Kwa siku kadhaa sasa, zimeenea taarifa katika mitandao ya kijamii kuhusu wapi alipo Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango. Lakini baadhi ya taarifa hizo za mtandaoni zilikwenda mbali hadi kudai kuwa kiongozi huyo wa pili kwa ukuu kitaifa “ametangulia mbele za haki”.
Ripoti hii inapatikana kwa ukamilifu hapa www.baruayachahali.com
Негізгі бет #Exclusive
Пікірлер