Allah akufanyie wepesi kk shukuru mungu kila kitu kinamwisho kk
@mandyuwimana7735
2 жыл бұрын
Ommy nipe mkono nipe mkono, njia ya mwongo fupi. Harmo kasema kama haya haya uli ongeya enzi zile😄😄
@fadhilimakarani5626
2 жыл бұрын
Haya maneno niyale ya hamo
@jeffkonki8279
2 жыл бұрын
Uchawi wa d upo kwenye mapete yale ya mkononi ndio maana alikiba alimgeuzia mkono
@kevinryt4963
2 жыл бұрын
Hehe
@deogratiusyudatadei5658
2 жыл бұрын
Hayo maisha om mimi nimekutananayo huku Uganda yani boya mmoja tu nilikuwa namwamini kilakitu changu namwambia kila hatua yangu alikuwa anaijuwa lakini alikuwa ananiogopa naanawaza kwamba nitakuja kumpita mwisho wasiku akanifanyia figisu nikafukuzwa kazi lakini MUNGU ndiyo anapanga ridhiki akaleta watu wake baada ya miezi 3 naitwa tena kazi kampuni ileile huwezi amini alikuwa ananichanga mkia kwakila staili mwisho wasiku uzalendo ukanishinda nika mchana tu so binadamu sisi niwatu wenye wivu Sana hasa tunapo hisi kuwa kunawatu wanataka kuchukua nafasi zetu au kuwa juu zaidi yetu hasa wa tz wengi niwatu wenye wivu naroho mbaya kinyama yani
@silvesamweli7697
2 жыл бұрын
Pole sana
@OmanOman-ik9sp
2 жыл бұрын
Mshukuru mungu omy hajakusaini angekusaini saa hiz ungekuwa hausikikii
@kubwayoinnocent1710
2 жыл бұрын
Dhu Noma rohombaya Jamaniii Mondi 😭😭
@barakatetesha6343
2 жыл бұрын
Ana roho mbaya Sana ataki wengine watoke uyo
@salmaothman153
5 жыл бұрын
Domo ana roho mbaya sana anataka apate yeye tu wenzie wasipate kiba kaanae mbali sana huyu mtu anaroho mbaya sana
@oxyrio1224
2 жыл бұрын
Kweli kabisa harmonize amesema
@wahidaabeid5712
2 жыл бұрын
Mshenzi sana ana roho ya kwanini omy Mungu atakulipia wa juu mngoje chini kila kitu kina mwanzo na mwisho
@sibawayhisalum2707
7 жыл бұрын
Pole sana ommy
@zaitunimkobo2730
6 жыл бұрын
Kumbe dai ana roho mbaya khaaah 😔
@lovekileo7615
6 жыл бұрын
Hee tena sana na ukizingua anakumaliza
@deviigasper8506
5 жыл бұрын
Brother usijali ni maisha ipo siku Mungu ata kusaidia
@nuuringoogle4104
2 жыл бұрын
Hii Diamond ako naroho nzuri but nibinadam ambayo wanamhalibu diamond kumdanganya🙏🏽🙏🏽
@drizzlesly6009
2 жыл бұрын
Bado mtamwita harmo mnafkiii??au msaliti duh??
@sabrarak9989
2 жыл бұрын
Anaroho mbaya sana domo
@dasmatallent6772
7 жыл бұрын
Omy yote maisha Tu aya bhana ktamba duniani kwani wameaahau kama kuna kesho akhera weee komaaa nia king of flvr na tulieni na mkibuni kitu kitaaam na mkimshirikisha msanii yeyote wa nje najua mkitoa kitu cha watu wa tatu kitakua kikali zaid but jamaa ni mshamba mshamba tu yule anatia hasira mpka bas yeye kila mtu kwake tatizo ssa huwo mzki waliuwanz watu na mpka Leo wapo wapi so kueni wapole Tu bobu cz ata waliouanza huo mziki weng wao wameshatangulia mbele za haki na akuna alie Fanya ushamba kama anaofanya yeye ala pia kingine jamaa kaanza mapnz ukubwani so naisi yote hao ni sababu ila kinachoniuma zaidi watoto wasenge wasenge sijui kichiko hiki kirayvan kinaingilia mambo hayamuusu kuuuuuuuuuu......m.....wakati ata nyimbo tano ana Mather fuuuuuuu#
@gracekaniki789
6 жыл бұрын
Dai unaroho ya kitandale mnoo omari umejitahid sana
@RoseMary-hp5bz
7 жыл бұрын
maskin dimpoz kumbe daimond mchokoz eeeenheee
@swamadukibaro4567
6 жыл бұрын
Ndiyo maisha haya ndugu yangu
@shabamuhidin634
2 жыл бұрын
nimejua kweli ukitaka kufanikiwa lazima uwe na maadui wengi,pili ili ufanikiwe usimuambie mtu siri zako
@sharmelasaif47
2 жыл бұрын
Pole ommy duh
@vidisefania5051
2 жыл бұрын
Pole sana
@awadhansalim5262
5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mnyama wacha Alikiba akatae kumpatia mkono.
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Hahah maana hata HARMONIZE ame mkataa kumpa mkono Diamond 😂
@victoriabayo7704
2 жыл бұрын
Yaani huyu jamaa ana roho mbaya siku anataka yeye tu awe juu hataki wengine wamzidi
@janewacera7812
7 жыл бұрын
Pole omedimpz kwa masaibu, na sio wote wanao penda kuona we zao wakifanikiwa
@sibawayhisalum2707
7 жыл бұрын
Jane Wacera swadakta my
@ruthkasimu6624
5 жыл бұрын
Aki ommy uko na roho safi usijali kakangu mungu atakulipia. It means diamond ni mtu selfish
@rosemkuka9153
6 жыл бұрын
Aiseee maisha kweli pole Dimpoz
@sakinamohd8101
5 жыл бұрын
mtihni ndomna sina ushabili na yule domo hta 000😩😩
@rahmarajab3688
2 жыл бұрын
Sadala Lina roho mbaya kaa la kaanga sumu, Hata Darasa alimfanyia ushenzi pia,
@judithfredy6607
6 жыл бұрын
Hata Bob jonior alilalamika, MWe, diamond co mtu
@ashileyramsey1296
6 жыл бұрын
Pole sana kaka
@zawadikasim6679
2 жыл бұрын
Pole ommy
@alinependo5389
7 жыл бұрын
wow
@mdalamgir-gu9hu
2 жыл бұрын
Kama babake alimkana na alimlea mpka leo ww nani.shogatu diomond
@Aaa-nh7gw
6 жыл бұрын
Sisi wenyewe wanawake tukitembea namwanaume mmoja hatuerewani sembuse wewena d kwaniunui
@msafirikassele6274
5 жыл бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣
@thebroski9763
2 жыл бұрын
Kipindi hiki neno chawa lilikuwa hamna 😂
@sifatiiman
2 жыл бұрын
Nimekuja leo apa nimeamini maneno ya harmonize kwamba akiona tu unafanya vitu vizur bas anazani unashindana
@omarathuman5813
2 жыл бұрын
Mimi uwa nasema daily Domo nimsenge firaun
@maximiliannorberth471
2 жыл бұрын
Kumbe uchawa haujaanza saiv asee
@fadhilimakarani5626
2 жыл бұрын
Leo ndio twaona maneno ya hamo
@mariamshakira6876
2 жыл бұрын
Diamond Ana roho mbaya
@sammushi1512
2 жыл бұрын
Damond mseng roo za kwa nn anataka kua yeyee wakat kuna watu weng wanajua kuliko yeyee
@kdpretoria780
2 жыл бұрын
Diamond ni selfish
@buddahmakucha6848
2 жыл бұрын
Mlishikana mkono na mond😢
@rajabuabduly468
2 жыл бұрын
Daaa km ivo daimond sio
@MariamMohamed-bw8xf
5 жыл бұрын
Mmmh kumbee 🤔
@ngonawillibard5706
6 жыл бұрын
pol xn ommy achan nae uyo dai han k2
@paschalsamwel6631
2 жыл бұрын
Huyu jamaa hatabadirika
@sneedlekisengo9592
2 жыл бұрын
diamond anaroho mbaya xana kumbee
@frankndofo6695
5 жыл бұрын
X za kibongo
@asmampepe3709
6 жыл бұрын
duuh
@annabadru2352
2 жыл бұрын
Pambe na hali yako bro ulikuwa wapi cku zote au ndio una Tumike na panya Harmo . Achana na mondi ana tamu muacheni Acho uchoko wewe mwanao nanini weweee
@edinawilliam2943
2 жыл бұрын
We ndo umetumwa vjana tunashikana mikono ukucmama ukizingatia ni wa mkoa 1
@jeanmalilo6128
6 жыл бұрын
Utakoma
@calvinloveambroce842
2 жыл бұрын
Diamond hana roho mbaya kama mnavyodhani ila ana roho ya kitajiri kwakuwa utajiri unahitaji roho km ya Diamond na ndiyo maana leo hii amekuwa tajiri mkubwa
@annahjanes7327
2 жыл бұрын
😏😏😏😏 unafikir matajiri wote wangekua kama yeye wangebarikiwa ACHA wenge
@hassanimtasiwa5820
6 жыл бұрын
Ushikaji na biashara tofauti ukileta ushikaji kwa mtu anayejua biashara lazima ulalamike
@jeanmalilo6128
6 жыл бұрын
ATA uonganishwe ommy auwezi mziki
@jeremiahmanyirizu1532
6 жыл бұрын
ww unaweza asa tuseme wee nae kund
@edinawilliam2943
2 жыл бұрын
Mchawi wewe vjna wangeshikana kajinga ako ka d domo
Пікірлер: 77