Mwanadada Beatrice Ndungu ambaye ni Brand Advisor wa mwanamitindo, Hamisa Mobetto amefunguka kuzungumzia tuhuma zilizomkuta mteja wake huyo za kutaka kumroga mzazi mwenzake, Diamond Platnumz. Beatrice ambaye amemletea madeal mengi ya biashara mrembo huyo, amesema sakata hilo lingemwaribia brand mrembo huyo kama angelichukulia tofauti, kwani amedai Hamisa kwa sasa yupo fiti na anaendelea na kazi zake kama kawaida.
- 5 жыл бұрын
Exclusive: Uongozi wa Mobetto wafunguka ishu ya kumroga Diamond
- Рет қаралды 64,341
Пікірлер: 296