Zari ana akili jaman huyu dada ameachiwa mali lakini yuko fiti anaziendesha angeku mwingine kashafilisika yaan dunian bora ukose mali upewe akili love zari team yako tunakupenda sana kama ww ni team zari na unamkubali like kwake 👌👌❤❤❤❤❤
@bobmo2907
4 жыл бұрын
Fuck up! Acha kuwa mtumwa wa fikra.
@salmaothuman8412
4 жыл бұрын
@@bobmo2907 wewe ndo mtumwa Wa fikra maana akili yako unawza utajili wa harakaharaka bila kutumia akili 😂😂😂😂😂😂mpuuzi mmoja ww
@@salmaothuman8412 Utumwa wa fikra ndo huo ambao unao ww, una ubongo mdogo sana usiyoweza kupokea mambo makubwa na kupokea vitu vidogo! Kama izo stor za watu, wakati unaishi kwenye jamii iliyojawa umasikini na ujinga Ukombozi unaanzia ndani kwenye fikra zako ww mwenyewe falaaa wewe!
@aishakhamis2996
4 жыл бұрын
kweli kabisaa...
@user-xi1pi4zr3b
4 жыл бұрын
Wanaomkubali zari nakumuelewa dondosha like hapa
@hadijakabona955
4 жыл бұрын
Anaeanini kuwa zari ni jembe la majembe tujuane ap😍😍😍
@ashurataboubakherymunnah3075
4 жыл бұрын
Nampenda sana zari jmn anapambana mpaka raha
@gaudenciamallya9779
4 жыл бұрын
Kupenda kuliumbwa jamani! Zarina Hasan jaman! Tafuta MWANAUME msomi akili Zari unayo dah! (umeajiri wasomi chuoni kwako then....... l love you Zari coz UNAWEZA bana. Hasira zako malizia kwenye elimu ya watoto wako. Mungu akujalie maisha marefu sana.
@meredouble9897
4 жыл бұрын
I’m miss being in that college. I finished my one year college in Brooklyn city college in this same building from 2010 to 2011 and still have my students card with me here in USA. Big up sana zari👍🏾👌🏾
@nunuunassor2204
4 жыл бұрын
Furaha Sifa congs
@husenjuma5542
4 жыл бұрын
Zari ninoma namkubali zaidi yakumkubali kilakukicha yy nizaidi ya binti yani daaah mm sioni kama anampinzani hongera kadadaa
@imageimage9290
3 жыл бұрын
👍
@safiasaleh669
3 жыл бұрын
Ni kweli zari hawezi kuacha kazi zake akaja kuishi Tanzania yupo bize na academy's yake ana kazi yakuingiza hela eti aje huku amfate diamond khaaa mashuziiii . Nampenda Zar najifunza mengi kupitia interview zake na bila kuwasahau Ayo tv ndio mpango mzimaa nimeangalia part zote nimemuelewa Zari big up dada🌹🌹🌹🌹
@chichidaniels9616
4 жыл бұрын
This woman, issa goal. She always keep me on my toes. Generally, Zari you inspire me a lot. Kudos to you, the real Boss Lady. East Africa Tsunami.
@mebolinsnjowoka8628
4 жыл бұрын
Hongera sana Zari endelea kupambana mama na Mungu akuongezee nguvu zaidi na zaidi nakupenda sana we mwanamke jasiri na mpambanaji
@vivianoforo4760
4 жыл бұрын
Kama unamkubali ZaRI gonga likes hapa
@kisilujustus
4 жыл бұрын
You are the most hardworking socialite in East Africa followed by Akothee....
@nadiaamisha2958
4 жыл бұрын
Leo nimeamini kua zari alimpenda diamond bila kujali pesa, kwa sababu huyu mwanamke Ana pesa zake
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
nadia amisha mmh.wanawake wa hvo walishakufaga...ata kama ana mali bado atatafuta aliemzidi mali ili aendelee kupata mali zaid.
@MsAggie5
4 жыл бұрын
John Mogella sio kweli na sio wote
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Aggi Bibi Angel ..sio kwel wkt tunaona yan upo uhusiano na mtu akikosa ela hata show akupi znapungua...daah yan ingekua ni hvo mkipenda mmependa maisha yangekua vzr
@MsAggie5
4 жыл бұрын
John Mogella ndo maana nimesema sio wote. Na yote ni kutokana issue ya Zari ni mwanamke anayejituma sio wa kutegemea mwanamme ndo aishi. Kweli kuna wanawake ambao hawajui au hawataki kujitafutia wanategemea wanaume katika kila kitu kwa wa aina hiyo obvious ukiwa huna kitu wana lala mbele au wasio na uvumilivu ukikosa wanakimbia lakini kwa mwenye mapenzi ya kweli na anayejitosheleza hela ya mwanamme ni nyongeza tu sio tegemezi. Labda umenielewa
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Aggi Bibi Angel ..dah sizan aisee ila kiukwel cku hz wanawake n htr sana....kwanza hawanag upendo utakut mtu anatoka na watu 3 kwa mara moja ndo knachofanya wanaume weng tunawaacha wanawake cos huwag inaumiz...so kigezo cha yeye kuwa na hela sio sabab anaweZ akawa anadate pia na weng hapo inabd umwache tu hata kama ulimpend vipi....
@hechihechie5558
4 жыл бұрын
Sasa jamani Zari kipenzi ulikuwa unafanya nini pale Madame kwa domo???Kweli mapenzi yana nguvu!!!pole kwa kumpenda asiyejitambua!!lkn usijali Hukupoteza kitu ulipata Baraka ya watoto!wazur sana!!Shukuru Mungu ulitoka bila ukimwi!!!na endelea kumtegemea Mungu ,najua wewe ni Baraka kwa watu wengi!!!Zari ni jembe!!malkia wa nguvu!!!!🔨
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Hechi Hechie akil za waafrica bhn...hah poor mind
@dorothyxavery6178
4 жыл бұрын
Unafeli brother...ww ni nan sasa naee kazaliwa na Mungu
@michellemutheukiilu2595
4 жыл бұрын
Boss lady mwenyewe ur higher level ,ndio maana mange na wabongo wanakuchukia bure bt Awana lakufaya,mungu akinuwa mtu akuna wakumzusha.
@hadijaabdallah444
4 жыл бұрын
My zari,I love you no matter what, hakuna mkamikifu ,nakupenda hivyo hivyo Na mapungufu yako
@sophierayc
4 жыл бұрын
Beautiful with brains are few 😀😀😀💖💖💖💖much love ❤️
@jojoallonzo7781
4 жыл бұрын
Now i can feel the pain that dangote family went through after losing zari .this is what makes diamond and the family jealously for .they missed all this opportunity because of cheating like a dog .am 100%sure that family regret to loss such a beautiful and smart lady.... the place inside is really looking good.
@biancaomari6918
4 жыл бұрын
The damn fact...ndo maana wanaumia those loosers
@rosemarykatogomusanga1619
4 жыл бұрын
Jojo allonzo. You are right...Bado wanaregret hawawezi fikia maisha ya Zari No No na hiyo familiär wako na ushamba mwingi Sana 😂😂😂😂
@charitykisimba9083
4 жыл бұрын
And how told you they are regreting, don't pretend to be in someone's shoes. What do they lack to miss zaris stuffs, I feel they have much money compared to zaris income
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
jojo Allonzo kwann usemee nafs ya mtu hv kama ww mdada akikucheat unaeza vumilia maumivu na ukaendelea nae ???mnakwama wapi ela za mwanamke haztakusaidia chcht aisee
@rosemarykatogomusanga1619
4 жыл бұрын
Kusema ukweli mbele ya Mungu.....uyu Zari is actually the reall Bosslady...intelligent. Brave na Mrembo Sana. Haki mpende msipende...shes the Queen of africa.weeeeeeee wenye wivu Leo mezeni wembe....I LOVE YOU ZARI. From here Germany
@evelynehazayah6223
4 жыл бұрын
Kabisa
@mandyfitnesstv6738
4 жыл бұрын
Cute face,cute brain,cute plan. Zari wewe ni kiboko hongera sana.
@hopechidera
4 жыл бұрын
Mungu akulinde na familia yako huko South Africa Zari🙏🏽hawa wa South Africans wana wivu kwa wageni inchini mwao sababu wana akili ya kutafutisha maisha zaidi yao,keep going dada you're doing the best❤❤❤💋💋💋
@pacifiquenyaminege9802
4 жыл бұрын
Mimi nina uwoga sana kwa sababu iyo inci unatumikia. Ndani ya Risk country !!!! Kwasababu. Ni wauwaji. Sana hawapende watu wa kigeni Mungu aendelee. Kurinda dada zari ♥️ are able woman and hard work woman 👩! Aendelee kurinda na watoto wako pia ✌️
@halisiaisaya7832
4 жыл бұрын
Hongera Dada mungu hakusimamie mama Tiffa
@naomicharles6002
4 жыл бұрын
Hongera mn tee very very
@sand4946
4 жыл бұрын
Go girl! God bless you❤❤❤👏🏽👏🏽👏🏽
@norbertjeremiah3603
4 жыл бұрын
like za zari hapa
@judithkombe104
4 жыл бұрын
NORBERT JEREMIAH
@gracedacid5032
4 жыл бұрын
Wow..ts wonderful,I Pray for your boys to follow your ways....Strong mama Tiffah.
@leanahbusanga117
4 жыл бұрын
Nakupenda bure zarii ❤❤❤
@careenchazy9471
4 жыл бұрын
jamani zari mzuri tuongeeni ukwel tu MUNGU anatuona 🤔🤔
@mohamedjuma1878
4 жыл бұрын
Hana lolote kabibi aka
@saidahj2543
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aishakhamis2996
4 жыл бұрын
Mohamed Juma wivu!
@aishakhamis2996
4 жыл бұрын
tena sanaa nzur...
@davinahevenly7899
4 жыл бұрын
Kana masikio makubwa kuloliko popo. Na hapo amepaka makeup.
@mariammgeni8830
4 жыл бұрын
Wana wake km Hawa wanakuwaga wachache sn.na wanaletwa ili wengine tujifunze ..lkn kwa kiburi chetu wanawake tuna wadharau...baada ya kujifunza kwake..Mungu akulinde mama tee
@alicesamson6316
4 жыл бұрын
Tupe storry zote bwana unakaa nayo mpaka inapoteza sauti love u zari
@selungwieryka449
4 жыл бұрын
Lov u zarina .gonga like kama unamkubali madam hero zarina
@fkbroadcastingnetwork1755
4 жыл бұрын
Diamond wasn't your class at all. Thank God you left him
@alexmurithi1327
4 жыл бұрын
Ur just a mad gal. Dating and marrying does require a class if you're a determined woman
@starniceofficial5492
4 жыл бұрын
Nyie Ni vichaa machiziiii
@mwaramiissa3553
3 жыл бұрын
That's exactly what I am wondering
@paulinekamau7618
4 жыл бұрын
Yes this is the OTHER SIDE of mama 5.Social media ni Hobby2.Go Go my mentor.Love you mama T from Germany
@gracekaroki7137
4 жыл бұрын
Zari she is really hardwrking woman na mtu wakupnda pesa zake❤❤❤👏👏😍😍😍
@aloycekiwia8613
4 жыл бұрын
Kwa Nini asimpe Mange Kimavi kazi ya kufagia au hata Upishi.!? Ana Hali mbaya Mno.!
@elizabethambani5896
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salmatz9081
4 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁Aloyce kiwia utanivunj mbavu
@janetkerubo7643
4 жыл бұрын
Waaa
@annshanti4102
4 жыл бұрын
Hahaha atakupata
@elizaliz7762
4 жыл бұрын
Hehehee
@othmanmohammed3459
4 жыл бұрын
kumbe tajiri kulilko diamond dah
@everngelynetemko1640
4 жыл бұрын
Just imagining Diamond speaking english in front of the students and staff....🙄🙄🙄🙄
@pendojeremiah9111
4 жыл бұрын
I admire u zari,ur my role model 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@happinessdeogratius9147
4 жыл бұрын
inspired.. I love ur brain bosslady
@rehemashafi4809
4 жыл бұрын
Congratulations my love zariiiiiiiii mungu akupe zaidi 💟💟💟💟💟💟💟💟💛💛💛💛💚💚💚💚💜💜
@wemakalamu3538
4 жыл бұрын
Your the best mama tiffah be blessed
@umutoni-roussel5233
4 жыл бұрын
I'm glad you working so hard to take care of your kids,stay blessed 🙏🏿🙏🏿💕
@ashas7542
4 жыл бұрын
AKILI MINIGI SANAAA WOOOW, HUYU NDO ZARI BWANAAA
@judithkombe104
4 жыл бұрын
nakukubali sana weka Basi scholarship ili wanafunzi wenye uwezo wa chini wapate fursa ya kusoma
@rehemasalim513
4 жыл бұрын
My sis, si amesema anatoa scholarship kwa needy
@judithkombe104
4 жыл бұрын
Rehema Salim poapoa
@harrietharlon2800
4 жыл бұрын
I love zarinah so much nkwagala nyooo role model
@beatricekingsley5062
4 жыл бұрын
My zari♥️♥️❤❤💙💙nakupenda bure
@ashas7542
4 жыл бұрын
WOOW YAANI ANAMILIKI VYUO 11 SOUTH AFRICA NZIMA, UTAJIRI WA HUYU MAMA DOMO HATA ROBO HAFIKI KUDADEKI
@stansilauseliasi7883
4 жыл бұрын
We ndo kuma unasema domo hafikii we unazo ngapi kuma nyau
Kule bongo wadada hufikiria tu kuvaa na kujipodoa na kudanga kama yote na wanajisifia.🤭🤭
@Chingagirl123
4 жыл бұрын
Aki bado nacheka mpk SAA hii
@jaffaryhassany9832
4 жыл бұрын
Yo wrong my dia,wape mtaji na location poa uone kama watashindwa
@damariszuckschwert9489
4 жыл бұрын
@@jaffaryhassany9832 Wapewe mtaji na nani? Za wigs, makucha ya kichina, nguo za gharama na kujichibua hawakosi. Lakini za mtaji wapewe. You're a joke. The only thing they can do better most of them is kudanga. The only one hard working Is shilole.
@mercurystewart5892
4 жыл бұрын
Kwann wewe wa wap hahaaa
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Kabisa aise si pendi kama niniii yaani
@ajmilee4204
4 жыл бұрын
Millard tunakuomba uje Joburg hapa kuna xhenophobia uchukue habari kdgo😀😀😁😂
@jumalove2631
4 жыл бұрын
Ila mnajitaidi kuwapa somo wadada wa bongo tatizo viraza
@rithadonatus8110
4 жыл бұрын
Deepdown watu hatuelewi auwezi mfananisha zari na mademu wa bongo ambao wanafight weneyewe mfano kama mimi ni housekeeper ndo kazi yangu siwezi kujifananisha na zari huyu anatakiwa kufananishwa na wafanyabiashara wakubwa wakike ...mtuache wadada wakibongo jamani
@jumalove2631
4 жыл бұрын
Ritha Donatus mbn kama povu njoo WhatsApp 0672233233 tupige mastory
@jumalove2631
4 жыл бұрын
Alice Matu 😂😂😂 Alice kapiga 🙄
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa Kaka
@morisedward2984
4 жыл бұрын
Juma Love kiukweli umeongea
@elizabetandundi7527
4 жыл бұрын
Kumbe zari is humble this way ingekuwa yule madam wa malekani tungepata taabu instergram
@rehemasalim513
4 жыл бұрын
Sio kidogo yani.. tungetafuta pa kueka simu zetu rehani tupumue
@elizabetandundi7527
4 жыл бұрын
@@rehemasalim513 haha akanyange kubwa kubwa
@godfreyally7787
4 жыл бұрын
Akili mingi sana mama T hongera sana upo fiti kuna wanawanake wachache sana wa aina yako...
@johnmogella9798
4 жыл бұрын
Godfrey Ally unasifia mali za wanawake unajua wanavozipata au unasem tu??
@jumamadjidi528
4 жыл бұрын
Zary we ni wa kuigwa waache kukupimaninashisha n'a upudhi😗
@nasibumaiko3425
4 жыл бұрын
Zari ni mwenye kuona mbali wajina umepoteza kitu hapo ana vitu vya kudumu
@izack9191
4 жыл бұрын
Kabisa mondi kapoteza
@fasanitzfasanitz9631
4 жыл бұрын
Daah diamond omba msamaha mtoto mashallah👏
@confidencennadozie8375
4 жыл бұрын
Good marketing strategy 👍👍👍
@jacklinechelagat3827
4 жыл бұрын
Smart upstairs. Love you Zari. Diamond hangewezana with these brains
@azelinaemanuel3542
4 жыл бұрын
Jaman mbn mnatutesa kwakuwaza story ambayo aishiiii mweee fanyn mpngo tumalize jaman mwez wa 2 sasa story aiishi daaaaaaaah mnaferi WAP mpk tunasahau mpk tulipoishia cyo poa
@na0m1fes51
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 stop complaining plz vumiliaaa tuu😂😂
@HassanHassan-vm7ck
4 жыл бұрын
Kama Si muislamu nikupe ushauri (ungesilimu) ukatengeneza na akhera yako (fuatilia mijadala ya dini ya kiislamu na wasiokua waislamu) ahsante
@latriciah01augustino67
4 жыл бұрын
Yani hii interview mpka imepoteza mvuto! Interview kama isidingoo☺️☺️☺️
@naomindulesi3259
4 жыл бұрын
Latriciah01 Augustino 😂😂😂
@asiaasia-pl4fl
4 жыл бұрын
Umeonaeeeeee😂😂😂😂😂😂😂
@khadijakhadija6212
4 жыл бұрын
Jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@victoriadavid9211
4 жыл бұрын
Kwel kbxa
@worldlyricssongs6141
4 жыл бұрын
Jamaniii uyu mdada ana akiliii 😊🥰🥰God bless you
@salamaumulisa6112
4 жыл бұрын
Love you dia keep it up .. God is in control 🙏👏
@josephineamujaro5283
4 жыл бұрын
This woman...God bless her more and more...sure your brain couldn't suit there... Go go mumy...you are what oughts to be aped...Smart women...Brain at work!!
@rayrayroblox5663
4 жыл бұрын
Hivi hawa wa uwaji wa Africa kusini hawatakujaka kufanya bu haribifu hapo kweli Mungu awa saidiye
@ufc-ultimatefightingchampi8456
4 жыл бұрын
She's real an African queen.
@Kobe_254
4 жыл бұрын
Zari Is a real boss lady, Tannasha atoshi mboga, yeye ako pale sababu ya kiki ... pia kumbuka South Africans don't xenophobia Ugandans. Eti wanaawapea voodoo.. zidi zidi Zari
@kgkk9844
2 жыл бұрын
Zari Hassan is my religion. This woman is my inspiration every single day.
@rmags8654
4 жыл бұрын
So these branches are floors in the same building maana kasema nane zipo hapo in that building and the other 3 in another building. So actually these are not campuses just branches sectioned within the same building.
@burundisgottalent2184
4 жыл бұрын
Sasa uyu kampendana aje na Diamond? Mapenzi sometime yacekesha kabisa!🤣
@julessebintu6525
4 жыл бұрын
kabisa
@lizaqui2419
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@loicekahoro1916
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@sakinaomar2312
4 жыл бұрын
Mashallah Zarina Hassan
@Wonderbe585
4 жыл бұрын
Truly truly inspired by Zari the Boss lady..
@zaitunishee4431
4 жыл бұрын
Sasa mnaojilinganisha na zary c mnajichora jamn keep away from all things she is educated women and great respected to the man... Mnao shindana na zary kma kunae mmoja ashawai nunuliwa nyumba yathamn ainue mkono😆😆😆you r lucky zarry
@estherkiwanuka2574
4 жыл бұрын
Luv you Zari
@landrinebagalwa5919
4 жыл бұрын
Mwananke anaye ji elewa 💪💪💪💪 woman with golden brain
@dazinaagust5231
4 жыл бұрын
alafu usikie kuna mtu anasema eti anafake maisha, jamani kuna watu wanatupa dhambi kweli,
@ancyrom6929
3 жыл бұрын
You inspire me alot zari
@mwanahalimamwachili9679
4 жыл бұрын
Hongera sanaaaa Zari,Wewe ni Mwanamke bora,Mwenye Akili Ya Maendeleo.Na unajuwa Kuzitafuta Barikiwa sana.
@BedroomTvKe
4 жыл бұрын
Fanya kazi kwa bidii
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
4 жыл бұрын
I WISH MY SON ATAKUJA KUSOMA HUKO IJAPOKUWA BADO NI MDOGO IN GOD WE TRUST BIG UP🤝🏽 🇰🇪🇨🇿
@CaroLina-qq1hl
4 жыл бұрын
Inshallah
@jacksonmathayo6510
4 жыл бұрын
Daah aise Mungu ni Mwemaa Sanaa
@trizahwariara597
4 жыл бұрын
Indeed you are a boss lady 💪Beautiful hardworking woman Big up zari
@florangido202
4 жыл бұрын
ONGERA SANA ZARINA HASANI WEWE NI MAMA WA KUIGWA UKO VIZURI MNO!! UNA HELA NA SIO VIJISENTI.
@seifzongo320
4 жыл бұрын
Mtu aliyekulia tandale huko kichwan zero brain hawez ona IQ ya Zari .....domo hana akili 😃😃
@antybabybintrashid2333
4 жыл бұрын
Seif Zongo hahahahaha ata certfcate yaform 4hana
@josephineamujaro5283
4 жыл бұрын
C domo,uzingaumbwe.
@damarisobonyo677
4 жыл бұрын
Hahah
@seifzongo320
4 жыл бұрын
@@antybabybintrashid2333 😀😀😀
@seifzongo320
4 жыл бұрын
@@antybabybintrashid2333 😀😀😀
@aishajeshemtengea9884
4 жыл бұрын
Hujawahi kuniangusha mama Tee. wewe ni mfano wa kuigwa
@ndayisabacynthia8546
4 жыл бұрын
Nc se boss mungu akuzidishiye kipaji cako
@gracerosi6179
4 жыл бұрын
Ongera mungu kakupa upeo mpana good life
@mussaissa5270
4 жыл бұрын
You so busy beautiful just focus on your business 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 be blessed beautiful
This page get 2.13M subscribers 😳 did u see that too ?
@veileronesmo9219
4 жыл бұрын
Yeap
@vamo2082
4 жыл бұрын
Huyu Dada ntampenda Kama atataka niwe boy wake ili Nile pesa zake otherwise namchukulia kawaida japo kua ananizid pesa😜😜😜😜😜😜😜
@jaffaryhassany9832
4 жыл бұрын
Yo best,love you zarinah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@azzaalmaamry76
4 жыл бұрын
MaashaaAllah mwanamke lazima ujiamin
@masachihorticultureunitcol711
4 жыл бұрын
Huyu Zari ana pesa nyingi aisee inawezekana hata diamond hafikii hata nusu
@rosemarykatogomusanga1619
4 жыл бұрын
Weee Hako nazo
@masachihorticultureunitcol711
4 жыл бұрын
@@rosemarykatogomusanga1619 wee unazo
@rosemarykatogomusanga1619
4 жыл бұрын
Mimi Sina but tukubsli ukweli Zari ni tajiri sanaa
@neemamoshi1429
4 жыл бұрын
Ama kweli mama tiffa uko vzr ndo maana tunakupenda
@lucaswalogwa3821
4 жыл бұрын
Mnamlalamikia mganda ambaye kwao lugha ya taifa ni kiingereza halafu yuko south Africa lugha ya taifa kiingereza na wakati huo anajitahidi kuweka kiswahili VIP WABONGO WANAOONGEA KIINGEREZA HALAFU WAKO HAPA Hapa tz na lugha ya taifa ni kiswahili ila wanaweka kingereza kingi ktk interview zao?
@collincarlos7433
4 жыл бұрын
Lugha ya taifa kule ni kiganda,,na ndio maan waganda wanajua English wakienda SHULE cz inafundshwa tang primary
@rebbecanakuti5080
3 жыл бұрын
She so smart women
@samwelnyange3252
4 жыл бұрын
She's smart enough
@binthassancollection.6308
4 жыл бұрын
Nilichogundua ni kwamba, Ayo tv wakuona ex wa Zari anaongelewa ama kuna tukio fulani kwa yule mtu wake na wao wanaachia kavideo ndio maana hii interview hawaimalizi haraka😍😍😍😍 Ila mmejua kucheza na akili za wabongo😂😂😂.
@liliansikazwe7444
4 жыл бұрын
wale ambao hawajuimane kimambi ulaya anafanya kazi gana na bado anashindana na zar tujuan hapa tafadhali
Пікірлер: 472