Hii ni exclusive interview iliyofanywa na Zamaradi Mketema ambae Mbali na kuwa mtangazaji pia wana mazoea binafsi na utani mwingi na BI MWENDA ambae alimualika kwenye kipindi, na hiyo ilipelekea kuwe na vitu vingi vya kuchekesha kwenye Interview hiyo kutokana na vituko vya Bi Mwenda na mahusiano Yao binafsi
Ameelezea mengi kuhusiana na Maisha yake binafsi lakini pia uelewa wake juu ya Industry ya film Tanzania pamoja na jinsi ambavyo ameshawahi kupigwa na wananchi mara nyingi kwa Dhana ya Uchawi ambayo wengi wanadhani ndivyo alivyo
Негізгі бет EXCLUSIVE:BI MWENDA Akiri kuuweza Uchawi/ Athibitisha kupigwa/Ndugu zangu/Kanumba/kwingineNitaharibu
Пікірлер: 255