Watu wa chuga huwa wapo really sana..wana appreciate sana
@Stanmaeda96
11 ай бұрын
Chuga ndo mji ambao watu wake wanaishi real life hawafeki life kama watu wa dar binafsi namkubali sana Fido✊🏾
@davidwalalason7630
Жыл бұрын
Dude has facts and he believes in himself ❤it
@waltergodwin2529
Жыл бұрын
That is real hip hop, the man is real.
@jimmymmbando7771
Жыл бұрын
Nilikuwa napita kutaka kumjua huyu jamaa, ila nimejikuta tu nimeiangalia mpaka mwisho hii interview daaah 😂😂😂
@johnjoseph3773
Жыл бұрын
Jamaa yupo peace kinyama! Ni msela flani hivi anapenda mbwa aseee! Yaani kwake yapo kama 10 hivi. Ni artist wakipekee. Binafsi nilishakuwaga na kampani nae aseee jamaa msela sanaaa💪😄😄😄
@Gwenoboy
Жыл бұрын
Huyundo king Arusha
@isheboyfather5850
Жыл бұрын
chuga wanamastory kinooma
@rynesawaya7043
Жыл бұрын
Jamaa ana fanana sana na money baggy 🔥🔥🔥🔥
@InnocentWillbald-du9en
Жыл бұрын
Yap money bag yo.
@stephanmallya2886
Жыл бұрын
For sure
@muniraahmed624
Жыл бұрын
Kafanan na moneybaggyo wambelee laaana
@sebokhamis8469
Жыл бұрын
Daah Amini hujakosea mulemule
@jforeign254
Жыл бұрын
Kabisa 😂😂😂 🍞 gang
@samidquiz6316
Жыл бұрын
Miaka kadhaa anajina had nje ya Chuga ila kuna mwana akawa anasema hamuelewi ila kumbe jamaa ni hiphop tuacheni dharau
@lucianagodson437
Жыл бұрын
Yaan mim nakupenda bure una misimamo Yako, na huna mpango wa kusaliti Chuga Yako.
@CreynaGadsbag
Жыл бұрын
I really accept my brother vato loko and I wish to meet him one day.
@mweroruwa6339
Жыл бұрын
Fidooooooooo big up sna kaka..
@suleOficialtz8451
Жыл бұрын
Fido my brother. 🔥
@uledimasai9415
Жыл бұрын
Fido vato to the world
@patriciatumain172
Жыл бұрын
Baba fidovatoooh jamaa Yuko real sanaaaah namkubali Sana rastaaah
@CleophacePius
Жыл бұрын
Yeah was good 👍👍
@allyJinny
Жыл бұрын
Baaaab kubwa Hatuna mengi👊🏾
@christopherkihiyo2964
Жыл бұрын
Kweli we ni hip hop unasema ukweli hakuna kufeli arifu
@directorjp5783
Жыл бұрын
Vile watu wana tuwaza watu wa chuga si vyo tulivyo... 😂
@nassorissa8779
11 ай бұрын
Anaweweseka kwenda Dar huku anaenda masweden mawapi mawapi kuwacheki watoto wake 😂😂
@edgasamwel5029
Жыл бұрын
Kuna moshi tuh kichwan humo i wish atoe ngoma na mmakonde 🚬
@omarmatuta7709
Жыл бұрын
Huyu km mimi tu daah nna mtoto Ethiopia nna Mtoto South nna Mtoto Swaziland 🇸🇿 ♥
@ramamrutu4914
Жыл бұрын
Hiii ni kweli
@lk-7193
Жыл бұрын
Jamaa yuko really xn aloo... 💯
@rickypascal3089
Жыл бұрын
Fido iz real Nigga.
@pajokakasasa
Жыл бұрын
Nzuri
@mdachiog5211
Жыл бұрын
Ray van boss
@WagulimbaOGonline
Жыл бұрын
Mwamba wa ololooo machalii wa mashavuni hawawez elewaa
@JulesWilondja
6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥👑👑
@RASHIDKANJU-do1nw
4 ай бұрын
Fido Arusha one sikuzote kwenu kwanza
@WagulimbaOGonline
Жыл бұрын
Jombaaa
@EsauSon
Жыл бұрын
Fido ni muda wako sasa
@lujobilz7482
Жыл бұрын
💪
@tanzmaica
Жыл бұрын
Tunawajazaa
@fatmaabdallah7709
10 ай бұрын
Mapolooo na mamong'oooo😂😂😂😂 haya maneno sijui mnayapata wapi manake ht kwenye dictionary ya kiswahili hakuna
@shukranionesphoro7744
Жыл бұрын
Kaka nimefurahi kwa interview
@willygraphics360
Жыл бұрын
Dah huyu jamaa so kwa kuwajaza wazungu vitumbo aisee 😂
@darhustler
Жыл бұрын
Great guy real nigga.... Acha tu g avae pamba za juma jux
@diclopar4687
Жыл бұрын
Jamaanasema kweli
@petermeritei5647
11 ай бұрын
Unajikubali kweli
@bensonsimon3006
Жыл бұрын
Noma niga
@adilykoko5968
Жыл бұрын
bangi ilikua mahara pake
@merisidaikaaya4888
Жыл бұрын
oya fame unayo man komaaa na game vizur tuu njia iko wazi ww ongeza speed uchanje mbuga
@ukhutfatumah1154
Жыл бұрын
Tulioishia darasa LA Tatu B sijui tuna comment wapi aise FIDOOOOOO. SHIKAMOO BABA
@JulesWilondja
6 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥👑
@eddechriss2664
Жыл бұрын
Arusha mji wa kitarii ukiondoa vivutio vya asili, pia maisha ya watu wa Arusha yani life style jamaa wako tofauti sana, cheki tu hii interview yani very unique, by the way tuendelee ku support ngoma ya Mwana
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Hahahaaa
@francisfrancis6431
Жыл бұрын
Kawaida sana
@rahimtactic1544
Жыл бұрын
maisha ya uvutaji bangi sio
@UsafiMichael-mc8kt
Жыл бұрын
@@rahimtactic1544 uvutaji bangi gani huyo mwamba anajiweza wavuta bangi na mateja na wanaolelewa na wanawake na wanakaa kwao
@Boyfromtanzania
Жыл бұрын
True story
@djamanitvonline3623
Жыл бұрын
💯🙌Vido vato chuga iyooo amna kuremba mtu kama Mbaya Ni Mbaya tuu atutaki masnichii💯
@KassimMemba
10 ай бұрын
Nimependa unavyo ongea foreign language naipenda but I don't know to speak E-language
@casablancastudioarusha775
Жыл бұрын
Fido ni Mfalme anyeishi kwenye Ufalme wake siyo wengine wanaishi nje ya Chuga halafu wanasema wao ni wafalme wa chuga
@witnessmaliki103
10 ай бұрын
😅😅😅😅bado hajumaliza nchi zote huyu jamaaa atariiiii 😅😅😅😅
@malonemalick1999
Жыл бұрын
Ni mwendo wa mimba tu😂😂😂😂
@nancyg8664
Жыл бұрын
🤣🤣
@MfaumeSeleman-h6m
9 ай бұрын
Hahahaha oya Fido vato unawajaza au sio nakubali muhuni wa chuga napenda kukuita jangili la kujitegemea 🖖
@KingSillah-gx5nv
11 ай бұрын
Eti huyu ndiye gangster WA Tanzania 😢😢💔😴. Kwetu Kenya huyu ni teja WA mtaani tu😁😁
@AgustaZaile
Ай бұрын
Unapigwa uboo
@Jacob_Jacobs112
Жыл бұрын
Fido umeongea Reality Ujiandae kufika mbali kimziki utakua li jitu li kubwaaaaa
@mkuluwaukae2221
Жыл бұрын
Heee wanajaaa tu, Hii itakua ni ile walitu slave Nasisi tunalipiza hivo yani Ntwaaaaaahhhhh
@Nancy_Daniel
Жыл бұрын
HAYA WALE WANAOSEMAGA WATANZANIA HAWAONGEAGI KINGEREZA.. HAYA SASA FIDO HUYO APO AMEAMUA KUWAONYESHA KUWA HATA TANZANIA KINGEREZA TUNAKIJUA NI VILE TU HATUPENDI SHOW OFF😊.
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Izo stori za zamani kusema watz hawaongei kiingereza ni uzee, saa Hivi vitoto tu vinaongea kiingereza
@Nancy_Daniel
Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 Sure
@fatmaabdallah7709
10 ай бұрын
Hiyo dwaaa dwaaaa utasema unafyatua matofali😂😂😂😂umejua kunichekesha
@ernestbiseko1608
Жыл бұрын
Slave anawa slave wazungu na vi dwaaa! Lishe imehamia mbele.
@Luffa.online
Жыл бұрын
Rayvanny ana moyo safi sana jaman daa
@nicebatare2737
Жыл бұрын
Chieeee ng'ombe analia kampe majani😂😂😂😂😂😂😂
@seanbublegnewton4324
Жыл бұрын
We gatchu fido uko real 🤑generation hii ndo tunataka yechu yechu 🇹🇿👽no time to waste
@MansuryJumuh
Жыл бұрын
I like it but ingoma nikali xana wanangue hindochuga
@stellamiyombe6117
Жыл бұрын
Huyu kaka kaongea ukweli adi nimejikuta nimetoa machozinimempenda bureee
@lullebolle808
Жыл бұрын
Safi sana tuwakilshe tuliosoma wote shule ya meru 95 mimi yusufu careca , mpe hy aslamu
@salumjuma6812
Жыл бұрын
Jamaa nimemsikiliza kwa makini Sana ,jamaa ni real hip-hop artist
@dennisnjiro7922
Жыл бұрын
Mshkaji umeongea kweli kwamba viewer wengi kwasababu ya chui…So video yako ina trending kwasababu ya chui ndani yake…..Chugga hiyooooo
@mudytz9069
Жыл бұрын
Sasa hiz ndo interview ambazo nazitafutaga sana oya hii imebamba mzee fido
@gracerichard8145
Жыл бұрын
Fido uko pw sana hata live huna baya na mtu respect
@leskarmeikok8956
Жыл бұрын
Hiyo ngoma imemtambulisha kimataifa
@walinaziontime7300
Жыл бұрын
Ukimuita vido Vato upige nae show.... Alafu mix na cheed or fid q aisee itakuwa umeiita DSM nzimaaa
@musaguga
Жыл бұрын
Mimi nimebebwa nawewe tafuta wako wakubeba jomba
@amanimanase8798
Жыл бұрын
😅😅nice mzeya huwa nafurahia English yako iko very unique kinooma
@johneverus-ep8nf
Жыл бұрын
😹😹😹😹 R SICTYYYYYYYY FROM NGALIMITED NGUZO BESA THERE MNYAM KAMA MIMI KILA MKOA NAACHA CHATA 💪🙏💯🌹
@godfreychuwa7271
11 ай бұрын
Awawezi post labda wapost mamrakazao noma sana
@AlexanderNimbona-lj4ln
Жыл бұрын
FiDo unacekesha😁😁😁😁👆💪💪💪👑
@ishipalemypasco2567
Жыл бұрын
Ni mwendo wa kuwajaza tu si ndio manake 😂😂😂😂😌
@johnsonlekashu7901
Жыл бұрын
Hahahahahhahahahaha sam 2 me hii life sio mchezo
@fredricksabick-hi1fl
Жыл бұрын
Appriciation kwa fido. Kuongea ukweli kuhusu vibunda
@abuuarushadawg7158
Жыл бұрын
Uyu fidoo ana jitahidi kuspread hate kinoma, he is wack
@atifurajabu3705
Жыл бұрын
too young to this hujui kitu
@tnftz1461
Жыл бұрын
Mwamba yupo real sana hajaficha wala kujproud kwa lolote mpk kasema amebebwa na hua anapewa na hela respect zote kwa #mond kwa kunyanyua watu wanaojielewa ndomana na wao wanayafanya haya #vannyboy💯✊
@dominickstephano2061
Жыл бұрын
Hata nyimbo ya mamalao ya chindo na rayvan ulishawai kuipost asee
@fadhilmwakea1259
Жыл бұрын
Nimekubali mjuba wangu aikatai
@lytwilliam7050
Жыл бұрын
ila chuga Mungu anawaona😂😂😂 mna viswahili vyenu hatari!
@Suleiman99
Жыл бұрын
Ah amejichora Yuko rafu balaa
@kimsamson6149
Жыл бұрын
My nigga chali ya kitaa salute Command toka day one tukiwa sombee
@ledasjosseph5558
Жыл бұрын
Real nigaaa
@mkuluwaukae2221
Жыл бұрын
Apoloooooo,si waiziiii Ila fidddoooooo bhana
@omarylukindo5306
Жыл бұрын
Kumbe wakina majanaba wako wengi 😁
@azizimateso4982
Жыл бұрын
Fido mnyamaaaaa pigo zake kama zangu
@erickdioniz8277
Жыл бұрын
Safi bro
@joevang4685
Жыл бұрын
watu wa arusha akili zao
@obedmakana1490
Жыл бұрын
Aingie studio na hiyo matusi tumtambue😂😂😂
@fellyfernando4516
Жыл бұрын
Bablai Tumekumanya !..imeeleweka!
@ishengomarugemarila908
Жыл бұрын
Arachuga kama ulaya kazi zako nazikubari
@THEEaglz
4 ай бұрын
Sina chakusemaaa
@bigmzazee2961
Жыл бұрын
Om boy vatoloco kaloleni ololoo 🔥🇯🇲
@antonyalmeida2362
Жыл бұрын
I am very focused with this interview really how can I take the time to continue following until the end of interview it is because they are very unique to speak the reality, this man is very nice,my location is Dusseldorf Germany big up sana Fido ✊🏽
@chugganism
Жыл бұрын
Thats ma niggah✌️💯
@alphoncewilliam4325
Жыл бұрын
Ngoma kali pambana. Fidooo
@francismunyambo-ij8cw
Жыл бұрын
Licha ya kwenda ujerumani na kwingine bado raivany ndio kakutoa...
Пікірлер: 344