Moja kati ya visa na mikasa utakavyovipata kwenye Face to Face wiki hii kuanzia leo tukiwa na Refa mstaafu na Mzee wetu Osman Kazi ni pamoja na kwanza anatuambia aliingia kwenye Urefa kwa ajili ya kutafuta haki yake je ni haki ipi? Kazi leo anatuambia tutamtambua Rais aliyemkabidhi Kazi Filimbi lakini kwenye mechi yake ya kwanza aliteleza na kudondoka uwanjani je ilikuwaje? Lakini pia anatuambia kuna moja kati ya mechi alifanya vizuri hadi TFF ikamzawadia laki tano je ni mechi ipo hiyo na ilikuwa mechi gani?
#wcb #yangatv #yangatv #simbatv #singidafountaingate #live ##singidafountaingate #live #kondegang #yangasc #simbasc #kingmusicofficial #diamond #kondegang #live #singidafountaingate #simbatv #yangatv #wcb #simbatv #singidafountaingate #live #kondegang #yangasc #simbasc #kingmusicofficial #diamond #kondegang #live #singidafountaingate #simbatv #yangatv #wcb #yangatv #simbatv #singidafountaingate
Негізгі бет FACE TO FACE Part1: OSMAN KAZI NILILETEWA RUSHWA KUCHEZESHA MPIRA/ SABABU ZA KUACHA KUWA REFA
Пікірлер: 1