Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@annamussa185
17 күн бұрын
Ni hv mkiwa na pesa upendo lazima sasa koseni pesa,utasikia huyu ana roho mbaya huyu mchawi huyu nyoko nyoko😂😂😂
@HamidaAhmad-jd5zi
16 күн бұрын
😊
@MsNajma-j7e
16 күн бұрын
Kabsaa ukiwa hauna pesa ata wajuku utawasikia kwa bomba msiende kwa bbi enu mchawi aiseee tutafuten pesa uzeni ture wajuku kwa eshima na upendo
@fettiemaganza1484
12 күн бұрын
Anaongea kma lucy hyu mama
@ChristinaOnditi-el3xo
17 күн бұрын
Hongera umewalea wanao vzr watoto kwa upendo wako na ushirikiano .live long mama Ameen
@denisngotezu
18 күн бұрын
Hongera sana boss wangu kipenzi kwa kufikisha miaka 70 you're still strong enough my dear boss 🎂🎂🎂🎂💚💚💚
@nyamwiza.z6p
17 күн бұрын
❤❤hongereni sana,♥️♥️
@archardadelina8896
17 күн бұрын
Hongera sana kiongozi Mungu akutie nguvu HBD rafiki yangu mpendwa
@JamesChrizestome
14 күн бұрын
Marietha Minangi mwenyezi mungu akupe Afya njema boss
@user-bx8wu8rq4i
15 күн бұрын
Hongera sana wifi Yangu kipenzi
@lucymtui8680
18 күн бұрын
Lucy na lily🎉🎉
@marymanoni5536
18 күн бұрын
Cheo chake kinatosha jina lanini
@joycebenedict9597
17 күн бұрын
Hongera sana mama Marietha,miaka iongezeke marabili.
@BrotherKaka-j4z
17 күн бұрын
Sasa ushasema r p c kukonda lazima wameuwa watu wengi hao
@deusdeditkakwesigabo1401
18 күн бұрын
Mbona humtaji jina
@ramadhanishabani807
17 күн бұрын
Mtaua watu kwa surprise, watu wana ma pressure wengne wagojwa magonjwa kibao wanatembea nayo mnawafanyia supeise
@deusdeditkakwesigabo1401
18 күн бұрын
RPC mstaafu Hana jina ?
@denisngotezu
18 күн бұрын
Anaitwa Marietta Minangi SACP mstaafu
@annamussa185
17 күн бұрын
Ndiyo Hana jina Yani hakuwahi kuwa na jina kati ya watu wenye majina kama jina lako😅
@JeremiahKavakule
17 күн бұрын
Umri
@DelightfulMacawBird-tl5hf
17 күн бұрын
Mama amaefanana NA lusi
@sememakolo9360
17 күн бұрын
Mbona kijana wako wa kiume amefunga nywele kike au alishakuwa shoga huko kanada.
@JanethMadios
14 күн бұрын
Njaa na taabu ulizokuwa nazo ndo zinasababisha haya yote !....... tafuta hela Pole sana
@marcynhumbi3534
14 күн бұрын
Na wew ndo utakuwa shoga mwenzie
@RenaldaZeramula
18 күн бұрын
Mbona mama kakonda sana jamani
@henricamikambi6147
18 күн бұрын
Ukisema kakonda ina maana ulikuwa unamjuwa akiwa mnene? Huenda huo ni mwili wake wa kimiss
@zuwenasalim2794
17 күн бұрын
Mazoezi hayo huoni 70 kama kabinti
@michaelbwoma2760
17 күн бұрын
Sema wabongo bwan huyu an afyaa njema sana sio kakonda
@josephlorri431
17 күн бұрын
Hilo swali jibu analo Prof Janabi
@RenaldaZeramula
17 күн бұрын
@@josephlorri431 JANABI ni janga. Anadanganya watu wasile
Пікірлер: 34