Hakuna mtu anajua raia Marekani ndani ya mwaka 1. Kupewa karatasi za kufanya kazi sio uraia. Amesanganya. Amepewa green card ambayo inaruhusu kufanya kazi na work authentication card. Nimekua raia tangu 2017 baada ya kuingia 2008. Amewadanganya sana
@digital-d2t
3 сағат бұрын
Baba Levo hujui kingereza unasema2 yaaaa
@johnmichaellukindo21
2 сағат бұрын
Babalevo mshamba eti ana viza uraia wa marekani😂
@furahaneema920
3 сағат бұрын
Wamarekani wanapana uraiya ila nyiye watanzania munarombaya asie kuwa mtanzania hapewi uraiya acha rombaya watanzania
@IbniAbbas-yz3kt
3 сағат бұрын
Dada hajitambui na hajui nn maana PR na work Permment!ukiwa raia wa Marekani una change kila kitu kuhusu utambulisho wako!ina maana huwezi kuwa na passport ya nchi nyingine zaidi ya yakwao!kwaiyo wewe ni mzamiaji kama wazamiaji wengine waMarekani sio wapuuzi wakupe uraia ndani ya mwaka mmoja tuu
@joycemashikolo9096
2 сағат бұрын
😂😂😂😂nami nilikuwa nashangaa mwaka 1 wakupe uraia imekuwa karanga😂😂
@homeandaway2811
Сағат бұрын
Yaani hajitambui halafu hajitambui tena 😂😂😂😂 eti raia nyoooooo
@FredrickMatiku-xf2uk
4 сағат бұрын
Kwani kuwa raia wa marekani ndio mafanikio katika maisha watu wapo huko maisha yote wanabeba maboksiii tu warehouse job hawana ata maendeleo huku africa washazamia huko huko
@gracelendsey3400
3 сағат бұрын
@@FredrickMatiku-xf2uk ulimbukeni unawasumbua watu
@official_dicksonmunga
2 сағат бұрын
Muwage na adabu na mnacho coment. Huyo huyo anae beba ma box anamshahara mkubwa zidi hata anae fanya kazi TRA 😂😂😂 weka heshima weweeee
@ClassicUsed-jg6ri
4 сағат бұрын
Baba levo unatafuta kiki
@neemakalugila7674
4 сағат бұрын
Baba Levo, interview utani mwingi, try to be abit serious. Unamchanganya unayempa interview....
@barrynzeyimana6270
2 минут бұрын
Watanzania wengi washamba kwenye mengi. Kwanini wakiwa wanaongea lazima waweke English?
@JulesWilondja-w5x
3 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@kimah9855
Сағат бұрын
This woman anatudhani sisi ni wajinga Ati Citizen??? I don’t think even Permenet hata labda hana, Hata kama mme wake ni mtu akona Citizenship si just like that ati anapatiwa ivo tu. Kuna process lazima apitie, so awache kutupima😂😂😂😂😂Hatuko wajinga. Hata sio kingeresa yake ni mbaya afu anaringa naye, because anajua anamshinda Babalevo😂😂😂😂
Пікірлер: 20