Bado ukaachwa, na ukampa time , ukawa mzuri wa sura lakini Bado ukaachwa na unaweza ukawa mwaminifu sana kama kaka wa brazili na Bado ukaachwa kiufupi tuishi na Hawa viumbe kwa akili na siyo hisia
@Queen-be1uf
Жыл бұрын
Very handsome man na ana attractive smile Alikamwe
@natamihambo8077
Жыл бұрын
Sehemu zingine sauti sisikiiiii😢
@jacklineikoki6653
Жыл бұрын
Yan Leo ally kamwe amekua mdogo kanywea dah kwel power of love inafanya kazi., Nawaombea MUNGU mfike mbali katika mahusiano yenu ikawe kheri
@esperancenathali
Жыл бұрын
😂😂😂😂hii media haijawai kunihangusha hata siku zoteeeee😂😂😂😂😂love you guyz you are my favorite advertisers 😂😂😂😂
@shazceo6853
Жыл бұрын
If it iz true for my self I'm happy more than relationship with Kamwe and mobbeto #I_LIKE_THIS ❤❤❤
@claudiajames2003
Жыл бұрын
They make a nice couple! Yani ikitokea ni kweli Yani ntafurahiiii
@evertheobald1811
Жыл бұрын
Nimecheka jamani hadi nimetoa machozi hakika, Ally Kamwe!
@Faith_joseph
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Siku mkiwaleta missa na Ally sipat picha itakuwaje🤣
@binamubinamu1151
Жыл бұрын
Broo ahsante sna Mr Ali kamwee hongera Kwa unavojibu
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
ally mbona kama pressure ipo juu sana?
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
waandishi muko vizuri ktk kuuliza maswali
@manaalahmed3541
Жыл бұрын
Vido hakuamini alivyo ambiwa ni roho 😂😂😂😂 but he made the interview fun to watch
@chrissg4026
Жыл бұрын
Ali Kamwe kaingie choo cha kike! Utachunwa hadi ubakie ngozi kudadeki nakuonea huruma mtoto wa mkulima😂
@nassiromar3957
Жыл бұрын
Ali kamwe broo mm yanga damu ila huyu hamisa km unadate naye bs mmm mana huyu level za juu sana kwako😢
@margaretnyamwilahila292
Жыл бұрын
Go Hamisa, the guy is cute.
@janeschurmanns6311
Жыл бұрын
Nawaombea sana wawe na mahusiano kweli na wafunge ndoa
@Hasnspop
Жыл бұрын
Ally kamwe mimi simba damu ila kama unamtomba hamisa mbeto umetisha sana mwenyewe namuelewasana huyu demu aisee 8:34
@sniper93999
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@isaachayes9783
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mdta8161
Жыл бұрын
😅😅😅😅
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
Hahaha utakuja kuwa mzee wa hovyo sana
@Hasnspop
Жыл бұрын
@@dorisfabian4776 😂😂 Doris we acha niwe zee la ovyo mtoto wa mwenzako hamisa ananiumizaga. Roho sana aisee
@bettybregy7361
Жыл бұрын
Mashallah Mwandamizi nimependa interview Na anavyojibu Hadi raha.Mungu abariki iwe kweli ndoa iwepo In Shaa Allah
@carohkilonzo4688
Жыл бұрын
Very handsome
@deboraezekiel784
Жыл бұрын
semaji
@renatuscharles2018
Жыл бұрын
Millard on fire
@aminarashidi5649
Жыл бұрын
Watangazaji wanamzuka Ila anayehojiwa Yuko kawaida
@witnessroby1223
Жыл бұрын
Hawa watu watatu umakini binafsi unaitajika😅😅😅😅
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
amisa alijuwa kuchomoka ktk maswali kama haya, ila ally ameingia mzima mzima, yani kawa ipole sana leo, kweli mapenzi hayajifichi.
@gracevicent510
Жыл бұрын
Aje meena ally
@najmasaid7057
Жыл бұрын
Hakuna ambae hajawahi kukosea hakuna ambae hatelezi ktk maisha km Allah kaandika kheir kwenu Basi nasi tunawatakia kila la kheir
@samsung-zb3xi
2 ай бұрын
Ally kamwe unayingia cakike acana namapenzi ya Mobeto uyoni kokodi hutamuweza nauyo uporewako usijikujuta badae kukakutana uripoteza mudawako uyo Mobeto yiko kwenye masilahi utajita ishishiya apo ohooooooo👁️👁️👁️👁️
@mariamjason8319
Жыл бұрын
Nawapenda Misanakamwe💚💛💚💛❤️❤️❤️❤️
@francomwacha2262
Жыл бұрын
Nampenda sana Frida Sana beautiful with intelligence
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Millard is just amazing at what he does
@millardayoTZA
Жыл бұрын
Asante sana
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
watangazaji huyu msemaji mmemlisha chakula gani mbona anajibu tu kama siyo yeye.
@jacklineikoki6653
Жыл бұрын
Power of love hatar
@evamlay8997
Жыл бұрын
Haya jamani Roho
@busnaoman9981
Жыл бұрын
Q
@kulwamizungumiti7878
Жыл бұрын
Huyu kijana ana akili Sana, Hamisa shikilia huyu mtu jamani utufurahishe fans zako na ulinde heshima Yako
@ibrahimomari2458
2 ай бұрын
Ila kamwe hakika umeingia kwenye ajal mbaya kama kweli upo na hamisa...kama ile ya kwanza ulitaka kujiua basi ya safari hii wallah watu watakuja kwenye msiba wako...labla kama una ajenda zako zingine
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Ila huyu kaka sijamzoweya hivi ila vidoo mdogo wangu umembananisha kaka ako kazidi kuwa mdogo
@bokekaone2516
Жыл бұрын
Frida mshenzi eti roho kimwili😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@peterassenga2428
Жыл бұрын
Semaji Kula mtoto huyo
@MuhammadHassan-xp6dc
Жыл бұрын
jamaa kaingia ktk mtego
@dijahmriri523
Жыл бұрын
Ila vido mzur jamani uyu kaka nampenda sana
@nassirmohamed8492
Жыл бұрын
😂😂
@dijahmriri523
Жыл бұрын
@@nassirmohamed8492 unacheka Ila simpendi kimahusiano napenda alivo msafi tu ivo
@missnaah4757
Жыл бұрын
@@dijahmriri523 ngoja aunt ezekiel akusikie😂😂😂
@dijahmriri523
Жыл бұрын
Aunt SI ana kusah jamn😂😂😂Yani I wish nikawe ata mfanyakazi wake tu wa ndani😂😂
Ali kamwe kula roho iyo yanga ni Raha na Kwa hamisa Raha
@theophilojohn7331
Жыл бұрын
VP Yule msemaji mzee wa msimbwazii yeye Hana headline zozote zinazohusiana na watoto wazuri? Au ndio kina mama bocco, na mishangazi ya kariakoo anayamiliki yeyee?🤣🤣🤣🤣
@suzancharles1639
Жыл бұрын
Upoje lkn 😂😂😂😂😂😂😂😂kwann mama bocco
@peterassenga2428
Жыл бұрын
Yule mbana Pua
@salmamlokela1987
Жыл бұрын
Mume wa mtu yule ana wake wawili
@shanishani-qv3bc
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
MUWE SILIAS HAMISA NA KAMWE WAPI NA WAPI.
@maryamtan682
Жыл бұрын
Kwani wanasagana mpk tuseme wapi na wapi,
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
@@maryamtan682 LABDA ITUMIKE ILE NJIA YA KUAMUA KUMTUNUKU TU MTU..USICHEZE NA MAISHA YA WATU SISTA.
@salmamlokela1987
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 Ally vp umelowaaa unaropoka tuu kama sio wewe😅😅
@maryamudunga1094
Жыл бұрын
Ila hawa watangazaji😂😂😂😂
@neemamollel6972
Жыл бұрын
Ali ni akili yako au uwiiiiii umekosa mwananke kabisaaa umepotea
@evertheobald1811
Жыл бұрын
Mapenzi bhana yanatishaaa, hata macho hutiwa upofu nahis
@mdta8161
Жыл бұрын
Haki siye watanzania atupendani sana
@yusufmsaa5693
Жыл бұрын
Kaka Leo umekuwa mpole kwann
@isihaqkerdehaqker1403
Жыл бұрын
Ila Ally kamwe sio mdogo angalia usoni kwake.
@maxcharles5436
Жыл бұрын
Saut mbona hamna
@fadhilsalum2143
Жыл бұрын
Semaji kalowaaa😂😂
@perpetuaselestinemazigo259
Жыл бұрын
Naomba majina ya hizo nyimbo
@paschalpeter4540
Жыл бұрын
😂😂😂nyie watu kaz hii mmeimudu
@rouhaipher7388
Жыл бұрын
Si tunajua Ni chombo ya boss wakew baada ya iriniiii kuacha nafasiii😁😁
@stellah3844
Жыл бұрын
Mko 🔥🔥🔥🔥🔥
@neemamollel6972
Жыл бұрын
Sautiii jamaniii
@patrickmsuguri
Жыл бұрын
Ali ana akili sana
@martinmadimilo8593
Жыл бұрын
Dah nmechek kwa herufi kubwaaa
@isaachayes9783
Жыл бұрын
Hamisa anataka kumbemenda huyu dogo, yale yale ya Zari na yule dogo wake
@hanifahanifa1010
Жыл бұрын
Alie taka kubemendwa ni ally
@rizikiabdalla2501
Жыл бұрын
Nyiee huyu mnasema Hamisa anambemendaaa kwani mnagamba la clinic la Ali kamwe au vp au kwakuwa mnamuona anababy fesi huyu kesha owa kesha achaaa
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Watu wamedia usipokuwa makini unajipelka tu mbona
@sumayaishengoma4543
Жыл бұрын
Vido nikambea , kachimbi he is my best hadi sasa 😂😂😂😂😂😂
@ericaasher7535
Жыл бұрын
Kwani Ally alikuwaga hajaoa....?
@khadijamwenda1851
Жыл бұрын
Kaoa mara 2 zote zimemshinda😅😅
@melanialeonard4031
Жыл бұрын
@@khadijamwenda1851 duuh
@ericaasher7535
Жыл бұрын
Hahahaha huko ndo ataweza kwelii🤣🤣🤣🤣
@user-qs7lj7kj1k
Жыл бұрын
ayo tv mbona sauti haiskiki 😢
@leonidamsungu7208
Жыл бұрын
Mnamchosha Ali wetuu
@rehemarwanda6039
Жыл бұрын
Millard mmeezingua sauti imekata mara 2 jamaniiii
@raybby9291
Жыл бұрын
Ali kashakufa kashaoza bado kufukiwa mzima mzima tu
Пікірлер: 205