Mke wa Mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu , Wakili Alicia Magabe ameongea kwa mara ya kwanza baada ya mume wake kushambuliwa kwa risasi miezi miwili iliyopita njini Dodoma. Ameeleza jinsi alivyopokea taarifa za shambulio hilo hadi aliposafiri kuelekea Dodoma na hatimaye Nairobi nchini Kenya.
Негізгі бет EXCLUSIVE: MKEWE LISSU AFUNGUKA, NGUMU KUAMINI (PART 1)
Пікірлер: 104