Asante docta kwa kutufundisha vzr,,,ubarikiwe sana
@lilybalama6770
10 ай бұрын
Asante sana Dr. Brighton umekuwa msaada sana kwenye maisha yangu toka nimeanza kutibiwa na wewe nina improvement kubwa sana Mungu akuweke
@allyirunde7198
9 ай бұрын
Anapatikana wapi daktari huyu ganzi pia inanisumbua sana miguuni
@anethbideberi6617
4 ай бұрын
Mloganzila
@victorsamaytu3487
11 ай бұрын
Good teaching material, continue teacher
@joycekomba9476
11 ай бұрын
My brother.....Asante kwa elimu nzuri sana best.
@donathafrancis9973
2 ай бұрын
Dr.wangu Asante kwa kutupigania cc wagonjwa wako kuanzia Muhimbili na sasa Mulonganzila.MUNGU AKUTIE NGUVU KTK.MAISHA YAKO.
@nasrahassan7346
2 ай бұрын
dctr asante kwa somo nzuri nami nimo ngazi kwenye vidole ila pia nilichoma sindano ya cvd 19 yani chanjo ngazi inazidi
@maryammadodo8837
11 ай бұрын
Ahsante sn Doctor kwa kutuletea somo hili .Mm binfsi naumwa hu ugonjwa inafika miaka 7 ila saivi umezidi sn zaidi nikalala usiku vidole vinaniuma sn km vitoke .na nikishika simu au kitu chochote kwa muda mrefu basi napata maumivu sn .Natesrka sn na ugoonjwa hivyo nitakuja hapo kwa ushauri na matibabu zaidi
@marysospeter2789
11 ай бұрын
Yaan wew ndo mimi kabisaa unatesaaa sana huu ugonjwa
@thabitsaidi1507
3 ай бұрын
Punguza uzito wa mwili wako
@bas2823
11 ай бұрын
THANKS FOR SHARING👌GOD BLESS U N ALL OF US CREATIONS OF GOD👍AMEEN🤲
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
11 ай бұрын
Thank you too
@TravisNgondo
2 ай бұрын
Dr, tunashukuru Kwa elimu nzuri,. Tunaomba no ya cm,
@danielmgomo717
Ай бұрын
Daktari ametaja sababu chache sana zinazoleta ganzi.Hizi hapa sababu zingine eg Guelin barry syndrome, polythesymia lubra Vera, trauma, Lime diseases, ARV drugs eg Effevirance,Overconsuption of Vitamin B , Leprosy and etc.
@MwajumaHamisi-q9x
11 күн бұрын
Dk. Mm nipo zanzibar nina tatizo hilo,lkn mm nilifanyiwa tiba ya saratani baada ya mwaka nikaanza kuumwa hiyo ganzi na sasa sitembei kabisa .utanisaidiaje dkt.
@mathayomasuka3827
Ай бұрын
Dr. mimi napata ganzi nikishika maji eg nikifua/kuosha vyombo usiku muda saa nane tisa mikono inakufa ganzi. nifanyeje?
@annambele789
10 ай бұрын
Dr. Tunaomba na somo la misuli kukamaa na kupata maumivu
@florathobias
Ай бұрын
Dr naomba mawasiliano yako mm ganzi inanisumbua Sana nimekunywa Sana Dawa sipone Kuna kipindi inatopea then inarudi
@FantaNdele
20 күн бұрын
Docta naomba kujua kazi ngumu husababisha ganzi?
@cutebronca3517
10 ай бұрын
Mimi tokea ninamimba imenitokea ganzi na kidole cha kati kinaganda kabsa hospitalin nilienda wakaniambia litaisha ila mbaka leo ni miaka minne sasa bado nasumbuliwa na hilo tatizo
@FrankMbalamwezi-u2g
3 ай бұрын
Mimi mama yangu upande mmoja aufanyi kazi nilikua naomba ushauli
@gracekagoma3231
11 ай бұрын
Ahsante sana Dr.Ninakuombea upate nafasi zaidi ya kwenda kusoma zaidi ktka nchi za wenzetu ili uongeze ujuzi wako WA neurology uzidi kutusaidia 🎉
@ProcessMisseo
27 күн бұрын
Doctor Miminponje na dsm nwezaje PATA matibabu Kwa maana yakupata vipimo Kwa maana dalili ulizoelezea ninazo nipo geita touwn asante
@rosseminnoor6369
Ай бұрын
za kazi mie nimesumbuliwa na nganzi ya mikono kuanzia kwenye shingo pia na mishipa inauma sana ko dawa au tiba ni ipi nisaidie maana naumia
@rehemamsuya2263
25 күн бұрын
Ukipata majibu niambie
@perpetuamnyilipanduka7062
8 күн бұрын
Namm jmn
@perpetuamnyilipanduka7062
8 күн бұрын
Jmn nimehangaika mno bila kufanikiwa naomba mnisaidie..shida ni ganzi miguu kuwaka moto na vitu kuchomachoma..but kunamda natapika mpk nashindwa kufanya chochote nanyongonyea kbs
@saumuabdallah198
10 ай бұрын
doctor plz naomba nijib... mm miguu yang hua inapata baridi wakat mwngn ganzi inayoambatana na maumivu makali xn kwa miaka mng xx... lkn umri wng ni 26tu nn xhida tafadhali?????
@punnamalaba4445
3 ай бұрын
Dr kutumia vidonge vya presha miaka mingi inaweza kunisababishia ganzi ha kidole kidogo cha mwisho kushoto? Nina tatizo hilo naomba tiba
@BonifaceSambo
2 ай бұрын
Doctor Asante Kwa ushauri,ila uliulizwa kwamba unalithi ulikakataa,lakini kuna sehemu umesema upo wakulithi,hapo je?.
@dijah-m
28 күн бұрын
Dr. Nikija hospital hapo Naelekea kitengo gani maana nishakuja hapo mara mbili Nina tatizo la ganzi ya kuchomachoma kwenye vidole vya miguu kama ulivyosema miguu haina nguvu siwezi kutembea vizuri na nina miaka 24 tu tatizo hili limeanza nikiwa namiaka 19 Sina kisukari, ukimwi wala situmii madawa yoyote.msaada tafadhar🙏
@BawiliMkoko
10 ай бұрын
Dr asnte kwa darasa lako Zurich mimi ni muathirika wa stroke ambayo baadae imeniachia ganzi upended ambao stroke ilipotoke yaani upended wa kulia hili nalo koje dr
@neemamtelya6356
Ай бұрын
Nikilala mkono wangu unapata ganzi na tatizo hili lineanza hiv karibuni hii imekaaje?
@angabilekatepa601
Ай бұрын
Mm pia jmn
@GeorgeMitembo
3 ай бұрын
Doctor Mimi ni muathirika wa ganzi,ganzi imesambaa mwili mzima,na inamaumivu makali sana,nayo nimeipata baada ya kuchoma chanjo Fulani mwaka 2022 , nausikia mwili kama unaganda miguuni na baadhi ya maeneo ya mwili wangu mpk sasa, napataje msaada ili niue hiyo sumu ya chanjo iliyopo mwilini mwangu?
@perpetuamnyilipanduka7062
8 күн бұрын
Naombeni namba kwaaliyeipata
@HajrahRamadan
3 ай бұрын
Masomo mazuri endeleeni kuchapa kazi, na huruma kwa wagonjwa iwe sehemu ya kazi zenu,ahsanteni
@PENDOSHIMO
8 күн бұрын
Dr naomba namba yako please
@MariaSengo-cn5bx
8 ай бұрын
Dr tafadhali tuwekee namba yako ya simu tuwasiliane
@Nahdiya-nr3de
11 ай бұрын
Asanteni sana kwakunifahamisha
@PaulinaSemindu-ob3de
10 ай бұрын
Jmn hata mm nimejifungua lkn na ganz mikonon tu shida nb dokta
@MATHAYOMUHULU-jt9sq
3 ай бұрын
Somo zuri sana mganga, toa namba zako basi za simu tuweze kupata misaada wako kwa urahisi
@SalamaMsuya
2 ай бұрын
Mimi Nina ganzi Nina miaka mingi sasana inaenda inarudi kenye mikono nahitaji msaada wako Dtk asante
@tracyyusuph5466
2 ай бұрын
Dr mama yangu anatatizo la ganzi na miguu kuwaka moto kwa muda mrefu sasa naomba unisaidie yaani inafika muda anaweka miguu ndani ya maji ili kupooza miguu maana inawaka moto sana. sana. naomba msaada wako dr.
@AhmedMohamed-zj8hi
Ай бұрын
Je kukaa sehemu moja kwa muda mrefu kunaweza kusababisha tatizo la ganzi?
@ummuhassan2268
Ай бұрын
Mm mwenyewe ninaganzi kwenye vidole vya mikono na nimetumiya sindano za vitamin B ila bado
@ChristopherMhagama-ls9zd
11 ай бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri na nyepesi nimeongeza maarifa hapa nitazidi kufuatilia kipindi
@MonyaichiJulius-sb2td
11 ай бұрын
Dr unapatikana wapi
@chikondimadalitso
11 ай бұрын
Ukiwa na ukimwi unakwepaje ganzi
@bettymoshi
11 ай бұрын
Tafadhali naomba namba ya simu
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
11 ай бұрын
Asante endelea kutufatilia ili uweze kupata elimu ya afya zaidi.
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
11 ай бұрын
@@bettymoshi Fika Hospitali ya Mloganzila kwa maelekezo zaidi Asante
@MariaMsalali-m2n
Ай бұрын
Naomba namba ya doctor
@omarimahela7690
2 ай бұрын
Dr. Tunawezaje kukupata?
@gabriellusinde9263
5 ай бұрын
Doctor Mimi ninaganzi zaidi ya miaka mitatu nawapataje ili nipate msaada kwako
@annambele789
10 ай бұрын
Asante kwa somo la ganzi.
@RamadhaniKategile
2 ай бұрын
Dokta nipe naomba nimependa unisaidie Niko tabora
@amostimoth2373
11 ай бұрын
Wale ambao wamerithi huwa mnawasaidiajee
@rehemakazibure4858
Ай бұрын
Dr mm nasumbuliwa na ganza kwenye KIDOLE GUMBA CHA MGUU WA KULIA. GANZI YAKE INAUMA SANA INAVUTA
@rehemakazibure4858
Ай бұрын
Nasumbuliwa na Ganzi .kidole gumba cha mguu wa kishoto Na sina hata sukari
@ummuhassan2268
Ай бұрын
Mm naomba namba yako
@agnetaanimoqueandameandame9729
2 ай бұрын
Nimependa sana doctor
@frankmunisi9148
3 ай бұрын
Nina hilo tatizo la ganzi mkono wa kushoto mpk kwenye vodole sasa ni miezi 2,siponi, naomba ushauri doctor
@VelonikaMakota
11 ай бұрын
Utoe namba
@Amosfamily-yf2yq
12 күн бұрын
Je kutumia chai ya rangi usababisha meno ikue na ganzi
@OsmundaJonas
11 ай бұрын
Asante docta kwa Somo nzur mimi ninasumbuliwa na ganzi kwa miaka mitano sasa ilinipata nikiwa mjamzito ilipata mwili mzima nilipata matibabu ikaisha isipokuwa miguu mpaka Leo bado inaganzi na maumivu kwenye mifupa he naweza kupata matibabu ya kupona kabisa
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
11 ай бұрын
Karibu Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila ukutane na wataalamu kwa uchunguzi zaidi Asante
Docta mimi naitji matibabu nilianza kusikia ngazi leo naanza kusikia moto mwilini na kizunguzungu ila nilipimwa sukari mwilini 5%
@BatuliHassan-m2m
2 ай бұрын
Mbona mimi ganzi yangu ni kwenye mikono tu wakati wa usiku nikiwa nime lala
@queenmunny244
2 ай бұрын
Hata mm inanipata wakati wakulala
@neemaacting995
2 ай бұрын
Mimi na wewe tuko sawa, Mungu atusaidie
@rithamkude1656
Ай бұрын
mimi hivyo hivyo shida sijui nn
@zuhurakaviche2225
Ай бұрын
Na mm inanipata ucku nmella kwenye mkono
@jacklinelyimo7407
Ай бұрын
Lala weka mkono vizuri ni damu haifiki vizuri sehemu hiyo
@RebekaBenard-m3z
11 ай бұрын
Mimi nilipata baada ya kujifungua mwaka wa sita inaipungua taratibu
@julianapatrick7911
10 ай бұрын
Blessed dr
@mommywarda5529
11 ай бұрын
Asante Sana Niko Kenya Mombasa nawezaje kupatamatibabu huko ya ganzi
@AntonSiprian
2 ай бұрын
Unapatikanaje tuomba namba
@ChristerShao
10 ай бұрын
Dr tunashukuru kutuelimisha.Tusaidie tupone.
@HamuMpawenimana
5 ай бұрын
vp naitaji musa ada wenu mungaga mama yang iko nawungojwa wagazi yakicwani musaidiye nambiye dawa yenye atatumiya
@alexkomba3100
11 ай бұрын
I appreciate
@GregoryMnyakasha-yk7zo
10 ай бұрын
Naomba namba ya Dr please
@MariamOmar-x4w
2 ай бұрын
Mm nisubuliwa na ngazi mda mfuu ilipotulia ni kapoza hedhi kw miaka saba kŵ sasa bt sasa mm nina miaka 47 kw hyo hedhi yngu kw sasa sito pata tena
@tumaininyoni5725
2 ай бұрын
Samahani hivi sukari ya kawaida ni ipi dr
@azizaomary2568
2 ай бұрын
Asante san
@JosephatJoseph-eo8xj
11 ай бұрын
Naomba sawa doctor
@YakoboRobert
Ай бұрын
Me mamaangu alifanyiwa operation lakn ganzi iliasha shindikana kutoka je Kuna uwezekano wa tiba
@abdallahhuseinkabale7534
3 ай бұрын
Mie nikikaa muda kwa kukalia miguu nikija kuinuka kwanza nahisi damu nyingi inashuka chini na pumzi inaenda kwa kasi ...lakini pia nikiwa nimekalia miguu ndani ya dakika 20 hivi mguu mmoja unakua umeshika ganzi ..nini shida wajuzi
@stewartdyamvunye-wz6rn
3 ай бұрын
Maswali ya kuzungukazunguka sana na tunapata takwimu na historia vya kutosha. Vema. Ila nilitamani na ingekuwa mwafaka zaidi kama daktari angetoa historia, takwimu nk kwa kifupi halafu angeenda moja kwa moja kuelezea dawa, vyakula vya kutumia na mzoezi gani au kwa njia ipi. Ama haya hakutaka kuyafafanua vizuri ili twende kwa wingi kwenye kliniki yake! Kwa wengine Mloganzila mtihani kufika, mbali na nauli tu mtihani hata kabla ya kugusa gharama za matibabu!
@Nahdiya-nr3de
11 ай бұрын
Mm niko nao huo ugonjwa lkn sjajua kilicho nnsababisha iko kwnye mko wangu ndani y vidole viwili ndo vina ganzi
@daudimbuzi6099
Ай бұрын
tunataka muongozo kumuona dr. nakwenda kwenye tatizo mojakwamoja
@frankmunisi9148
3 ай бұрын
Naomba no doctor!! Ast
@marthadominick2212
10 ай бұрын
Mko sehemu gani nasumbuliwa na ganzi ya mguu mmjoja
@magrethrhobi7494
11 ай бұрын
Miaka yangu 47 Uzito wangu 122kg nina ganzi kwenye vidole vya Mkono wa kulia kwenye kucha..
@zahraalbaloochi2841
10 ай бұрын
Maybe ni over wait(punguza uzito)
@jacqueisaac8155
2 ай бұрын
Huo uzito ni mkubwa mnooo lazima update ganzi. Pungua urudi angalau kwy 90s
@SwallehHatibu
5 ай бұрын
Naomba namba dr
@AshaAbdi-u8x
11 ай бұрын
Unapatikana wapi no yako
@EditaTairo-sv1ls
11 ай бұрын
Yupo Mloganzila
@leahenockmrina5381
11 ай бұрын
Asante Dactari na mtangazaji
@AnatoriaRwabatwa
2 ай бұрын
Wanapatikana Hospital ya Molaganzila na Muhimbili hicho kichwa kiliķula vichwa vya samaki wa Viwa Ziwa Victoria Kagera ndio vichwa hivyo
@gracekagoma3231
11 ай бұрын
Kutokana NI kisukari miguu hukatwa Kwa sababu ya neuropathy ya miguu 😢😢
@zaidarashid8649
10 ай бұрын
.Mimi inanzia begani Hadi vidoleni 15:40
@daudimbuzi6099
Ай бұрын
tupeni muongozo kumuona dor. mojakwamoja natukaenda kwenye tatizo moja kwamoja
@pendomalisa9308
2 ай бұрын
Umeandika ugonjwa was ngozii mbona una zunhumzia vinhine
@benterkioko7168
11 ай бұрын
Pia mimi ninangojea tiba la gesi na tiba yake please doc na ganzi pia
@MUHIMBILI_MLOGANZILATV
11 ай бұрын
Kuhusu matibabu fika hospitali ufanyiwe uchunguzi zaidi. Asante
@yunusimchala6569
2 ай бұрын
Nicole Tandahimba nina tatizo hilo
@DidaciaMutuye
11 ай бұрын
Pia mimi niko nalo nikilala mikono napata ganzi.naomba usaidizi.tunaomba no.ya Dr.
@JuvensiaHeremani
4 ай бұрын
Namba ya Dr waganzi
@MaryBenjamini
4 ай бұрын
Mimi nimepata ganzinikiwamjamzito nimejifungua ilatatixo bado nifanye nn
@Veronikajoseph-w2y
10 ай бұрын
Nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka7 anatatizo la ganzi nifanyeje
@JAMESSUSUBA
11 ай бұрын
Nisaidie doctor naphtali shida
@sofiaoman5901
11 ай бұрын
Dactar mm nina Dalglish za ugnwa wa ganzi mkono wa kulia kuanzi began mpaka viganjani mara nying huhisi ganzimuda wa usiku mrefu kalibia na Alfajili naomba ushauli wako mm nipo Omani toka n8anze kuhusi ganzi yapat miezi 2 sasa
@fenisiasimeo2385
10 ай бұрын
Mbona wew ni kama mm jaman
@niceadolph1154
10 ай бұрын
Mbona wengine wanasema tatizo ni uzito kwa sababu unakuta mtu hana tatizo lolote la ki afyab
@AnthoniaZalimu
2 ай бұрын
Vyakula gani ili kuzuia ganzi
@FatumaMata
5 ай бұрын
Namber tafadhali
@RHOIDAKALUKWA-bw4jo
11 ай бұрын
Naomba mawasiliamo ya dokta tutampataje
@hadijasharifu1463
11 ай бұрын
Nikishika cim ndo naskia gazi nikiacha ganzi inaisha tatizo linamiez 6 sasa naachaga hata mwez nakua mzima nikishika tu ganzi
Пікірлер: 206