Baba Mzazi wa Ofisa habari na mawasiliano wa Yanga SC Mzee Shaban Kamwe amefunguka kupitia Mpenja Tv changamoto anazo kumbana nazo baada ya kupoteza mbele ya Yanga kwa idadi ya mabao Matano kwa Moja.
Mzee Kamwe ameeleza kwamba licha ya Simba SC kupoteza mbele ya Yanga lakini changamoto nyingine ni kupoteza mbele ya mwanae Ally Kamwe akiwa kama Ofisa habari wa Yanga.
Негізгі бет EXCLUSIVE: BABA MZAZI WA ALLY KAMWE AFUNGUKA/NIME BLOCK NAMBA YAKE/ROBERTINHO KUFUKUZWA KUNA SABABU.
Пікірлер: 77