Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart
@mbarakkhalid117
6 ай бұрын
Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him
@mcnyota
6 ай бұрын
God*
@fatumamfumia4507
6 ай бұрын
Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah
@Gabonfreeman
6 ай бұрын
Chid Benz Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪
@thadeusmahendeka4466
6 ай бұрын
Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.
@modelka222
6 ай бұрын
yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida
@user-jc8el6je5e
6 ай бұрын
Ujumbe mzuri sana
@muzafarsharif9465
6 ай бұрын
chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo
@ngellamickyofficial
6 ай бұрын
Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid
@venasalbert3930
6 ай бұрын
Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.
@user-wt9nd8bh2h
6 ай бұрын
President of Dar City
@Whoisthismantalking
6 ай бұрын
broken watch tells right time twice a day.
@user-qs8td6yt4x
6 ай бұрын
Kweli uyu Jamaa napenda jisi anavyoo kuwa mkweli ndomana watch Wanamaker zarau just bcz yupo open Sanaa
@jdanny497
6 ай бұрын
Well said
@uwezokinahi7870
6 ай бұрын
This dude is smart
@dj_jmoon_tz
6 ай бұрын
Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius
@user-hb7mq8lg9e
6 ай бұрын
Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..
@sydneympiluka7959
6 ай бұрын
Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤
@whiteAfrican83
5 ай бұрын
Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu Respect bro
@user-vo7zt3ph2g
6 ай бұрын
This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma
@aishamohamedi362
6 ай бұрын
Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen
@stephenmwanzake
6 ай бұрын
Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana
@alimatambwe3402
6 ай бұрын
He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔
@user-hj6yd6jb6x
6 ай бұрын
Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa
@levygasper7438
6 ай бұрын
M Ayo Tv Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏
@waelewaclassic1824
6 ай бұрын
Jamaa yuko Sawa Sana..! NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋
@goldenjunior_tz
6 ай бұрын
This guy ni genius
@boscokikoti
6 ай бұрын
Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani
@Sebastian-ul7wg
6 ай бұрын
Legendary welcome back brother
@ZabourahIthnain-cz5vm
5 ай бұрын
Chidi for life
@devidjav3583
6 ай бұрын
Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.
@fischerkashaija3214
6 ай бұрын
Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan
@officialchidibenz
6 ай бұрын
Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.
@nabbeely5295
6 ай бұрын
Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute
@erickdioniz8277
6 ай бұрын
Chid safi hiyo nimeikubali sana
@Pathro_Cavosia
6 ай бұрын
Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.
@zenawahindi2425
6 ай бұрын
Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent
@Mwenyekiti1118
6 ай бұрын
Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho
@richie_Jk
6 ай бұрын
Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo
@koalaness8921
5 ай бұрын
Nipe top 2 yako walobakia
@richie_Jk
5 ай бұрын
Unju na Fidii
@issasaad3403
6 ай бұрын
Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa
@hari_meshi
6 ай бұрын
Drugs are a bad thing to human
@merrynancesimon1562
6 ай бұрын
Chidi benzi❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️
@mikasiadventures6709
6 ай бұрын
Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊
@irenematari6218
6 ай бұрын
Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤
@butondodavid2105
6 ай бұрын
Ubongo wako low IQ huwez muelewa
@MichaelJames-tp6co
6 ай бұрын
P1 sana chidi, big up sana mzee
@alexwatae3165
6 ай бұрын
Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie
@ericmuthiani1676
6 ай бұрын
Wewe shoga Sana...dawa za mamako
@Whoisthismantalking
6 ай бұрын
I love this 😅
@mfalmekaitaba2425
6 ай бұрын
@@ericmuthiani1676we ndo shoga sasa
@Daladalamedia
6 ай бұрын
You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.
@Immahjr
6 ай бұрын
Chid Benz mtu poa sana
@MulababazOG
6 ай бұрын
Chidi benz noma sanaa Bonge la genius
@agustinealberty
6 ай бұрын
am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana
@RabiaIddi-ci2uz
6 ай бұрын
We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli
@catewahu6860
6 ай бұрын
Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅
@walinaziontime7300
6 ай бұрын
Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela
@Chrisblaze-beats
6 ай бұрын
Bro we Roll❤❤
@user-qn1yq1pi7p
5 ай бұрын
Nice chidbenze👍
@JonathanNsweve
6 ай бұрын
Chini ni noma
@michaelvincentmhagama337
5 ай бұрын
Upholding humanity
@VicentMillanzi-tw9qe
6 ай бұрын
Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?
@nyamweririchard5945
6 ай бұрын
Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo
@damianjeremia3821
6 ай бұрын
Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉
@roberttaigo9216
6 ай бұрын
jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana
@Gabonfreeman
6 ай бұрын
Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉
@kalmaarufuofficial74
6 ай бұрын
Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥
@minhokid
6 ай бұрын
Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani
@linusjoseph8454
6 ай бұрын
Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua
@zerochanneltanzania3797
6 ай бұрын
STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”
@user-kx1ou3ez7q
6 ай бұрын
Jomba ni noma sana Benz
@DanielMarwa-ep8qr
6 ай бұрын
King kong❤
@kinotasontravel2093
6 ай бұрын
Chiz sio mbinafsi 100 💯
@saidilome-ue2df
6 ай бұрын
Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.
@ramadhanomar8346
6 ай бұрын
It is about love
@kinotasontravel2093
6 ай бұрын
Chiz Benz big up bro
@onesmolwambano9349
6 ай бұрын
Fact
@chiefkissensi
6 ай бұрын
Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa. ChidKing🇹🇿
@demask3423
6 ай бұрын
Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.
@ibrahimaziz7158
6 ай бұрын
Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda
@Heal-with-Dodo
6 ай бұрын
Nyie chid hayupo sawa😕
@noelkibere8208
6 ай бұрын
Ushakuwa wenge BCBG aisee
@bittersweet1683
6 ай бұрын
I like this
@user-fc3og1eo3x
6 ай бұрын
Salute bro
@amrozwhite1073
6 ай бұрын
CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA
@WaziriRamadhan-ML
6 ай бұрын
Ni kosa sana kusema pesa uliyopewa ni ndogo sn kumbuka hela ya kupewa bila jasho sikuzote ni kubwa sn ht ikiwa elufu 7 tu!
@Josephkp629
6 ай бұрын
Amna hela bila jasho unazan kaenda kwa mguu arusha
@filberth_Mchilo
6 ай бұрын
Huyu Jamaa kuvimba haachagi hata awe kapuku Namna gani 😅😅
@WaziriRamadhan-ML
6 ай бұрын
@@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu
@FadyFs
6 ай бұрын
@@WaziriRamadhan-ML kwani ni milion10 ile?
@snaidertv1857
6 ай бұрын
Chid alienda kumuona mfiwa then mfiwa anampatia pesa ndio maana hakuifurahia alifeel bad
@dullahzebuffa
6 ай бұрын
Safi sana aiseh
@emmanueljackson5445
6 ай бұрын
Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji
@ezekiambise2595
6 ай бұрын
Mungu amsaidie.
@MakalaSimulizi
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa
@isalohsk4762
6 ай бұрын
Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact
@hclever7731
6 ай бұрын
Et pipa na mfuniko😂😂😂 Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand
@newforcejv9721
6 ай бұрын
Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka
@mrsinia3064
6 ай бұрын
Chid benz mtu hatari sana....Dsm bila chuma is not true 👊👊 #muda #chidbenz
@frankmichael1968
6 ай бұрын
Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu
@d-manb-free3478
6 ай бұрын
Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂
@officialmanji4438
6 ай бұрын
King Kong 😮
@AmaniMcharo-wn3ul
6 ай бұрын
REspeCt chid benz 😂😂😂
@MalickMazikublood-gq2fs
6 ай бұрын
Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤
@mengipeter9598
6 ай бұрын
Mwamba karudi
@malikzafarani172
6 ай бұрын
Jamaa yuko really sn 🇶🇦
@hancykajanjathelimitmusic427
6 ай бұрын
Hakika bro chidy
@mackhanssa2484
6 ай бұрын
Anakula KWA hasira sana😂😂😂
@salimaziz9858
6 ай бұрын
Kuna kipande kimekatwa 16:58
@pajokakasasa
6 ай бұрын
Chidy akili nyingi sana
@williamdungumaro6668
6 ай бұрын
Uyu jamaa ana kitu bado kweny gem
@chiefshonelyzbeth5844
6 ай бұрын
Safi sana
@ringicnation3722
6 ай бұрын
King chidi
@mdumashop7423
6 ай бұрын
Mtu anaakil sana huyu
@bedastusmichael7811
6 ай бұрын
Chidy unasumbua sana broo.tishaaa
@nelsonkilasi979
6 ай бұрын
Chidi anaelewa anachofanya usimfananishe na Rapper yeyote huwa nasema jamaa ukiondoa mizaha hakuna anaeifunika hip hop yake ht siku moja
Пікірлер: 286