Hii Aya inashushaga viumbe wakali kuliko kawaida, viumbe wenye mishemishe za kijeshi kuliko majeshi ya urusi, marekani, uchina, Korea combined together. Nimeishuhudia ikisomwa mara laki mbili Kwa muda wa takriban miezi sita Kwa lengo lakuua uchawi, Bomu la nyuklia halioni ndani. Mpaka kesho Aya hii naiheshimu ni moto wakuotea mbali, hata uwe na baridi kiasi Gani huwezi otea karibu,
@hassanikombe9053
11 ай бұрын
Mashaallah allah akupe umri mlefu shkhee wetuu
@mohammedabdulshakur8162
11 ай бұрын
Ahsant maulana
@saidishekalaghe3496
8 ай бұрын
Swadakta Sheikh nimekuelewa. Allah akupe umri mrefu tuzidi kufaidika . Allahumma Aamiin!
@mukamanaasina6078
11 ай бұрын
Asanti kwa ilimu malim Allah akupe baraka
@NoorynMuddy
7 ай бұрын
Asalam alykum mwenye kuijua hii dua ya ayatul kulsiyu aniandikie Allah akulipe kheri 🙏
@ZainabIssa-v5u
Ай бұрын
Asalam alaykum warahamatullah wabarakatu shekh hizi duaa uwe unatuandikiaa au uwe unazisoma mpka mwisho ili tuweze kuandikaa na kusoma
Maashaallah kitabu ulichokitumia hapo ni kitabu gan
@IbrahimOmary-u5y
6 ай бұрын
Asalam alaykum... sheikh . Naomba kujua hicho kitabu kinaitwaje
@ibrahimbarisa9510
11 ай бұрын
Twaomba iyo dua ya kusoma baada ya kusoma ayatul kursiyu
@sfiaalanazi5479
2 ай бұрын
Sasa hapa ndipo wanatueka njia panda mpaka tunakinai
@salumkarim69
11 ай бұрын
assalaam alykum. mwlm tunaomba huwe unatuekea na hizi dua kwa picha
@tibazakissunatv
11 ай бұрын
Hiyo adhabu siwezi. Zoea kutosheka na unachopewa Kisha unashukuru
@salumkarim69
11 ай бұрын
mwalim naona km umehamaki sikukusdia kukuadibu ila nikiomba ni ombi kw sabbu cc ni wanafunz wako tuna ufahamu tofauti ila ni nisamehe sana kwa kutaka kukuadhibu mwalim
Пікірлер: 18