Gigy me nampenda anaongeaga ukweli halafu ukimuuliza maswali ya kijinga anakujibu hivyo hivyo kijinga ...kama unamuelewa vizuri GiGy huwezi kumlaumu kwa lolote
@leticiachunga9118
5 жыл бұрын
Ana akili sana ila kutokana na maisha yaliyo mzunguka na majukumu ndio maana maisha yake yapo hivyo
@anko_luufocus7454
5 жыл бұрын
leticia chunga yes ni kweli kabisa..me namuelewaga sana h
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Kweli
@polisikisarawe3510
5 жыл бұрын
Old school
@aishaborafya6478
5 жыл бұрын
nakupenda sana gg Wang hunaga shobo wewe
@chimwanajayne2700
5 жыл бұрын
Kama unampenda gigy Cardi Gonga like hapa😍
@aikajuma6855
5 жыл бұрын
nakupenda gigy yaan wewe hudanganyi kabisa yaan maisha yako ni real hufek kabjsa
@yustamakwawa6798
5 жыл бұрын
uko vizuri mdada
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
Interview kama hii ndio Naipenda ya Gigy Money, tupo na msema kweli 😍😍😍
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
Saumu Hassan umeonaee
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
@@mwanajumaomahundumla6504 Napenda sana interview za *GigyMoney* azichoshi
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
Saumu Hassan sana yaani kwanza hata sauti yake ipo sawa sio wale wa kubana bana gygi yuko halisia kabisa hata mimi nampenda sana
@salmaaman2813
5 жыл бұрын
Nzuri
@mohamedally342
5 жыл бұрын
Dada wewe unafanyaga kazi zanyumbani kwako kweli?
@saulosarmiento8632
5 жыл бұрын
Nampenda Gigi cause anajitaidi kuwa mkweli hata kama co asilimia 100% lakini anajitaidi #i love u Gigi keep it up girl. "Mtoto mdogo kweli asahau kabisa" I like that it's totally thruth.
@zulfatothman1051
5 жыл бұрын
Nakupenda bureeeh umesemagi uwongo
@sakinaomar301
5 жыл бұрын
Gigy kumbe umazaliwa nyumbani ndio maana tunafanana akili nakupenda bure my love wangu
@dicksonmbiu2179
5 жыл бұрын
Nafikiri Millard Ayo umeniwahi mana nilitaka kukuambia show hii irudi,mn katika interviews zenye utulivu this is no 1#interview session
@danielmadenyeka4248
5 жыл бұрын
B blessed dogo Ayo. Napenda sn intev zako.
@millardayoTZA
5 жыл бұрын
asante sana Dickson
@millardayoTZA
5 жыл бұрын
Amen nawe pia Daniel, shukrani mtu wa nguvu
@lindajeremia9680
5 жыл бұрын
Mh gig mii nakukubali coz ww nimwamke unayejikubali
@rawrpromostudio8372
3 жыл бұрын
kaka kwamajina naitwa rawr naishi mara ila nilkuw natafuta namb yako ya cm kam utojali wawez nisaidy au kunitft kwa mawasiliano zaid 0628818740 rawr
@mwanaamisa8193
5 жыл бұрын
Napenda saan gigy money.. Hanaga swaga za kujishau.. Safi saaaaaan my friend gigy money
@nunuuali5316
5 жыл бұрын
I lv Giggy so much!!
@sativaclan4221
5 жыл бұрын
Siku zotee hua ndomaana sipendag kuaribu brand ya mtu bila kujua magumu aliyo yapitia kuipata hiyo brand aliyo nayo!!!... hongera sana Gift.. ww ni lulu ya sisi wa wanyakyusa!!! Munguu akujaliee
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
saTiva clan 🙏🏿
@kaobamaabel5561
5 жыл бұрын
Tupo wengi wa masoko tukuyu mm hapa mwakalindile jr.
@olivermsilu180
5 жыл бұрын
Nimekupenda bure
@magehkihwele8274
5 жыл бұрын
Nakupenda saaana gigy mihela😘😘😘
@zainabumtubwi263
5 жыл бұрын
Gigi money anamuekea mtu wepesi mtu anaipeleka interview vizuri.pole kwa shida zote maisha .unajielewa mungu atakusaidia
@elizabethmyula982
5 жыл бұрын
pole cna gigy ni changamoto za maisha ck zt ww n mkwl
@mwalysmodel8232
4 жыл бұрын
BEST INTERVIEW IN 2018.....nan bado anaiangalia hii interview mwaka 2020
@maggiezammy1192
5 жыл бұрын
Salute gig 21yrs 😘😘😍😍
@ashakigumi2263
5 жыл бұрын
Gigy bn et karatasi 😂inaitwa living certificate
@lilianjeremiah2880
5 жыл бұрын
Nampenda sana gigy kwanz anajikubali cn ilo 2
@loveness6732
5 жыл бұрын
Dah! Millard tuwekee part 2... maana huyu dogo ana madini sana. Mungu amuongoze tu 👏🏾👏🏾
@suphytz0750
5 жыл бұрын
Kumbe gigy ni bright tumia uwezo uyo ingiza pesa wasikutumie
@vicentjames5691
4 жыл бұрын
Leo ndo nagundua nmemaliza. Lasaba na gigymoney.... # Be blessed gigy, fight tukutane top ⏫
@niceladeus1697
5 жыл бұрын
gigy kumbee unajibugii kutokanaa na MTU
@maireshmamu4328
5 жыл бұрын
Nicela Deus umeonaeee? Ukiuliza kichiz na yy anakijibu kichiz
@gressasa3738
5 жыл бұрын
Nicela Deus umeon ee
@gracegracegrace1827
5 жыл бұрын
Kwenye hii interview nimejifunza kutokuwa mwepesi Wa hukumu na mtu yuko hivyo alivyo kutokana na aliyoyapitia !! Thanks Millard for this interview maana kufunguka kwa GigY hivi ni vile NA wewe hauna makuu
@5starsmoviecenter714
5 жыл бұрын
Gigy #BUSINESSLADY WACHANA NA WANAO JIITA BOSS LADY SIJUI TZ SWEETHEART SISI HAPA 254 WE CALL YOU BUSINESS LADY HUWA UNAJITUMA DADA. BIGUP AND NEVER LOOK BACK. KENYA TUNAKUTAMBUA
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Kennedy Njogu sanaaa
@5starsmoviecenter714
5 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty cool
@5starsmoviecenter714
5 жыл бұрын
@Elida Waya iron lady
@damariszuckschwert9489
5 жыл бұрын
Now I understand you gigy..
@amosbinmahona9947
5 жыл бұрын
Bora wewe umenana ukweli wengine huwa ni full kutudanganya
@marybalongo221
5 жыл бұрын
hahaha Amos nawe upo hadi hapa
@amosbinmahona9947
5 жыл бұрын
Sana tu marybalongo
@schipholathen9215
5 жыл бұрын
Lkn kwenye miaka katudanganya duuh 21
@innocentnkya5916
5 жыл бұрын
Schiphol Athen kumbuka amesema mamake Ana 41 kwaiyo inawezekana ni 21 yeye mama alimzaa akiwa na miaka 20
@zaribosslady3681
5 жыл бұрын
Amos bin mahona ni kweli kbs
@marywillium9830
4 жыл бұрын
Daaaah hongera nimemaliza na we mam
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
Millard mimi naona kama vile interview haijaisha maana gigi bado anaendelea
@millardayoTZA
5 жыл бұрын
Yes bado haijaisha, PART II tayari nimeshaiweka unaweza kuitazama
@mwanajumaomahundumla6504
5 жыл бұрын
Millard Ayo Asante sana kwa kujali🙏
@victordenis2411
5 жыл бұрын
Daaah ! Hii interview iko poa sana, kweli usimdharau usije mjua,Gigy unajibu vizuri kabisa mtu akiangalia awezi kuamini coz tulishamzoe Gigy wa mapicha picha mwenye majibu ya shit shit !! Ongera sana Gigy Pia Dat's why nakukubali millard Ayo na penda sana kazi zako coz zinanifanya nijue kipi nifanye kipi nisikifanye ili nije kuwa mtangazaji na mwandishi mzuri kama wewe ikiwezekana zaidi yako wewe Much Bless to you Brother MILLARD AYO.
@aminasubira6591
5 жыл бұрын
Jaman Nakupenda we dda Wallah ila kumbe unamiaka21😊😊😊#NeverLoseHopeBaby #KiKiNiGigy💪💪💪
@edrickniwamanya439
5 жыл бұрын
Kumbe ni mdogo sana
@nicefit_ness
5 жыл бұрын
Namkubali saaaana gigy moneyyyyyyyy
@maggyenick5310
5 жыл бұрын
Ma lovely gigy
@zalubiakambona6987
5 жыл бұрын
Kumbe mmwera mwenzangu ndio maana mjanja wamwera akuna aliezubaa big up
@barwancb5723
5 жыл бұрын
Sound quality is perfect. Interview is best. Story is good.
@emademaad5520
5 жыл бұрын
interview za gigy kua nazipenda san love gigy
@familylove5417
5 жыл бұрын
Wallah na nampendaa uyuu dada
@neemalkiswaga6126
5 жыл бұрын
Ukweli ni mzuri kwani tunajifunza vingi thanks @ Gigi money thanks @Millard Ayo kwa kazi kubwa Mungu azidi kukuongoza
@juliekavishe4768
5 жыл бұрын
namkubali sana gig mapesa
@grolykombe5218
5 жыл бұрын
Nakupenda bure gigy Kama unamkubal gigy gonga like
@worldlyricssongs6141
5 жыл бұрын
Woooooow kuojiwa na Millard 😍😍😍😘I love you gigy n Millard
@nanahtzcharlz2567
5 жыл бұрын
penda sana gigi jamani❤️
@hashboy6889
5 жыл бұрын
Nmekupenda sana upend kuongopa
@sifamugwaneza1178
5 жыл бұрын
Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend san my intaviu yako imenipa mafunz makubwa ujue yaan maisha nisafar kbs, Asante san kaka ake #millardAyo kwa story nzuri kam hiz..
@mbodzebemasika7477
5 жыл бұрын
msema kweli anaeleweka kuliko irene hajijui
@ibraton4071
5 жыл бұрын
gigy manotiiii.......hyu sasa ndio msanii wala haongopii kabsaaaa....napenda alisemaga atawaua ma X wake wooote
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Ibra Ton 😂😂ma x
@ashakigumi2263
5 жыл бұрын
Ila mm nakupenda tuuuuu mdogo ang
@rosejohn6818
5 жыл бұрын
Sjawah pitwa na interviews za gigy.....she iz rly......i just love her
@nikkimilian5740
5 жыл бұрын
Gigy nakupenda tuu
@fadhiliibrahim9702
5 жыл бұрын
Gigy kama kweli unataka kuwa lawyer u can do it u are still very young just go back to school
@zuhuramabrouk5184
5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mdogo wangu takushauri , plz go back to class ur dreams are valid dear get a private tuition then register for the exams in a public schools...kwetu Kenya tuna Elimu ya watu wazima ila unafanya mtihani wa kitaifa sawa na wanafunzi wa kidato cha nne sehemu tofauti , usife moyo wewe ni mwana sheria mkubwa mbeleni jaribu kutafakari plzzzz ikihitaji usaidizi wa masomo sema +254
@ladybilionaire379
5 жыл бұрын
Aaah nakupenda saana Gigy unasema kweli mno
@alikiba9723
5 жыл бұрын
Millard Ayo is Back 🙏🏻🙏🏻 +1
@millardayoTZA
5 жыл бұрын
Yeees mtu wa nguvu, karibu sana na asante kwa support
@ireneqeen2784
5 жыл бұрын
nakupenda sana hua unaongea kweli love u gigy❤❤❤
@aishadunia4953
5 жыл бұрын
Let me just be honest .. This is my favorite interview about Gigy Money .. I really love you 😍
@allym6326
3 жыл бұрын
Nakupenda sana gigy money
@batulajama4171
5 жыл бұрын
Nice News
@sakinamarjebi4290
5 жыл бұрын
pole sana mdogo wng gigy story yko imenigusa sana endelea kupambana utatoka tu kwauwezo wa mungu wasamee wte walokukosea mpenz
@agnessinja8967
5 жыл бұрын
Gigy nakupenda Hadi naumwa
@nimrodmareges3131
5 жыл бұрын
Mwenyewe ndani ya Nyumba
@ayshahusseinmohamed5984
5 жыл бұрын
I love you dear really.. unanikumbusha ujana wangu kweri nilikuwa kama wewe lakini shule sikuacha vitu vingene twafanana. sasa unaweza kuwa mwanangu.. nahisi unahakili binti tumia pesa uipatauyo nenda shule ya sheria kesho uteteee wanawake kamautaweza. kumbuka msema kweri hufa haraka najuwa mama yangu alilipa... pls do it ... najuwa itakuwa mwanasheri mzuri fanya ndoto zako lakini usijizalilishe tena mwanangu jina unalo sasa jitahidi vaa kiafrika pia changanya utaona .
@agnesmwakyusa3036
5 жыл бұрын
Duuuuu leo umenifanya nishindwe kufanya kazi. du kumbe ndugu yangu kalibu mbeya
@purity3776
5 жыл бұрын
Her honesty is refreshing,people like her can give you a rush in life
@bbaccabb9445
5 жыл бұрын
Dah,BIG UP Gigi Kumbe una Akihito sana nimekukubali
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Napendaga kumsikiliza Gigy yan utacheka stress zote zinapungua 💕
@realnewz2261
5 жыл бұрын
Giggy we ni mkweli mweshim sana mamaako na usijali kashipha za walimwengu wasio jitambua we ni mama wa mtoto angalia maisha yako oky we ni mwanamke wa nguvu na ni jasili sana love u more 🔯🔯🔯🔯🔯
@ibrahimmsuya3962
5 жыл бұрын
real newz gyt
@vailethkawovela4418
3 жыл бұрын
Wooh tunashea birthday na ggy wangu
@KiooTvOnline
5 жыл бұрын
On Air With Millard Ayo
@zainabumohamedmohammed2979
5 жыл бұрын
Gigy Napenda unavyo ongeag Ukweli
@pamellauwimana6966
5 жыл бұрын
wow jamani gigy nimekuwa naku miss
@mfalmegideon3987
5 жыл бұрын
Hii interview ni Darasa Tosha kwa Vijana Wengi Wanakimbilia Maisha na kukataa Shule👏🏾 Gigy amesema kweli Yote ...
@godymakundi
5 жыл бұрын
Sure
@kicmarthawa6659
2 жыл бұрын
Kabisa
@nasrahcute4278
5 жыл бұрын
Nakupenda xn gigy jmni mungubakuongoze kw kila jambo my dea love youuu
@esthermfaume513
5 жыл бұрын
Nampenda sana huyu dada jmn..Gigy yupo wazi sana na maisha yake
@azizraj7478
5 жыл бұрын
Best interview of giggy
@vj8313
5 жыл бұрын
Gigy mbona leo unahojiwa unaheshima zote umetulia tofauti na online interview zingine unajibugi ovyo ovy not serious but leo na Millard umetulia mdada.
@allthingdranabeauty
5 жыл бұрын
Vicky Decent. Sababu mtu anaye muhoji ni mstarabu na mpole
@emmanuelmorris5083
5 жыл бұрын
Police 😂hapana chezea
@prinareality5442
5 жыл бұрын
Gigy umekua kiakili sana hamna mtu anayependa kuteseka sana katika maisha tujifunze kumwelewa kila mtu Muhimu upendo tu.
@abdalahtwahil5202
5 жыл бұрын
kapata jina jamn kipenz chetu wakuitwa Business lady ❤ gigy
@asiazuberi9722
5 жыл бұрын
Mama mayra 😍😍😍
@hellenabeid2601
5 жыл бұрын
siblings children it hurt for real but only GOD knows our tmr..We just winning always
@sesiliajoseph211
5 жыл бұрын
Aliosikia miaka ya gig kama katuburuza like hapa twende sawa... Japo vyet hatuna
@omarighadafi7598
3 жыл бұрын
Ameongopa ktk miaka mm namjua siku nyingi na nimepata bahati ya kuishi nyumba moja mbagala
@ashadimpls495
5 жыл бұрын
Nakupenda bure gigy lkn hilo wigi ume chemsha.
@simplycyar4457
5 жыл бұрын
Asha dimpls limpendeza bhana😂😂😂
@ashadimpls495
5 жыл бұрын
@@simplycyar4457 A wapi amekaa km mwendawazimu 😂😂
@luckydavid7475
5 жыл бұрын
Asha dimpls 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁 ni nini lkn ....
@challomwalise9992
5 жыл бұрын
Asha dimpls acha majungu,,
@ashadimpls495
5 жыл бұрын
@@challomwalise9992 km kitu sikizuri unasema2 😅😅😅
@GericMediaLive
5 жыл бұрын
karibu tena Millard maana show hizi nilikuwa nimezimiss naona umekuja na new studio look kitu cha shure microphones kama UK
@millardayoTZA
5 жыл бұрын
Yes mtu wa nguvu, sasa hivi show imerudi hivyo kila wakati usikose kupita hapa mtu wa nguvu Geric.
@geraldjoseph8155
5 жыл бұрын
@@millardayoTZA asante sana najifunza mengi na harakati zangu nazidi kupambana hasa nikiona picha ya hapo stuido kwako siwezi kulala kabisa hadi malengo yangu yatimie kuisimamisha GERIC MEDIA LIVE kwenye ramani ndio maana unaona hata vifaa navijua ni kwa sababu ndo michakato yangu...Tuombeane tu afya na nguvu @millardAyo
@tonymnyamatv8483
5 жыл бұрын
Gigy mahela nakubali uko lil sana
@khadijaomar3299
5 жыл бұрын
Mdogo wangu gigi
@marrykabuje119
5 жыл бұрын
waooooo ❤❤👏👊nimekupenda sana my
@zuuhxtarcode2412
4 жыл бұрын
I love u gigy a. K. A Mama mayrah....i like ur interview
@peacekiingi5672
5 жыл бұрын
I love you Gigy.
@irakozemaissarah4325
5 жыл бұрын
mbona fupi jamani
@swaumumbwana1106
5 жыл бұрын
nakupendaje mdada
@mariamaaa4949
5 жыл бұрын
Gigy wewe unaongeya ukweli 😘😘😘 Nakupenda Bure
@kelvinemic376
5 жыл бұрын
Nakupnda sana gg uishi maish malefu
@agapesoka94
5 жыл бұрын
Nakupenda saaana namba MUNGU akufanyie njia natamani ubarikiwe saaana MUNGU ana mpango mizuri na wewe
@godfreyeliabu2582
5 жыл бұрын
Millard Eee kumbe Gigi dogo tu me nimejuaga
@roseabdul5633
5 жыл бұрын
Nawapenda wote
@yusuphsimon4656
5 жыл бұрын
kumbe haka kamwanamke kadogo sana. 2010 drs la 7!!!!!😂😂😂😂😂😂😂😂
PART II tayari nimeiweka Subrynery unaweza kuitazama sasa hivi
@dominicnzai8256
5 жыл бұрын
Milard mwenyewe,...I say apo Nimekuelewa mzee Baba,...Gigy Ni habari nyengine mi nampendaga pamoja na ukichaa wake....keep it real Gigy...ipo siku utachange na utapata deals nono tuu#MilardAyo#GigyMoney•••√
@KiooTvOnline
5 жыл бұрын
Safi sana Millard umerud na hii show yangu pendwaaaa
@millardayoTZA
5 жыл бұрын
asante sana kwa kutazama mtu wa nguvu, kila wiki zitakuwepo Interview za kutosha
@KiooTvOnline
5 жыл бұрын
Nipo karibu na ww alldays, coz ww ni kama Maj lazma nikunywe maana u're my role model....
Пікірлер: 488