Mwimbaji Staa wa Bongofleva Ben Pol anayetamba na wimbo wake mpya wa "nyumbani" amekaa kwenye Exclusive Interview na AMPLIFAYA ya CloudsFM na Millard Ayo, Frida Amani na Vido Vidox na kufunguka kwa mara ya kwanza kwa undani kuhusu maisha ya ndoa yake hadi kuvunjika "katika kipindi nilichotengeneza pesa kidogo ni kipindi nilichokuwa kwenye hii relationship"
- Күн бұрын
EXCLUSIVE: SIKU-ENJOY NDOA NILIKAMILISHA PICHA TU, NILITENGENEZA PESA KIDOGO - BEN POL ( PART I)
- Рет қаралды 109,847
Пікірлер: 284