Kutoka Mbeya Mpaka mkoani Songwe kuzungumza na Meneja wa Taasisi ya Utafiti wa Kahawa Kanda za Nyanda za Juu Kusini Ndugu DISMAS PANGALAS akizungumzia njia na utafiti wa Kilimo cha Zao la KAHAWA.
Pamoja na Mengi amezungumzia mbegu Chotara na matokeo yake na sifa zake ukilinganisha na aina zile za zamani na namna ambavyo haziwezi kuathiriwa na ugonjwa wa CBD.
Tazama kwa kirefu kufahamu zaidi juu ya Kilimo cha KAHAWA.
Karibu katika Mitandao yetu ya Kijamii kufahamu zaidi:
Twitter : / shambahubtz
Instagram : / shambahub_tz
#kilimobiashara #kahawa #coffeeplantation #coffee #Mbeya #songwe #Tanzania #technology
Негізгі бет #FAHAMU
Пікірлер: 1