Subscribe / uwazi1
Mwenyekiti wa Chama cha Demokasia na Maendeleo - CHADEMA Mh Freema Mbowe amefunguka kupitia Mahojiano ya njia ya simu na Global Tv kuwa CHADEMA si chama cha kugawa vyeo.
Mbowe amesema, Matukio ya kuhama kwa baadhi ya wanachama wake yanakipa nguvu chama hicho kupambana zaidi na kujiimarisha zaidi.
Hivi karibuni wanachama wawili wa CHADEMA, Lawrence Masha na aliyekuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Patrobas Katambi wamekiacha chama hicho na kuhamia CCM.
FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Негізгі бет EXCLUSIVE: MBOWE KAONGEA BAADA YA WANACHAMA KUHAMIA CCM!
Пікірлер: 172