1. Ana miaka 17, kwao ni Marekani 2. Yupo Yanga kwa majaribio, mwakani mwezi wa nane anarudi kwao Marekani kujiendeleza kielimu chuoni. 3.Dirisha la usajili limefungwa, atasajiliwa rasmi January, kwa sasa yupo kuzoea mfumo. 4. Hali ya hewa ya Dar anaona ni jua kali ila anazidi kuizoea, hata yeye anatamka maneno "jua kali" kwa kiswahili. 5.Anapenda kucheza nafasi ya kiungo mkabaji. 6. Katuona tunamuita mdogo wa Haland, Yeye kafurahi, Haland ni moja ya wachezaji anaowakubali, Anajua tumempa hilo jina sababu yeye na Haland wamefanana rangi ya nywele na ngozi. 7.Wenzake wamempokea vizuri na kaanza kujifunza mdogo mdogo kiswahili
@PanchoValentino-wh7wt
Жыл бұрын
Umetisha Saaaana 💯💥⚽🔥
@SophiaHamis-o4n
11 ай бұрын
Umeupiga mwingiii 👏👏
@IssaKigwanya
11 ай бұрын
Nakubar
@Az__2012
7 ай бұрын
Acha watu wateseke😂
@AlmachNestory
Жыл бұрын
Nimtakie kila la heri lakini hofu yangu miundombinu yetu ya viwanja kwake itakuwa kikwazo, mnaposajili wachezaji kutoka nje ya bara la Afrika mzingatie hilo, tuepuke sajili za mihemko.
@mellofloyd5555
Жыл бұрын
Uyo ajasajiliwa na yanga anafanya nao mazoezi tu baada ya muda anarudi kwao marekani bado yupo chuo anasoma
@Octavinaelisa-fn6js
Жыл бұрын
Mwenye kapendeza na hiyo jezi yake waoooo
@mbaruksaid5775
Жыл бұрын
Ati amnatusahaulisha kua mumefungwa na ihefu 😂😂😂
@Octavinaelisa-fn6js
Жыл бұрын
Sisi tumeisha move on kumbe wewe bado unateseka na yanga nakupa pole😂😂😂😂😂
@fidecomedytv5735
Жыл бұрын
Hii ilikuwa ni mapema, kabla ya hata metch kuanza
@PanchoValentino-wh7wt
Жыл бұрын
Welcome to our Biggest club YAnGa in Tanzania 💚💛💪⚽🔥💥🔝
@alexwizeboy2251
Жыл бұрын
Mje nae mwanza aisee huyo mlembo
@africanboy6921
7 ай бұрын
uyu mtoto akistaafu soccer nitaoa chap sana
@salemarahbi9171
Жыл бұрын
Karibu keida tutaelewa baadae ukijua kiswahili 😅😅😅
@amanimustapha2089
Жыл бұрын
Utopolo mnanguvi gni ya kuposti wakati mmebutuliwa vibaya
@amaniomar1755
Жыл бұрын
Win makes us strong loose makes us stronger hatibabaiki na lose moja...
@radhiamussa1629
Жыл бұрын
We kinachokuwasha ni kitu Gani unataka tutoe lawama kama zenu
@reynahnassoor2678
Жыл бұрын
Sio shida zetu😅😅😅
@mwanahamisijuma7270
Жыл бұрын
Akujaaribika kitu bado mbona mapema daima mbele nyuma mwiko
@jafethmashimi615
Жыл бұрын
Kubutuliwa mbona jambo la kawaida tu.
@raybirry3816
Жыл бұрын
VIWANJA TUKO NYUMA SANA TANZANIA.
@JumaNtasimba
Жыл бұрын
Huyo dem namtaka
@omaryluambano3495
11 ай бұрын
So happy 💛💚👍
@abbadiarra4256
Жыл бұрын
❤❤
@sullehtz9327
Жыл бұрын
#timuyawananchi🔰🏆🙏
@labricola6993
6 ай бұрын
You're not going back. You're going to extend your contract
Пікірлер: 27